IDF wadai kumuua kamanda wa ngazi ya juu wa Hezbollah Abu Ali

IDF wadai kumuua kamanda wa ngazi ya juu wa Hezbollah Abu Ali

ILAN RAMON

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2013
Posts
9,698
Reaction score
4,488
Taarifa iliyotolewa na jeshi hilo limesema, Abu Ali Rida, kamanda wa Hezbollah kwenye eneo la Baraachit, kusini mwa Lebanon "ameuawa" katika shambulizi la anga.

Jeshi la Israel limesema Rida alikuwa akiongoza shughuli za kigaidi ikiwa ni pamoja na kupanga mashambulizi yaliyowalenga wanajeshi na zana za kivita za Israel kusini mwa Lebanon.

Mauaji ya Rida yametangazwa wakati Israel inaendelea kuzishambulia ngome za kundi la Hezbollah ndani ya Lebanon katika kampeni yake ya kijeshi iliyoanza mwezi Septemba.

Kwa upande mwengine, kundi la Hezbullah limesema kuwa limerusha mkururo wa maroketi kuelekea mji wa Safed kaskazini mwa Israel mapema hivi leo.

Source: DW Kiswahili
 
Screenshot_20241104-174250_1.jpg


Hii ni hatar sana
 
Taarifa iliyotolewa na jeshi hilo limesema, Abu Ali Rida, kamanda wa Hezbollah kwenye eneo la Baraachit, kusini mwa Lebanon "ameuawa" katika shambulizi la anga.

Jeshi la Israel limesema Rida alikuwa akiongoza shughuli za kigaidi ikiwa ni pamoja na kupanga mashambulizi yaliyowalenga wanajeshi na zana za kivita za Israel kusini mwa Lebanon.

Mauaji ya Rida yametangazwa wakati Israel inaendelea kuzishambulia ngome za kundi la Hezbollah ndani ya Lebanon katika kampeni yake ya kijeshi iliyoanza mwezi Septemba.

Kwa upande mwengine, kundi la Hezbullah limesema kuwa limerusha mkururo wa maroketi kuelekea mji wa Safed kaskazini mwa Israel mapema hivi leo.

Source: DW Kiswahili
Naona Israel inaendelea kulenga Wanawake. Israel imeshindwa kuua wapiganaji!! 😂
 
Wasaidiwe kwa kweli

Hawa nawaunga mkono

Wana utajiri mwingi lakin wanaishi kimasikin sana kama Tanganyika na utajiri wao haviendan kabisa na umasikin walio nao

USA alienda kuwakomboa raia wa Iraq.
USA alienda kuwakomboa raia wa Libya.
USA alienda kuwakomboa raia wa Afghanistan.

Calculate mwenyewe life before and after USA.
 
Wasaidiwe kwa kweli

Hawa nawaunga mkono

Wana utajiri mwingi lakin wanaishi kimasikin sana kama Tanganyika na utajiri wao haviendan kabisa na umasikin walio nao

USA alienda kuwakomboa raia wa Iraq.
USA alienda kuwakomboa raia wa Libya.
USA alienda kuwakomboa raia wa Afghanistan.

Calculate mwenyewe life before and after USA.
 
USA alienda kuwakomboa raia wa Iraq.
USA alienda kuwakomboa raia wa Libya.
USA alienda kuwakomboa raia wa Afghanistan.

Calculate mwenyewe life before and after USA.
Kikubwa magaidi kina osama, chemical ali, Ayman al zawahir, na taleban waliteketezwa hata hivyo taleban mpya wameacha ugaidi
 
Back
Top Bottom