IDF Jeshi bora kabisa duniani na MOSSAD idara bora zaidi ya ujasusi duniani!

R&D ya Nyuklia ikiisha tu, target ya kwanza kuwa levelled ni Tel Aviv

kaeni chonjo Jews wa Homboza
 
Ndani ya serikali ya Syria mOSSAD walipandikiza mamluki wao (wakimlea kuanzia Argentina, German) kisha akaja kuwamalizia Damascus.
Ila kuna mmoja alikamatwa nadhani Cohen na yule wa kike alifungwa maisha ila baadae walibadilishana nae kama mateka wa kivita!!!MOSSAD wapo vizuri
 
Iran wewe jamaa utakuwa kichaa

USSR
Kaka weka ushabiki pembeni tuzungumze military issues hapa kiuchambuzi kama wasomi!!!Kama maafisa wa Mossad kila siku wapo Riyadh kukutana na MBS au wapo Algeria kukutana counter part wenzao kwenye mambo ya kijasusi unategemea nini kaka!!!Mimi ni mchambuzi wa mambo ya kijeshi sio shabiki wa mambo ya kisiasa au udini au kimtazamo kaka
 
Hakuna kitu kama hicho wanachukuianq kuliko unavyodhania nishawahi kuwa huko juu sikuwahi jua kama hizo Nchi zina chuki kiasi hicho baina yao na usipojua hiyo mambo utaandika chochote tuu...mwaka jana tuu truck la Algeria lilipigwa Bomu lilikua linaenda kwenye ile Nchi ambayo wao wanaisapoti nadereva wa Algeria huwa wanatekwa harafu unakuja kuongea sijui underground project hizi hadithi simulianeni huko huko...
 
Wauaji tu hao. Ni sawa na manazi wa ujerumani. Wameiga kila mbinu za waliyokua watesi wao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…