ICC hawapokei na kushighulikia barua za individuals
Zitto kaandika peke yake akiwa kajifungia ndani na Maria Sarungi naye kajiandikia peke yake !!!
Pursuant to Article 15 of the Rome Statute, any individual, group, or organization can send information on alleged or potential ICC crimes to the Office of the Prosecutor (OTP) of the ICC.
Au hujui kiingereza. Mahakama hii hupokea taarifa toka kwa watu binafsi, kikundinau taasisi.
Wewe unaandika upumbavu kuwahadaa watu kuwa mtu binafsi haruhusiwi.
Unaweza kuwa mjinga, ukaufurahia ujinga wako, ukaishi nao. Lakini ni kosa kubwa la kimaadili kutaka watu wengine nao wawe wajinga kama wewe.
Sent using Jamii Forums mobile app