IDF wadai kumuua kamanda wa ngazi ya juu wa Hezbollah Abu Ali

IDF wadai kumuua kamanda wa ngazi ya juu wa Hezbollah Abu Ali

Attachments

  • GbibFm9XMAAzdTI.jpeg
    GbibFm9XMAAzdTI.jpeg
    122 KB · Views: 1
Habari mbaya kwa magaidi na colleagues wao Trump kashinda huko Iran lazima abanwe pumb*
Unajua nini? Wakati Netanyahu alipoenda US na kumtembelea Trump kule Maralaga Florida wanasema walikubaliana kuwa Netanyahu amalize vita za huko Mashariki ya Kati kabla ya Trump kuapishwa January 2025. Jana Netanyahu ananusa ushindi wa Trump, amemfire waziri wa Ulinzi ambaye amekuwa kukwazo kwa Israel kukamilisha ushindi huko Gaza na Lebanoni. Hivyo Alina Ritz na Maislamists wenu mjue muda wenu wa kujidai umekwisha. Gaza na Lebanon katika kipindi hiki kufikia January mtanyolewa bila maji mpaka muishe kabisa. Mwambie na Bikira wenu wa 72 Faizafoxy
 
Habari mbaya kwa magaidi na colleagues wao Trump kashinda huko Iran lazima abanwe pumb*
Toka Trump awe rais hadi anatoka kitini hakuna sehemu Iran ilififia.
Tena akiingia yeye huwenda akaifanya Iran kuwa imara zaidi.
 
Toka Trump awe rais hadi anatoka kitini hakuna sehemu Iran ilififia.
Tena akiingia yeye huwenda akaifanya Iran kuwa imara zaidi.
Qasim Soleimani aliteketezwa hadi Ayatollah akamwaga machozi 😢 😿 😭 safari hii Ayatollah atalambishwa Udongo
 
Qasim Soleimani aliteketezwa hadi Ayatollah akamwaga machozi 😢 😿 😭 safari hii Ayatollah atalambishwa Udongo
Kifo cha Qassem Soleiman kililipizwa kwa Iran kulipua US millitary base Iraq.
Una lipi lingine!?
 
Back
Top Bottom