Yudatade Edesi Shayo
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 2,903
- 4,334
Siyo kwa idrissa kaka yule dogo ni kama ukiniona mimi hutoamini kama na hiyo 27 ,jamaa hata chuo hakwenda yeye alikwenda bbaYule mkubwa hata kwa macho anaonekana tu. Si chini ya 31.
Ila wana kasumba sana ya kujipunguza umri hawa mastaa.
Hili ndo tataizo lakw yuko very positive sana jamaa yule hata ukimsikiliza kwa makini brain ipo huwa ana hoji mambo mengi ya kimsingi!!sasa kwa nchii kwa muda siyo rafikiKuna siku alihoji freedom of speech uko Twitter, shortly idrisa sultan siyo praise team yeye anasimamia kwenye ukweli tofauti na celebrities wengine uchwara
Sent using Jamii Forums mobile app
Basi mwonekano. Kama yeye ana 27 sasa mimi si ndio nitakuwa na 20.Siyo kwa idrissa kaka yule dogo ni kama ukiniona mimi hutoamini kama na hiyo 27 ,jamaa hata chuo hakwenda yeye alikwenda bba
Sent using Jamii Forums mobile app
Matatizo ya kujitakia
Wakati wa utawala wa JK mwanzoni kuna Jamaa alikuwa anajiita Ze Utamu, akadhalilisha watu wengi sana mwishowe akajikuta anamdhalilisha Mkuu wa Nchi
Aliishi Michigan, watu walimtafuta kwa mbinu za medani akajikuta kaingia kwenye 18 za Nchi
Alikuja akapigwa pipe akarekodiwa then akaachiwa huru arudi zake US akaambiwa nenda kaendelee ku post, mpaka leo hajarudia, Baba yake alikuwa Waziri wakati wa Nyerere na sasa hivi mmoja wa ndugu zake wa karibu ni Mbunge
Sent using Jamii Forums mobile app
Kiongozi acha kutupiga Sound,vyote ulivyoandika ni vya kufikirika tu.Ulipaswa uulize mbinu gani za medani zimetumika kabla ya kukurupuka
Watu wengi sana wanafanyiziwa huko huko US labda kama si mfuatiliaji
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahah jamaa analeta story za kwny movie.We jamaa acha uongo yaani Uingie USA ufanye unyama halafu utoke kirahisi kwa hawa watu wetu..nasema HAPANA
Sent using Jamii Forums mobile app
Bambo alisema "nacheka lkn naogopa"Huyu dogo ambacho hakijui, wengi tulicheka Sana Hadi machozi. Lakn unacheka kimya kimya kama ile ngoma ya Jay moe
Sent using Jamii Forums mobile app
Ana mwili mkubwa ila chali tu ndo maana siku moja alikuwa ana hojiwa si kushangaa kusema ile 540m alishinda ilipukutika yote bila hata kununua nyumba!!utoto mwingiBasi mwonekano. Kama yeye ana 27 sasa mimi si ndio nitakuwa na 20.
Wema alizila.Ana mwili mkubwa ila chali tu ndo maana siku moja alikuwa ana hojiwa si kushangaa kusema ile 540m alishinda ilipukutika yote bila hata kununua nyumba!!utoto mwingi
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa ila yule hana 27 mzee,yule ni wa 90Idris ni age mate wangu tumemaliza wote form six 2014 tumekwenda jeshini kwa mujibu wa sheria sema tu umaarufu umekuja mapema
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii ndio Tanzania......... sio kama US vile anavofanya Travor Noah. Hope mnaelewa.View attachment 1454271
Mchekeshaji huyo mwenye miaka 27 anashikiliwa katika Kituo cha Polisi Oysterbay Jijini Dar na anahojiwa katika Kitengo cha Makosa ya Mtandaoni
Anashikiliwa baada ya kuwasili Kituoni hapo kufuatia wito wa Polisi na inadaiwa atahamishiwa Polisi Makao Makuu
Oktoba 2019, alikamatwa kwa kuhariri picha ya Rais Magufuli na alihojiwa kwa saa 5 katika Kituo cha Polisi Central, kisha kuachiwa kwa dhamana
Aidha, Idris aliyewahi kushinda tuzo ya Big Brother Africa mwaka 2014, Machi mwaka huu alifikishwa katika Mahakama ya Kisutu kwa kuweka maudhui mtandaoni bila leseni
Anasema wema hakula hata alidangwanywa akaingia kwenye biashara ya madini na mshkaji wake!!akapoteza milionj 320 ndani ya miezi 6Wema alizila.
Mkuu usinihusishe na upande wowote wa kisiasa, mimi ni pure mTanzania na kwa sasa ndani ya nafsi yangu sifungamani na upande wowote. Ninachosema, narudia tena, bila kujali kama kufanya hivyo ni kosa au si kosa kwa jamii zingine kulikuwa na ulazima gani kurudia kosa lile lile kwa maudhui yale yale? Wewe unaweza kufanya hivi alivyofanya Idris mkuu baada ya kuponyoka mara ya kwanza? Hebu tuweke ushabki wa siasa pembeni, wewe unaweza fanya kitu ukakamatwa kisha ukaonywa ukaachiwa kisha ukakirudia kitu kile kile hata kama kwa wakati huo huoni kosa lake, na ikiwa kitu chenyewe hakina ulazima wowote? Simtetei serekali ala simtetei Idris ila namshangaa kwanini analazimisha kukamatwa!Kambaku,
Hukuna kosa alilofanya. Sema CCM mmeamua kutunga makosa yenu. Mtu hata akikuambia " sura yako" akaishia hapo. Basi mnaona ni tusi mnakimbilia kumpeleka mahakamani.
Hizi ndizo kesi alikutana nazo sana tundu lisu ila aliwashinda mpaka wakamtafta kivingine
Wonders shall never endsIdris ana miaka 27?ha ha haa kwahiyo BBA ya 2014 alishiriki akiwa na miaka 21?
Sent using Jamii Forums mobile app