Nangu Nyau
JF-Expert Member
- Jul 1, 2022
- 5,015
- 14,139
Kikubwa magaidi kina osama, chemical ali, Ayman al zawahir, na taleban waliteketezwa hata hivyo taleban mpya wameacha ugaidi
Israel hajaingia hata 1km huko lebanon,mwezi sasa, makamanda kibao wa israel wanauawa na hizbullah,tusiosubiri wafadhili wa israel watangaze wala hatushtushwi na hizo habariAyatolah kawaingiza cha KIKE hawa 😆😆🤣
Nenda na wewe ukawekweHaisaidii.
Unaua chuma kinawekwa chuma
Na iwe hivyo kwa kweliIsrael will liberate iranians from Islamic theocratic regime's occupation sooner than later
IDF imeongia Lebanon kwa umbali wa KM 20.Israel hajaingia hata 1km huko lebanon,mwezi sasa, makamanda kibao wa israel wanauawa na hizbullah,tusiosubiri wafadhili wa israel watangaze wala hatushtushwi na hizo habari
What an answer!Nenda na wewe ukawekwe
Hahahaaaa,hata wenyewe wakikusikia watashangaa,katoa vikosi vyake jana na juzi kabakiza kimoja,baada ya kujaribu kuingia kila angle na kufeli,akaona atest kupitia khiyam..waapi,hasira kaenda kubomoa majumba kwa ndegeIDF imeongia Lebanon kwa umbali wa KM 20.
Kwanino tu usiulize source badala ya kuja na sarakasi.Hahahaaaa,hata wenyewe wakikusikia watashangaa,katoa vikosi vyake jana na juzi kabakiza kimoja,baada ya kujaribu kuingia kila angle na kufeli,akaona atest kupitia khiyam..waapi,hasira kaenda kubomoa majumba kwa ndege
Nina source zangu zina update hourlyKwanino tu usiulize source badala ya kuja na sarakasi.
Uwe unaziwekq hapa ili mjadala unoge usiwe kama yule shehe Adiosamigo ambaye anatumia mihemuko ya kisuna kujibu.Nina source zangu zina update hourly
Haaretz wanataka kulifungia wayahudi,ni gazeti lao ila linaandika ukweli sometimes,kuna ahronoth na channel za lebanon za telegram nkUwe unaziwekq hapa ili mjadala unoge usiwe kama yule shehe Adiosamigo ambaye anatumia mihemuko ya kisuna kujibu.
Another One ,DJ walete ,mwingine mleteni aelekezwe qibla kabisa.Taarifa iliyotolewa na jeshi hilo limesema, Abu Ali Rida, kamanda wa Hezbollah kwenye eneo la Baraachit, kusini mwa Lebanon "ameuawa" katika shambulizi la anga.
Jeshi la Israel limesema Rida alikuwa akiongoza shughuli za kigaidi ikiwa ni pamoja na kupanga mashambulizi yaliyowalenga wanajeshi na zana za kivita za Israel kusini mwa Lebanon.
Mauaji ya Rida yametangazwa wakati Israel inaendelea kuzishambulia ngome za kundi la Hezbollah ndani ya Lebanon katika kampeni yake ya kijeshi iliyoanza mwezi Septemba.
Kwa upande mwengine, kundi la Hezbullah limesema kuwa limerusha mkururo wa maroketi kuelekea mji wa Safed kaskazini mwa Israel mapema hivi leo.
Source: DW Kiswahili
Weka hata link...Haaretz wanataka kulifungia wayahudi,ni gazeti lao ila linaandika ukweli sometimes,kuna ahronoth na channel za lebanon za telegram nk
Nenda telegram search lebanese news, resistance trench, middle east spectator, zitakuja nyingi, utapata minute per minute update, middle east spectator ni uhakika zaidi hadi CNN wanai-referWeka hata link...
Mpaka wataisha tu!!Haisaidii.
Unaua chuma kinawekwa chuma
Hivi hao magaidi wakiamua kuja Africa tutaweza kupigana nao kweli?Taarifa iliyotolewa na jeshi hilo limesema, Abu Ali Rida, kamanda wa Hezbollah kwenye eneo la Baraachit, kusini mwa Lebanon "ameuawa" katika shambulizi la anga.
Jeshi la Israel limesema Rida alikuwa akiongoza shughuli za kigaidi ikiwa ni pamoja na kupanga mashambulizi yaliyowalenga wanajeshi na zana za kivita za Israel kusini mwa Lebanon.
Mauaji ya Rida yametangazwa wakati Israel inaendelea kuzishambulia ngome za kundi la Hezbollah ndani ya Lebanon katika kampeni yake ya kijeshi iliyoanza mwezi Septemba.
Kwa upande mwengine, kundi la Hezbullah limesema kuwa limerusha mkururo wa maroketi kuelekea mji wa Safed kaskazini mwa Israel mapema hivi leo.
Source: DW Kiswahili
Taarifa iliyotolewa na jeshi hilo limesema, Abu Ali Rida, kamanda wa Hezbollah kwenye eneo la Baraachit, kusini mwa Lebanon "ameuawa" katika shambulizi la anga.
Jeshi la Israel limesema Rida alikuwa akiongoza shughuli za kigaidi ikiwa ni pamoja na kupanga mashambulizi yaliyowalenga wanajeshi na zana za kivita za Israel kusini mwa Lebanon.
Mauaji ya Rida yametangazwa wakati Israel inaendelea kuzishambulia ngome za kundi la Hezbollah ndani ya Lebanon katika kampeni yake ya kijeshi iliyoanza mwezi Septemba.
Kwa upande mwengine, kundi la Hezbullah limesema kuwa limerusha mkururo wa maroketi kuelekea mji wa Safed kaskazini mwa Israel mapema hivi leo.
Source: DW Kiswahili