Watoto kuwa nao uwe na mipango mizuri tu kiuchumi. Vinginevyo ni hawa bodaboda na wauza nguchiro tunawaona humu njiani.
Binafsi nnao wa5.
Kati yao kiukweli ni wa2 tu nilizalisha kwa kudhamiria pamoja na mama zao.
Wa3 waliobaki ni mimba zisizotarajiwa,kutegesheana,na kubambikiana.
Watoto wapo ni wakwangu haikwepeki.mama zao vimekua vizee haswa watoto ndo hao wanashamiri na kuonyesha baba yao nani.
Kizazi chetu tumezaliwa wa4 full stop.
Watajua wazazi walichofanya, ila bibi ukoo upande wa mama alizaa 10,
Bibi ukoo upande wa baba aligonga 6.
Hao wote walikua mama wa nyumbani.
Na walikua ngangari mpk wanakufa.
Kwasasa wanawake tunaoa wanataka wachakarike watengeneze vyao utamzalisha vipi watoto 10?
Hiyo sio mashine,watoto 10+ halafu ukute lijitu anazaa nalo km ww mleta mada unamuona mwanamke ni kumtumia tu.
Unataka watoto kagonge nje huko km we mwamba.
Hao wa3 wanatosha sana wape huduma na mahitaji ya muhimu bila kupungua na mpe afya ya kutosha mzazi mwenzio arudishe nuru yake.
Nna wa5 na kila mmoja na mama yake.
So i talk from experience