Nelson Jacob Kagame
JF-Expert Member
- Dec 26, 2022
- 9,576
- 13,545
- Thread starter
-
- #121
Sisi wachambuzi wa medani za kivita na wanajeshi hatunaga mda wa kuhoji watu tunaangalia tu ufanisi wa kazi yetu uwanja wa mapambano!!!Siasa na maneno mengi ni mambo ya wanasiasa na wachambuzi wa siasa!!!!Sasa leo mada ni operation za IDFNelson...
Mbona una hofu?
Subiri unisome kwanza.
Mimi nimefika hadi Bar Lev Line Sinai.
Unajua nishapata kukueleza kuwa kuna mambo huwa sipendi kusema kwa kuchunga staha.
Hawajapata hata watu wajuzi kukataa kunihoji au kunisikiliza.
Nelson...Nimetoa angalizo toka mwanzo kua kama wewe sio mchambuzi wa kijeshi hii mada haikuhusu sababu hakuna udini au siasa!!Nakuomba radhi mzee wangu kwa niaba yao""Wasamehe""
Nelson...Sasa mzee wangu nina hofu nachotaka kusema mada hii haitaki siasa tunazungumzia uzoefu wetu kijeshi!!!!Nikuulize kwanza mzee wangu ushawahi kutumia bunduki au kushiriki vita yoyote???????Kama hujawahi nina wasiwasi utaleta siasa badala ya uchambuzi wa kijeshi
Kama juzi wamempiga Iran kwake kutokea kwake, Iran kashindwa cha kulipizaIsrael ni wachache sana, ila Sasa , Fikiria opereshen zao za kijasusi ni Dunia nzima
RwandaKichekesho! Kuna ka nchi kanajiona ni israel ya afrika ya kati, kanipiga mikwara wenzake wakubwa eti kanasea kako imara. Sasa kasijaribu kuichokoza nchi moja kubwa jirani yake na katajua kako imara kwa kiasi gani. Ile nchi kubwa jirani yake daima ina nguvu za kuwachakaza wachokozi, wawe wakubwa au wadogo kichapo kikubwa hupata
Hii vita unayotaka anzisha utaiweza?lazima kuwa bora kwenye ujasusi na kejeshi.sasa mtu unaenda kufundisha mbinu msikitini na kanisani unazani kuna siri hapo zaidi ya kuchunguzwa na unaowafundisha
Kuna Amman, Shinbet, MossadIDF na Mossad ni wasiri mno hata majasusi wao huwezi kuwajua
Mna umuhimu gani hadi mpewe hizo pesa?Hivi bila mikataba ya kubadilishana taarifa (Intelligence Sharing Agreements) na mataifa ya kizungu (Anglo-Saxons States/5 Intelligence Eyes ) Israel inaweza kuwa na nguvu hii-hii kijeshi na kijasusi ??? Hebu tuwe wakweli kidogo.
Pia, kila mwaka Israel anapewa msaada wa kijeshi kutoka Marekani, dola za Kimarekani bilioni 3.3, ambazo ni sawa na trilioni 7 za Kitanzania. Mahela yote haya ya kununulia vifaa, kufanya tafiti na kufanyia oparesheni za kijeshi na kijasusi, unadhani watakuwa wa kawaida kweli ???
Leo hii hata sisi Tanzania tupewe trilioni 7 kama bajeti ya jeshi kila mwaka, unadhani TPDF itakuwa ya mchezo mchezo ??? (Japo nina wasiwasi sisi Tanzania tukipewa msaada kama huu, lazima tutaiba tu)
Muda huo hawakuwa nchi na hawakuwa na makazi maalumu.Wanapewa msaada na US hakuna Cha zaidi ya hapo. Wangekua na ability hiyo mnayoisema hapa wasingechinjwa kiasi kile na Hitler
Hapa nazungumza kama mchambuzi wa medani za kijeshi na vita uwanja wa mapambano na sio mambo ya kidini au siasa nazungimzia uzoefu wangu binafsi uwanja wa mapambano!!!!Kama una lolote la kuchsngia karibu mzee wangu ila mada ni IDF na Mossad
Nelson...Sisi wachambuzi wa medani za kivita na wanajeshi hatunaga mda wa kuhoji watu tunaangalia tu ufanisi wa kazi yetu uwanja wa mapambano!!!Siasa na maneno mengi ni mambo ya wanasiasa na wachambuzi wa siasa!!!!Sasa leo mada ni operation za IDF
Si ungawataja tu TISSKaz kaz hao
Ukimuona tu chief wa mossad unajuwa hapa kuna mtu wa kazi
Siyo mChief wengine matumbo makubwa kukimbia tu shida
Ova
Mbona ukifatilia kwa kutaka jifunza utaelewa kuwa kilichotokea kilisababishwa na CIA na FBI kutokubadilishana taarifa?Wakati bin Laden alishusha majengo katikati ya marekani
Eli CohenNdani ya serikali ya Syria mOSSAD walipandikiza mamluki wao (wakimlea kuanzia Argentina, German) kisha akaja kuwamalizia Damascus.
USA anaongoza kwenye kila kitu kasoro active duty soldiersJe US military ni ya ngapi kwa ubora?.... kumbuka US hutoa mabillioni ya dola kufadhili ulinzi wa Israel mfano teknolojia ya Iron dome.
T14 Armata HIMARS Sela Son
Mzee unaweza kuelezea kidogo kuhusu Zionism/uzayoni naona huo ndio unaifanya Israel kuwa hivi ilivoNelson...
Nakuwekea hiyo picha hapo chini kutoka Maktaba yangu.
Picha inasema maneno 1000:
Kitabu cha Schidler kitakupa mateso waliyopitia Wayahudi katika Vita Vya Pili Vya Dunia.
Wakati kaua wanasanyi zaidi ya 10 bila malipokiboko yao ni Iran
Sio hiyo tu watakukana ukidakwaNdiyo taratibu za secret mission zote,majasusi hawatakiwi kuwekwa wazi,even DELTA FORCE,SEAL COMMANDOS tend to remain unidentified after the mission [emoji137]
Itaishaje wakati kila wakati mnarudishwa nyuma.R&D ya Nyuklia ikiisha tu, target ya kwanza kuwa levelled ni Tel Aviv
kaeni chonjo Jews wa Homboza
Mbona una hasira mkuu wangu?.Mnajua wanajeshi wa israel kuliko jwtz hapo hata nikuulize cdf wa nchi yako humjui
Nelson...Sisi wachambuzi wa medani za kivita na wanajeshi hatunaga mda wa kuhoji watu tunaangalia tu ufanisi wa kazi yetu uwanja wa mapambano!!!Siasa na maneno mengi ni mambo ya wanasiasa na wachambuzi wa siasa!!!!Sasa leo mada ni operation za IDF
TISS ni collective sanaIDF-israel defense Force,mossad- ndiyo Tiss ya Israel [emoji1787][emoji1787][emoji1787]