IDF Jeshi bora kabisa duniani na MOSSAD idara bora zaidi ya ujasusi duniani!

Mzee wangu fani yetu hatuandiki sana ni watu wa vitendo na codes!!!!Nadhani itakua busara ukijitolea kunifundisha kuandika vizuri mzee wangu sababu naamini hiyo ni fani yako!!
Nelson...
Kozi ya kwanza Chuo Kikuu hata kama ni West Point ni kuandika.

Mimi fani yangu si kuandika.
Kuandika haijapata kuwa fani.
 
Nelson...
Kozi ya kwanza Chuo Kikuu hata kama ni West Point ni kuandika.

Mimi fani yangu si kuandika.
Kuandika haijapata kuwa fani.
Upo sahii kabisa na unazungumza kama raia,mchambuzi na mwanasiasa nakuelewa kabisa mzee wangu upo sawa hujakosea!!!!Ila kule kozi ya kwanza ni kutenganisha na kuunga vyuma vya aina zote sio kuandika nadhani umenielewa namaanisha nini!!Maana nimejaribu kutumia tafsida kidogo mzee wangu
 
Nelson...
Nimekueleza mara nyingi mimi si mwanasiasa.

Watu wanakusoma.
Umekuwa kichekesho.

Kuna mtu hapa anaitwa "Smart."
Msome.
 
Huwezi kujisisifu kwa kupambana na wagambo, lini hisbollah waliwahi kuwa na na nchi au serikali kamili.Au mnajipima na Idd amin dada.
 
Tatizo mkuu huna hoja kwenye uandishi wako ndo maana sometime nakupotezea.

Wewe una ile "Trust me bro" style ya uandishi, unataka uaminiwe tu maneno yako ambayo hayajulikani yanatoka wapi.

Katika kila field kuna wasomi wake, na msomi hajitangazi bali anatambuliwa, same kwenye vita kuna waandishi wa vita wanatambulika.

Wewe unajidai kukutana na viongozi wote hao, tuumbue humu na picha na evidence kuthibitisha maneno yako kama Mzee wetu Mohamed Said anavyofanya otherwise zitakua ni Porojo tu.
 
Karibu uendelee kuchangia na nadhani kuna vitu nilikuuliza kuhusu Hezbollah ndugu yangu!!
 
Vita ni Objective
-objective ya Egpty kurudisha eneo lake la sinai
-Objective ya Israel kulinda sinai

Baada ya Vita Israel akaachia eneo na Egpty akachukua, hapa tu hapataki longo longo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…