HasikiiHuyu sultan,kichwa ngumu sana
Very true. Suppose ni baba yako mzazi, just imagine how disgraceful it is!!! Very painful. Your wife, sons & daughters etc. Daaaah!!Kimsingi ile ni dhihaka! Na anarudia kosa lile lile si kitu kizuri mfano iwe picha ya Baba yake mtu aipost anacheka vile yeye angejiskiaje? Mwache apate anachokitafuta
Yes, alitakiwa aende chuo badala yake akaenda huko. Hivi miaka 27 ni midogo?Ana miaka 27??
Alishinda BBA akiwa na miaka 21.
Idris ana miaka 27?ha ha haa kwahiyo BBA ya 2014 alishiriki akiwa na miaka 21?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ulimwita ms*&nge akakwambia mtukane tena tusi jipya, Hilo limepitwa na wakati.
Tena ulirukia comment Wala si yako.
Unatukana watu Moderator anakuangalia, hiyo tabia ukienda nayo mitaani, nakutahadharisha, kuna watu wana ngumi zao zimechanjiwa
Nilipoiona ile picha nilisema moyoni huyu jamaa haponi
Yule mkubwa hata kwa macho anaonekana tu. Si chini ya 31.Yes, alitakiwa aende chuo badala yake akaenda huko. Hivi miaka 27 ni midogo?
nauliza kosa lake ni lipi hawataki kujibu. ujinga mtupu nchi inaacha kudeal na mambo ya msingi inadeal na pichaHata Judge atacheka akiwa anatoa hukumu kama ni kwa ajili ya picha ile
Ingekuwa vyema kama wangekamatwa ambao hawakucheka baada ya kuona picha ile
Sent using Jamii Forums mobile app
Alishiriki akiwa ametoka kumaliza form sixIdris ana miaka 27?ha ha haa kwahiyo BBA ya 2014 alishiriki akiwa na miaka 21?
Sent using Jamii Forums mobile app
Labda kwake hiyo nayo ni sehemu ya sanaa yake.Sijui kwanini hakomi
Huyu dawa yake ndogo sana inabidi apigwe pipe mchana kutwa huku akichukuliwa video baada ya hapo anapigwa onyo../QUOTE]
unajilisha matango pori mixxer madodoki.
yani watu wazima tukae tusubiri tuone role ya kigogo 2025 [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]