Idris Sultan athibitisha kuwa Wema Sepetu ana mimba yake

Idris Sultan athibitisha kuwa Wema Sepetu ana mimba yake

Kama dangote bana dah wanaudhi eeeeee
wote wanapenda kick za kitoto lakini huyu suparstar wa insta amezidi na kila anachokifanya inaonekana anamjibu baba Tiffah ... Atangaze ni mjamzito harafu aje aseme imetoka sijui ataishije kule insta?
 
Idriss Sultan

Nlimpigia kura sana wakati wa BBA

Ila kwa sasa hafanani na yule wa BBA

Sijui kabadilika nini ila ananifanya nimkumbuke muhuni "NANDO"
 
Achana na maneno ya kusikia mpaka uone mwenyewe
nakuhakikishia Wema hana Ujauzito wala Uja mwepesi.. Alishafanya drama kama hizi kitambo sana na watu wakaamini lakini kilichokuja kutokea ni ajabu.. Hili linalofanyika ni ligi inayoendelea kule insta na siku ikijagundulika hana kijacho nadhani kambi ya upande watatu itatawala inst
 
Habari, kwa wale mnaopenda celebrity gossip, nimeidaka hii hapa
yule mshindi waa BBA , amethibitisha kuwa Wema Sepetu ana ujauzito wake, baada ya wawili hawa kuhisiwa ni wapenzi kwa muda mrefu.

“Me and You are not the ordinary. I sleep,eat, talk and wake up to only thinking about you,” ameandika Idris kwenye post yake iliyopata comments zaidi ya 5,800 na likes zaidi ya 14,000.

“As much as utadhani kuwa you are blessed to have me no no I am blessed to have you. At 1st it was weird me kuangalia ndani ya kabati langu kuona nguo zako na viatu au ukiwa unaongea na mimi unaniambia vitu kama “Hivi baby unahisi akiwa wa kiume utafanyaje maana naona umekazana na wa kike” au ukiingia jikoni kwangu and take over my house with good food,” ameongeza.

“The way you look at other women wakinisogelea, how you always know when i need a kiss or a tight hug. The way you force me kuangalia Disney channel, how you wake up early these days to make me breakfast. I might bring you the most beautiful rose flower in the world and it will never look even half as beautiful as you are. When you’re jealous unasonya sonya, when am jealous i smile.”

“I would move mountains and planets just to make you happy. I will protect you, love you, spoil you, fight with you, cook with you, watch movies together, drive at night for no reason, sit with you and just stare at the stars. You’re more than i ever asked for, you’re my everything “My Wife.”


Chanzo: Idris (Instagram)
Kama ni kick itakua ya mwisho bora ampe mond i papucha a.ka. mautamu tena tifauti na hapo zari itabidi aje bongo kuigiza movie yeye mpaka akimaliza kulea mwana basi atakua muuza matunda[emoji13] [emoji13] [emoji12] [emoji122] [emoji12] [emoji122] [emoji817]
 
Msijiulize sana juu ya hili, ukishaona mtu mzima ana akili timamu na anakazania kuangalia Disney Channel basi hapo still downloading kichwani.
 
Wafuatao alishatoka nao kimapenzi.
1.Kanumba (marehemu ) japo nae hakumkuta bikra.
2.Chalz Baba.
3.Khalid Chokoraa.
4.T.I.D
5.Mr. Blue.
6.DIAMOND.
7...........( kigogo)
8...........(kigogo)
9............( kigogo)
10. Luis Munana.
Why DIAMOND au hao walikuwa wanampiga 071 kwahiyo hatuwezi kuwauliza kwanini hawakum'bebesha hiyo inayoitwa mimba ( kama anayo au hana hiyo ni juu yake hakuna inayomuhusu ila hongera yake kama kweli)

no 11 jumbe teja tena huyu alifunga nae ndoa
 
Idriss Sultan

Nlimpigia kura sana wakati wa BBA

Ila kwa sasa hafanani na yule wa BBA

Sijui kabadilika nini ila ananifanya nimkumbuke muhuni "NANDO"


Huyu dogo ni mjinga asiyejitambua....wenzake waliokuwa wanatumiwa na Wema kwa ajili ya promo wameishiwa na Wema anazidi kutafuta wengine wa kuwachezea. Idriss anajihisi anapendwa kumbe anatolewa ufahamu, atakuja kushituka kaishiwa pesa na Wema hana mpango naye ndipo ataanza kulaumu watanzania kuwa wabaya hawakumshitua mapema. Mondi alishituka kila siku anakamuliwa mamilioni, akasepa baada ya siku kadhaa watu wakaona hirizi pamoja na picha za Mondi jalalani zimetupwa na house girl wa Wema. Vijana hamkeni, mnafanywa misukule bila kujitambua, shauri zenu mtakwisha.
 
Back
Top Bottom