ICC yakiri kupokea rasmi malalamiko kutoka Tanzania juu ya ukiukwaji wa haki za binadamu wakati wa uchaguzi uliopita

ICC yakiri kupokea rasmi malalamiko kutoka Tanzania juu ya ukiukwaji wa haki za binadamu wakati wa uchaguzi uliopita

Mkuu wewe na nani? Uchaguzi unaonyesha majority wanamkubali wewe na mburukenge wenzako ni minority.
Aliiba kura. Majority waliwachagua raisi lisu na wabunge wa upinzani. Rejea masanduku ya kura yaliyokamatwa yameshapigwa Kura kwa ccm. Nchi nzima mawakala wa upinzani walienguliwa ili wizi ufanyike gizani na zaidi ya yote mitandao ya kijamii ikazimwa tofauti na chaguzi za miaka yote.
 
Aliiba kura. Majority waliwachagua raisi lisu na wabunge wa upinzani. Rejea masanduku ya kura yaliyokamatwa yameshapigwa Kura kwa ccm. Nchi nzima mawakala wa upinzani walienguliwa ili wizi ufanyike gizani na zaidi ya yote mitandao ya kijamii ikazimwa tofauti na chaguzi za miaka yote.
Weka ushahidi. Unalishwa maneno mdomoni na unarukaruka kama kasuku leta ushahidi. hata Trumpet anarukaruka ati kaibiwa kura ujinga mtupu.

Kwa hiyo mitandao ya kijamii ndio inapiga kura? Wewe Ikitotanzila uliyejiunga JF Sept 2020 ni Senior Member? Phew!
 
Weka ushahidi. Unalishwa maneno mdomoni na unarukaruka kama kasuku leta ushahidi. hata Trumpet anarukaruka ati kaibiwa kura ujinga mtupu.

Kwa hiyo mitandao ya kijamii ndio inapiga kura?
Ushahidi huu hapa
 

Attachments

  • 2614671_1605215663091.png
    2614671_1605215663091.png
    88.6 KB · Views: 2
Dr.Abas kaeleza vyema, na mimi ninajiuliza je Lissu ni tishio kabla au baada ya Uchaguzi mkuu wa 2020?! Kalindwa vyema vyombo vyetu vya ulinzi na usalama na yeye amekiri kwa nini leo baada ya kushindwa atishwe?! Nadhani hakuna ukweli hapa ni utamaduni wa kukataa matokeo na kukosa uzalendo kwa Nchi! Bora tukose wote!
Hivi mnadhani waliompa hifadhi ni wajinga? Mjue kuwa Lisu aliwakilisha ushahidi wa matishio aliyokuwa akipewa kabla hajakubaliwa kupata hifadhi ya ukimbizi ndani ya ubalozi wa Ujerumani.

Balozi wa Ujerumani aluwasiliana na Serikali ya JMT kuitaka itoe uhakikisho wa usalama wa Lisu, haikufanya hivyo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata mimi naweza nikawa na begi lina kura nikasema hivyo. Je, unafahamu maana ya ushahidi? Je, Nani unampelekea ushahidi? Huna hoja wewe umejaa viroja.
Mwingine huu hapa
 

Attachments

  • 2614670_1605215596755.png
    2614670_1605215596755.png
    119.3 KB · Views: 2
Kama wanajua maana ya nguvu ya umma hao ICC wajaribu lolote kwa Magufuli.Ile kijani ilyoenea Tanzania nzima ndiyo dunia itaonyeshwa.Uroho wa madaraka wa watu wachache wanaotaka wapewe uongozi baada ya kushindwa utawatokea wao wenyewe puani pamoja na ICCC.Tulikuwa tunaongea maendeo wakati wa kampeni nynyi mnahubiri kuwa patachimbika Nani atawapigia kura watu wenye kiburi na majivumo ? Watu kama hao ICCC inawaunga mkono ? Kwetu sisi uchaguzi umeisha.Anayetaka kuja aje kwa heshima na adabu.
Endelea kubwabwaja lakini ujue kuwa wenye akili wanapitia na kuchbua hoja.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu wewe na nani? Uchaguzi unaonyesha majority wanamkubali wewe na mburukenge wenzako ni minority.
Ficha unafiki wako ili uiokoe nafsi yako! Kabisa una uhakika na uchaguzi kuwa ulikuwa wa haki! Ina aibu kutumia tumbo kufikiri! Mrudie Maulana akusitiri kwa dhambi hii unayoitenda ama sivyo utakuwa na Maisha magumu hapa na ahera!
 
Photo shop is very easy to make, huna hoja wewe, I ignore you officially.
Haya kalia ubishi wako wa kisiwiemu. Uchaguzi mmeuvuruga na watu mmewatia vilema huko Zanzibar mpaka Leo mazrui haijulikani alipo. Mmetesa watu na kuwaua waliotaka kuzuia kura zisiibiwe.
Mmeingia ikulu kwa wizi wa kutisha halafu. Mmeshawahi kuona tangu tupate Uhuru internet unazimwa kisa hamtaki watu wawasiliane na kwa wakati huohuo kampeni nzima mlivitisha vyombo vya habari ili kutompa coverage lisu.
 
