IDF Jeshi bora kabisa duniani na MOSSAD idara bora zaidi ya ujasusi duniani!

IDF Jeshi bora kabisa duniani na MOSSAD idara bora zaidi ya ujasusi duniani!

Mzee wangu fani yetu hatuandiki sana ni watu wa vitendo na codes!!!!Nadhani itakua busara ukijitolea kunifundisha kuandika vizuri mzee wangu sababu naamini hiyo ni fani yako!!
Nelson...
Kozi ya kwanza Chuo Kikuu hata kama ni West Point ni kuandika.

Mimi fani yangu si kuandika.
Kuandika haijapata kuwa fani.
 
Nelson...
Kozi ya kwanza Chuo Kikuu hata kama ni West Point ni kuandika.

Mimi fani yangu si kuandika.
Kuandika haijapata kuwa fani.
Upo sahii kabisa na unazungumza kama raia,mchambuzi na mwanasiasa nakuelewa kabisa mzee wangu upo sawa hujakosea!!!!Ila kule kozi ya kwanza ni kutenganisha na kuunga vyuma vya aina zote sio kuandika nadhani umenielewa namaanisha nini!!Maana nimejaribu kutumia tafsida kidogo mzee wangu
 
Upo sahii kabisa na unazungumza kama raia,mchambuzi na mwanasiasa nakuelewa kabisa mzee wangu upo sawa hujakosea!!!!Ila kule kozi ya kwanza ni kutenganisha na kuunga vyuma vya aina zote sio kuandika nadhani umenielewa namaanisha nini!!Maana nimejaribu kutumia tafsida kidogo mzee wangu
Nelson...
Nimekueleza mara nyingi mimi si mwanasiasa.

Watu wanakusoma.
Umekuwa kichekesho.

Kuna mtu hapa anaitwa "Smart."
Msome.
 
Tuzungumzie vita vya kusini mwa lebanon ila kwa mtazamo wa kijeshi sio ushabiki!!!Haya tuanzie vita vya mwaka gani kati ya IDF na wanamgambo wa hezbolah!!!Tuangalie tactics za majeshi yote mawili na objectives achieved katika vita vyao!!!Nani aliweza kuingia ndani ya eneo la mwenzie na kuachive millitary goals!!!Karibu kaka nakusikiliza
Huwezi kujisisifu kwa kupambana na wagambo, lini hisbollah waliwahi kuwa na na nchi au serikali kamili.Au mnajipima na Idd amin dada.
 
Unajua ndugu zangu mimi ndio nimeleta mada nazungumzia ubora wa IDF katika operation zao kiasi gani wanaweza kumake postive marks in 2HP ground marks,ground plan,s while engaged direct fire shot,s na capablity of individual marine,s!!!Nazungumzia ubora wao kwenye uwanja wa mapambano kama mchambuzi wa maswala ya kijeshi!!!Sasa wadau mnaleta siasa na story za waandishi wa habari mnazitoa google!!!!Ndio maana nikauliza mmeshawahi kua uwanja wa mapambano mkishuhudia vita vya pande mbili????Mmeshawahi kunusa harufu ya kifo namaanisha direct fire shot,s katika uwanja wa mapambano??????Kama hamjawahi ni vigumu kuelewa ubora wa jeshi katika uwanja wa mapambano kama mada inavyosema!!!!!!
Tatizo mkuu huna hoja kwenye uandishi wako ndo maana sometime nakupotezea.

Wewe una ile "Trust me bro" style ya uandishi, unataka uaminiwe tu maneno yako ambayo hayajulikani yanatoka wapi.

Katika kila field kuna wasomi wake, na msomi hajitangazi bali anatambuliwa, same kwenye vita kuna waandishi wa vita wanatambulika.

Wewe unajidai kukutana na viongozi wote hao, tuumbue humu na picha na evidence kuthibitisha maneno yako kama Mzee wetu Mohamed Said anavyofanya otherwise zitakua ni Porojo tu.
 
Tatizo mkuu huna hoja kwenye uandishi wako ndo maana sometime nakupotezea.

Wewe una ile "Trust me bro" style ya uandishi, unataka uaminiwe tu maneno yako ambayo hayajulikani yanatoka wapi.

Katika kila field kuna wasomi wake, na msomi hajitangazi bali anatambuliwa, same kwenye vita kuna waandishi wa vita wanatambulika.

Wewe unajidai kukutana na viongozi wote hao, tuumbue humu na picha na evidence kuthibitisha maneno yako kama Mzee wetu Mohamed Said anavyofanya otherwise zitakua ni Porojo tu.
Karibu uendelee kuchangia na nadhani kuna vitu nilikuuliza kuhusu Hezbollah ndugu yangu!!
 
Tuzungumzie 2HP tactics of both sides,tuzungumzie Air and ground target coverages,tuzungumzie red lines coverages of turning in and turning out of both side!!!!Tuzungumzie metal storage out come of both side,s!!!!Ukizungumzia hivi vitu ndio utaelewa kwanini mada yangu nasema IDF ni jeshi bora zaidi
Vita ni Objective
-objective ya Egpty kurudisha eneo lake la sinai
-Objective ya Israel kulinda sinai

Baada ya Vita Israel akaachia eneo na Egpty akachukua, hapa tu hapataki longo longo.
 
Back
Top Bottom