Ni kweli mkuu,Viti maalum vufutwe tu.Wazo la kupunguza idadi ya wabunge si wazo baya; litaokoa fedha nyingi na labda linaweza kulazimisha mabadiliko ya utendaji wa Bunge hilo. Jambo la kwanza ni kuondoa wabunge wa viti maalum. Hawana wanayemwakilisha ambaye hawakilishwi na mbunge wa jimbo.
Nani kakwambia wapo upinzani? Low thinkingWafanye yoote wapendayo ila CCM itambue kuwa kuna MWISHO!!
Magufuli ajifurahishe apendavyo ila atambue kuwa “YANA MWISHO”
Hakuna aliyewahi waza Sumaye na Lowassa Leo watakua upinzani!! Hawa watu Magu hawezi zifikia kariba zao hata robo lakini Leo tunaongea lugha moja!!
Muda ndiye hakimu wa yote!!
Nakumbuka riwaya pendwa ya KULI “lakini yana mwisho”
Sent using Jamii Forums mobile app
Wabunge wa chato na kolomije watapewa wizara ya Ulinzi, Utawala bora, mambo ya ndani, fedha , madini na ujenzi wizara zingine watapewa kabla zinginePia waondoe na wabunge wa kutoka jimbo la ikulu pia itapendeza
In God we Trust
Nani kakwambia wapo upinzani? Low thinking
Kumbe serikali ina kamati kuu na halmashauri kuu (NEC)?Katika kile kinachosemekana kuwa ni mwendelezo Wa Kua na idadi ndogo ya wabunge ,itakayokuwa rahisi kuisimamia , inasemekana kuna jambo lipo jikon kuja kama pendekeza laku merge majimbo ili idadi ya wabunge ipungue ikibidi bunge liwe na idadi isiyozid wabunge 200.
Kumbuka Kwa Sasa wabunge ni 300+.
Ikumbukwe kuwa serikal ya awamu ya tano tayar kupitia kamati zake kuu na halimashauri kuu yaan NEC ,imekwisha punguza idadi ya wajumbe Kwa idadi kubwa.
Hii pia itatumika kama jaribio la kuzima wingu Wa wabunge Wa upinzan kwenye uchaguzi mkuu.
Mfano mnyika anaweza jimbo lake likaunganishwa na jimbo lenye ushwishi mkubwa Wa CCM,ili jumla ya Kura zimtoe.
Hapa kutakua na mtego mkubwa sana ,Na majimbo yatakayolengwa ni yaliyo na upinzan mkali
Ujiitavyo hauendani na uandishi
Hayo maneno ndio umekoroga kuonyesha mada yako imejaa porojo asilimia kubwa au niseme yote.
Mjifunze kuandika na sio kudanganya
Wewe endelea kumlea mwana wa kichina tu ndiyo kazi unayo iweza
In God we Trust
Vyeo vingine viko kwa ajili ya kulipana fadhilaMawaziri na washauri wa Rais ndio wangepunguzwa ...hawana lolote wanalofanya zaidi ya kutumbua hela za walipa kodi
Jiwe akifanya hayo,hata akitawala milele poa tu,apunguze idadi ya mikoa,wilaya,wabunge ni wengi sana,hakuna uhusiano wa maendeleo na kuwa na mbunge,Katika kile kinachosemekana kuwa ni mwendelezo wa kuwa na idadi ndogo ya wabunge ,itakayokuwa rahisi kuisimamia , inasemekana kuna jambo lipo jikoni kuja kama pendekeza laku merge majimbo ili idadi ya wabunge ipungue ikibidi bunge liwe na idadi isiyozid wabunge 200.
Kumbuka Kwa Sasa wabunge ni 300+.
Ikumbukwe kuwa Serikal ya awamu ya tano tayari kupitia kamati zake kuu na halimashauri kuu yaan NEC ,imekwisha punguza idadi ya wajumbe Kwa idadi kubwa.
Hii pia itatumika kama jaribio la kuzima wingu Wa wabunge Wa upinzan kwenye uchaguzi mkuu.
Mfano mnyika anaweza jimbo lake likaunganishwa na jimbo lenye ushwishi mkubwa Wa CCM,ili jumla ya Kura zimtoe.
Hapa kutakua na mtego mkubwa sana ,Na majimbo yatakayolengwa ni yaliyo na upinzan mkali
Usipende kuingilia mambo ya wakubwa, juzi tu imeanzishwa wizara mpyaaa kapewa yule mama wa mavito ya thamani. Hakuna kumuingilia alishasema.Ukubwa wa baraza la mawaziri ni eneo lingine muhimu sana kuliangalia. Inafaa kuwa na serikali ndogo yenye mawaziri wasiozidi 20 ili kubana matumizi na kuongeza tija
Well,...eneo jingine ni kupunguza magari ya thamani kubwa kwa viongozi kuanzia ngazi ya wilaya hadi taifa, hayo magari kuyamaintain ni gharama kubwa mnoUkubwa wa baraza la mawaziri ni eneo lingine muhimu sana kuliangalia. Inafaa kuwa na serikali ndogo yenye mawaziri wasiozidi 20 ili kubana matumizi na kuongeza tija