Ficha unafiki wako ili uiokoe nafsi yako! Kabisa una uhakika na uchaguzi kuwa ulikuwa wa haki! Ina aibu kutumia tumbo kufikiri! Mrudie Maulana akusitiri kwa dhambi hii unayoitenda ama sivyo utakuwa na Maisha magumu hapa na ahera!
I ignore you officially.
 
The International Criminal Court (ICC) in The Hague, has confirmed receipt of two formal letters alleging human rights violations by the Tanzania government in the wake of the October 28 election and its aftermath.

The Alliance for Change and Transparency (ACT-Wazalendo), one of the main opposition parties and Maria Sarungi Tsehai, an independent human rights activist, have separately written to court, requesting an official ICC inquiry into their claims of atrocities committed against Tanzanian citizens in opposition and those who are disputing the election’s conduct and results.

In an e-mailed response to a query from The EastAfrican, the ICC prosecutor’s office said although the court was by law ‘’duty-bound’’ to protect the confidentiality of information received on alleged crimes, “in this instance we can confirm we have received the communications as the senders have made that fact public.”

THE ROME STATUTE
“We analyse material submitted, as appropriate, in accordance with the Rome Statute which established the court and with full independence and impartiality,” the office said.

The first step would be to assess whether the communication concern “matters that are manifestly outside the jurisdiction of the court… As soon as we reach a decision on the appropriate next step, we inform the sender and provide reasons for our decision,” it added.

ACT-Wazalendo leader Zitto Kabwe told the media on November 8 that the party had already submitted evidence to the ICC, Amnesty International and Human Rights Watch.
“We have also written to the Commonwealth and the AU asking them to investigate the October 28 elections and oversee the holding of new elections. We refuse to recognise this election and will continue to protest peacefully for a return of democracy,” Mr Kabwe said.

Ms Tsehai, the director of the independent Kwanza Online TV station and founder of the #ChangeTanzania social movement, tweeted on November 9 that she had also canvassed the ICC, though she was not available for comment on the content of her letter by the time of going to press.

“I used my skills, training as a journalist to fulfil my duty and submit to the ICC evidence of crimes against humanity in Tanzania,” she tweeted.

At least two prominent members of the main opposition Chadema party, one being its presidential candidate Tundu Lissu, have fled Tanzania over the past week, citing persecution by state authorities and threats to their lives, allegations denied by government spokesperson Hassan Abbasi as unsubstantiated.

POLITICAL ASYLUM
“Those opposition leaders who are running away on the pretext of having had their lives threatened should tell us who threatened them, when and where. It is those same leaders who just completed 60 days of election campaigning during which they were given non-stop state security and we heard no complaints about that. Now after losing they start complaining about being threatened,” Dr Hassan Abbasi said.

Mr Lissu left for Belgium aboard an Ethiopian Airlines flight on Tuesday after a week holed up at the German embassy in Dar es Salaam, while Chadema’s longtime Arusha Urban legislator Godbless Lema has been granted political asylum in Kenya with his family.

Both cited security threats for leaving. Mr Lema is one of several Chadema opposition heavyweights who lost their parliamentary seats to CCM newcomers. Another Chadema former MP, Lazaro Nyalandu (Singida North), was also reported to have tried to flee to Kenya but was denied exit by immigration officials at the Namanga border post for lacking proper travel documentation.

Dr Abbasi said he was not worried by negative perceptions being created by the action of fleeing opposition leaders.

“The international community is sensible and doesn’t just believe any Tom, Dick and Harry’s claims for asylum on grounds of persecution. But that is their prerogative. Most of them still respect the 1951 Refugee Convention, Article 1 which offers clear definition who deserves to be a refugee,” he added.

Ni muda muhafaka sasa ICC wawashughulikie wapuuzi wote wanaotumia vyeo vyako kuminya democracy nchi TZ.
 
Kama wanajua maana ya nguvu ya umma hao ICC wajaribu lolote kwa Magufuli.Ile kijani ilyoenea Tanzania nzima ndiyo dunia itaonyeshwa.Uroho wa madaraka wa watu wachache wanaotaka wapewe uongozi baada ya kushindwa utawatokea wao wenyewe puani pamoja na ICCC.Tulikuwa tunaongea maendeo wakati wa kampeni nynyi mnahubiri kuwa patachimbika Nani atawapigia kura watu wenye kiburi na majivumo ? Watu kama hao ICCC inawaunga mkono ? Kwetu sisi uchaguzi umeisha.Anayetaka kuja aje kwa heshima na adabu.

Wakati Mugabe anatawala kibabe huko Zimbabwe, na yeye alikuwa anachezea box la kura na kushinda kwa kishindo kama ccm. Siku wananchi wameingia barabarani hakuwa na wapambe. Kura za kwenye mabeg tumeziona kwa macho yetu, uhuni wote dhidi ya mawakala ya upinzani tumeuona, na uchafu mwingine huo. Kama kweli hiyo mahakama itachukua hatua, tuko tayari kupeleka ushahidi wa ushenzi wote uliofanyika.
 
Back
Top Bottom