Mtemikwila
JF-Expert Member
- Aug 29, 2013
- 1,389
- 1,063
Sasa umekataa nn na umekubali nn?Huu ni uongo per se,wazee wa propaganda bana
Uwezo wa kuingia michigan na kufanya uhuni huo upo lkn uwezekano wa kutoka salama ndani ya US haupo.
Usidhani US ni kama hapo kwa mama Zakaria.
Yule chalii anaitwa MPL na alikamatiwa UK kwa ushirikiano wa Police TZ na INTERPOL,na sio huo uongo ulioleta.
Indrisa.mtoto.wa.juzi Yule tunamjuaYule mkubwa hata kwa macho anaonekana tu. Si chini ya 31.
Ila wana kasumba sana ya kujipunguza umri hawa mastaa.
Ina muongezea popularityUmaarufu huu utamfikisha pazuri
Jr[emoji769]
Nimekataa ujinga na nimekubali utaahira.
Kuna video anacheka suti undersize ya mkuluAmefanya kosa gani?
Huwez jua umri wa mtu kwa kumtazama. Kuna machips, masausage, makuku ya kisasa siku hiziNaona kule mjengoni bba alidanganya umri,coz kwa 27 na muonekano huu hapana
View attachment 1454271
Mchekeshaji huyo mwenye miaka 27 anashikiliwa katika Kituo cha Polisi Oysterbay Jijini Dar na anahojiwa katika Kitengo cha Makosa ya Mtandaoni
Anashikiliwa baada ya kuwasili Kituoni hapo kufuatia wito wa Polisi na inadaiwa atahamishiwa Polisi Makao Makuu
Oktoba 2019, alikamatwa kwa kuhariri picha ya Rais Magufuli na alihojiwa kwa saa 5 katika Kituo cha Polisi Central, kisha kuachiwa kwa dhamana
Aidha, Idris aliyewahi kushinda tuzo ya Big Brother Africa mwaka 2014, Machi mwaka huu alifikishwa katika Mahakama ya Kisutu kwa kuweka maudhui mtandaoni bila leseni
Lkn pia U-HB wake pia unaweza ukamponza wajomba wakimpeleka kule shimoniBila shaka uhendisamu boi wake ndiyo unamuokoa na kila mara anaachiwa ila angekuwa na Nyago baya angeshaijua Segerea.
Lkn pia U-HB wake pia unaweza ukamponza wajomba wakimpeleka kule shimoni
AfadhaliView attachment 1454271
Mchekeshaji huyo mwenye miaka 27 anashikiliwa katika Kituo cha Polisi Oysterbay Jijini Dar na anahojiwa katika Kitengo cha Makosa ya Mtandaoni
Anashikiliwa baada ya kuwasili Kituoni hapo kufuatia wito wa Polisi na inadaiwa atahamishiwa Polisi Makao Makuu
Oktoba 2019, alikamatwa kwa kuhariri picha ya Rais Magufuli na alihojiwa kwa saa 5 katika Kituo cha Polisi Central, kisha kuachiwa kwa dhamana
Aidha, Idris aliyewahi kushinda tuzo ya Big Brother Africa mwaka 2014, Machi mwaka huu alifikishwa katika Mahakama ya Kisutu kwa kuweka maudhui mtandaoni bila leseni
Kule tazaraLkn pia U-HB wake pia unaweza ukamponza wajomba wakimpeleka kule shimoni
Idris sio uongo ana Miaka 27 sio Kama akina wemaInamaana Idris nimepita mwaka....kubabaake..
.ngoja na mimi nisimamishe miaka...nafkiri hata wema anaitumia hii staili,manake Hadi saiv naskia anamiaka 26[emoji51][emoji51][emoji51][emoji51]
π π π π π πIdris ana miaka 27?ha ha haa kwahiyo BBA ya 2014 alishiriki akiwa na miaka 21?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo kucheka suti ya Rais ni kosa? Very stupid! mnataka kufanya vijana wawe waoga kuwaogopa ndio kwanza watazidi kuzaliwa wengine.Idiots
Mchekeshaji (comedian),hivyo ndivyo anavyotambulika na shughuli inayomuingizia kipato.Mbona yule anayemuigiza JPM sauti mpaka na uvaaji yeye anasifiwa tu?View attachment 1454271
Mchekeshaji huyo mwenye miaka 27 anashikiliwa katika Kituo cha Polisi Oysterbay Jijini Dar na anahojiwa katika Kitengo cha Makosa ya Mtandaoni
Anashikiliwa baada ya kuwasili Kituoni hapo kufuatia wito wa Polisi na inadaiwa atahamishiwa Polisi Makao Makuu
Oktoba 2019, alikamatwa kwa kuhariri picha ya Rais Magufuli na alihojiwa kwa saa 5 katika Kituo cha Polisi Central, kisha kuachiwa kwa dhamana
Aidha, Idris aliyewahi kushinda tuzo ya Big Brother Africa mwaka 2014, Machi mwaka huu alifikishwa katika Mahakama ya Kisutu kwa kuweka maudhui mtandaoni bila leseni