Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 19,687
- 23,689
Watanzania tuna lolote lipi kwenye uchaguzi?Wizi ni wizi tu. Hawana lolote Wakenya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watanzania tuna lolote lipi kwenye uchaguzi?Wizi ni wizi tu. Hawana lolote Wakenya
Matokeo ambayo hayawezi kusimama yenyewe na kuthibitishwa kimahesabu si matokeo halali ya uchaguzi.Wazee wa Katiba Mpya wanasemaje maana nako huko kwa 'wenzetu' Nako kuna madai ya wizi wa kura
Rais na mteule wake wote wametoswa.Wazee wa Katiba Mpya wanasemaje maana nako huko kwa 'wenzetu' Nako kuna madai ya wizi wa kura
Wajifunze kwa Jecha, inaonekana Jecha wao ni dhaifu.
Marais wastaafu wamestaafishwa rasmi Kwa majirani zetu, inakuja na huku.Hongera Ruto
Uchaguzi ni mchakato kuanzia tume, uteuzi wa wagombea, kampeni, mawakala, upigaji kura, kuhesabu kura, matokeo na utaratibu wa kupinga matokeo...Watanzania tuna lolote lipi kwenye uchaguzi?
Yaani Tz mgombea anajaza nyomi lakini matokeo ya kura anapoteza kwa 89.99%Sema nimegundua wenzetu wakenya wanaiba kura kwa akili sana, sio kama wale wazee wa kupita bila kupingwa[emoji12]
Mwizi mwizi sanaKupambana na Ruto sio kwenye majukwaa tuu lakini hata kwa wizi hawamuwezi ingawa najua wizi safari hii hajafanya ila Ruto wakati wa Moi alipachika watu Kenya nzima idara nyeti ili walinde maslahi yake akijua siku moja atagombea urais na anavyoijua Kenya angeweza hujumiwa. Ruto ni Hustler sio mchezo.
Aliyeingia kuwa Rais ndiye mpinzani Mkubwa wa biashara ya Nafaka Kati yetu na wao, kipindi kile cha Jpm ndiye aliyekuwa sababu ya kuzuia mahindi yasiingizwe nchini kwao Kwa kuwa alikuwa na mashamba makubwa ya mahindi Congo!Takwimu zinaonesha kuwa wakenya wanategemea sana soko la Tanzania kuliko sisi tunavyotegemea soko lao.
Wakiamua hivyo basi wao wataathirika zaidi kuliko sisi.
Wengine tulisema Ruto atashinda tukatukanwa lakini sasa imedhihiri , wakenya wanachagua mtu sio chama ndio maana kuna county kama Nairobi seneta ametoka kwa Odinfa na gavana kwa Ruto. Matokeo yako kwenye portal hata mtu akijidanganya kwenda mahakamani hatoboi .Kitendo cha kuweka matokeo wazi kila mtu kuyaona ndicho kilichofanya washindwe hata kuyachezea, kwa uhakika Ruto alistahili ushindi
Hatukuwa na upande kama Nchi kwenye uchaguzi huo.Hamuuzi tena mahindi Kenya ng'o, biashara na Kenya sasa itakuwa ya kisasi
Raila alichoharibu ni kuwa na urafiki na dictator Jiwe ,Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya uchaguzi Kenya, Wafula Chebukati amemtangaza William Ruto kuwa mshindi wa kiti cha urais Kenya kwa kupata 50.4% ya kura zote za Urais dhidi ya 48% za Raila Odinga.
Awali katika ukumbi wa Bomas kulitanguliwa na vurugu baada ya sintofahamu ya kuchelewa kwa matokeo huku maafisa wanne wa IEBC ikiripotiwa kutokubaliana na matokeo.
Matokeo ya Urais yalitarajiwa kutangazwa saa 9 alasiri hata hivyo yalichelewa na hatimaye kutangazwa saa 12 jioni.
Matokeo hayo yametangazwa bila uwepo wa mgombea wa Azimio RAILA ODINGA.
WILLIAM RUTO kwa matokeo hayo ndiye Rais mteule wa 5 wa Jamhuri ya Kenya
View attachment 2324663
View attachment 2324665