Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sipendi purukushani za kulea huku na kule. Niliazaa mtoto mmoja tu wakati ule sijaoa. Sasa hivi mke wangu kashaanza kumuonea wivu japo hatuishi na huyo mtoto. Nikiongeza wengine naona itakua vita tu.Ukipenda mwanamke mwingine zaa nae upendavyo
Ila hakikisha we sio baba suruali
U need to provide na sio kifedha tu...muda.,malezi nk
Hali ni ya wastani naweza kuhudumia vizuri watoto sita. Ila sio wale baga! Ni mwendo wa wali maharage, dagaa na sukuma wiki! Nyama jumapili!Kama una hali nzuri, unazaa tu ila sikiliza na mke anasemaje, wakati mwingine ni Jambo la kupanga mapema kabisa.
Hizi ni roles za mwanamke hazikwepekiWanaume wabinafsi sana
Hawajui kubeba mimba
Wala labour
Wala operation
Wala kunyonyesha
Sasa mtu majukumu kama hayo eti anaona kama vile anatoa msaada 😀😀😀Imagine. Hiyo ni asili. Muhimu aliyeweka mimba ajue majukumu yake.
Nalalamikia anayedai watoto wengi bila kuzingatia afya ya mamaHizi ni roles za mwanamke hazikwepeki
Yaani unalalamikia kubeba mimba kunyonyesha mtt wako 😳😳😳
Ss utaingia kwny vita isiyo ya lazima na mkeoSipendi purukushani za kulea huku na kule. Niliazaa mtoto mmoja tu wakati ule sijaoa. Sasa hivi mke wangu kashaanza kumuonea wivu japo hatuishi na huyo mtoto. Nikiongeza wengine naona itakua vita tu.
Na kweliWatoto wengi wana raha uzeeni. Imagine una mtoto mmoja afu umezeeka. Kuhusu wasiohudumia ni kitu kibaya sana. Mwanaume sharti ahudumie mke na watoto.
Ooow hapo sawaNalalamikia anayedai watoto wengi bila kuzingatia afya ya mama
Afya ya kimwili na kiakili
Mke wako atakuongezea Mtoto wa nyongeza wala usijali!!!watu mnazaa....duuh...
una watoto watatu ila bado hawakutoshi.... mtoto mmoja anatosha wa pili labda ukipitiwa.
binafsi nina mmoja na hapati kaka wala dada.
Kuna watu wana watoto wengi af walio na maisha byee ni mmoja au wawili tu, na kuna wengine hakuna mwenye maisha wote apeche alolo na kuna wenye mtoto mmoja na yuko vizuri kweli..anafanya majukumu vizuri kama mtoto wa hiyo familia.. mkuu usikariri haloo. Naongea na mifano kibwena ninayo.Watoto wengi wana raha uzeeni. Imagine una mtoto mmoja afu umezeeka. Kuhusu wasiohudumia ni kitu kibaya sana. Mwanaume sharti ahudumie mke na watoto.
I mean, why not?Ooow hapo sawa
Ikiwa una afya mwili na akili ata sita unazaa sio
Ok good 👍👍👍I mean, why not?
wanaweza kuuana kwa tamaa ya mali na wakawauwa wazazi pia. Mungu atunusuru.Hata ukizaa 7 wanaweza wasiwe mashoga, na wajukuu wasilete pia, kwan nan kakuambia mashoga hawazalishi?
2Ok good 👍👍👍
Btw how many do u hv now