Nangu Nyau
JF-Expert Member
- Jul 1, 2022
- 5,015
- 14,139
Kikubwa magaidi kina osama, chemical ali, Ayman al zawahir, na taleban waliteketezwa hata hivyo taleban mpya wameacha ugaidi
Ukijua kwanini Osama na Alqaed waliingia kwenye hizo harakati na USA utajua kwanini mpaka leo hiyo organization ipo.
Kasome historia.
Talebani ni Ile Ile na objective yao ni ileile.