Idris Sultan akamatwa na Polisi, anahojiwa na Kitengo cha Makosa ya Mtandaoni

Dogo kayataka mwenyewe, kaonywa Mara ya kwanza kosa lilelile anarudia, km so kiburi Basi ujuaji mwingi

Daima toa bila kukumbuka na Pokea bila kusahau
 
Kuna ndugu yake mmoja hujamtaja.
 
Idris ana miaka 27?ha ha haa kwahiyo BBA y
a 2014 alishiriki akiwa na miaka 21?


Sent using Jamii Forums mobile app
Naona kule mjengoni bba alidanganya umri,coz kwa 27 na muonekano huu hapana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…