ILAN RAMON
JF-Expert Member
- Sep 10, 2013
- 9,698
- 4,488
Taarifa iliyotolewa na jeshi hilo limesema, Abu Ali Rida, kamanda wa Hezbollah kwenye eneo la Baraachit, kusini mwa Lebanon "ameuawa" katika shambulizi la anga.
Jeshi la Israel limesema Rida alikuwa akiongoza shughuli za kigaidi ikiwa ni pamoja na kupanga mashambulizi yaliyowalenga wanajeshi na zana za kivita za Israel kusini mwa Lebanon.
Mauaji ya Rida yametangazwa wakati Israel inaendelea kuzishambulia ngome za kundi la Hezbollah ndani ya Lebanon katika kampeni yake ya kijeshi iliyoanza mwezi Septemba.
Kwa upande mwengine, kundi la Hezbullah limesema kuwa limerusha mkururo wa maroketi kuelekea mji wa Safed kaskazini mwa Israel mapema hivi leo.
Source: DW Kiswahili
Jeshi la Israel limesema Rida alikuwa akiongoza shughuli za kigaidi ikiwa ni pamoja na kupanga mashambulizi yaliyowalenga wanajeshi na zana za kivita za Israel kusini mwa Lebanon.
Mauaji ya Rida yametangazwa wakati Israel inaendelea kuzishambulia ngome za kundi la Hezbollah ndani ya Lebanon katika kampeni yake ya kijeshi iliyoanza mwezi Septemba.
Kwa upande mwengine, kundi la Hezbullah limesema kuwa limerusha mkururo wa maroketi kuelekea mji wa Safed kaskazini mwa Israel mapema hivi leo.
Source: DW Kiswahili