ID ya Kidukulilo nimeiacha baada ya Kuibuka Matapeli huko Mitandaoni. Natumia Bill Lugano (Billionaire Lugano)

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Msameheni wakuu
 
Kaka billionea bora umeachana na hiyo ID. Kuna siku niliona kiduku lilo wa tweeter akimwita Jk 'My'. Nilistuka sana, nikajiuliza bosi Lugano amepatwa na nini? Tuko pamoja bosi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dah
 
Halafu unakuta kuna watu wanamchukia tu from nowhere. Jamaa nachomkubali si mkorofi kama mimi. Hana maneno na mtu. Yaani amekulia maisha ya kishua. Hajui kutukana wala kujibishana na mtu.
 
Ndo jambo linalomuumiza genta anaona watu wamemdharau amebaki na vitoto vidogo vinavyopenda matusi. Watu wenye akili wamemkwepa. Sasa anaona wivu Bill Lugie ana marafiki kibao humu ndani. Yeye anaumia amebadili ID ila akili imebaki ileile chafu ya zamani. Atuache na billionaire wetu wenyewe anatupa stim za kutafuta pesa.
 
Kuna mahala nimeona Mtu kaandika ID ya Chizi Maarifa ndiyo Gentamycine mwenyewe ila hapa anazuga ( unazuga ) ili usijulikane je, ni kweli au?
 
Yeyote anaekerwa na Nyuzi zako ana Stress zinamsumbua tena za hataree. Endelea kutuburudisha.
 
Kuna mahala nimeona Mtu kaandika ID ya Chizi Maarifa ndiyo Gentamycine mwenyewe ila hapa anazuga ( unazuga ) ili usijulikane je, ni kweli au?
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Umeshikwa pabaya leo yatakutoka yoooooote. Mimi ndo bill lugano. πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…