Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ni kweli kabisa but Tanzania ni Baba wa East Africa tutamfix na biashara zitaendelea kama kawaidaAliyeingia kuwa Rais ndiye mpinzani Mkubwa wa biashara ya Nafaka Kati yetu na wao, kipindi kile cha Jpm ndiye aliyekuwa sababu ya kuzuia mahindi yasiingizwe nchini kwao Kwa kuwa alikuwa na mashamba makubwa ya mahindi Congo!
Sasa ndo kashika usukani, piga picha itakuwaje!
Kwani kuna siku mahindi yameoza nchini kwa kukosa wanunuzi . Tena ndo vizuri na unga ushuke beiAliyeingia kuwa Rais ndiye mpinzani Mkubwa wa biashara ya Nafaka Kati yetu na wao, kipindi kile cha Jpm ndiye aliyekuwa sababu ya kuzuia mahindi yasiingizwe nchini kwao Kwa kuwa alikuwa na mashamba makubwa ya mahindi Congo!
Sasa ndo kashika usukani, piga picha itakuwaje!
Tulia uletewe pesa ya matumizi nyumbani, utajua wapi uchungu wa kutafuta pesa wewe dada?Kwani kuna siku mahindi yameoza nchini kwa kukosa wanunuzi . Tena ndo vizuri na unga ushuke bei
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya uchaguzi Kenya, Wafula Chebukati amemtangaza William Ruto kuwa mshindi wa kiti cha urais Kenya kwa kupata 50.4% ya kura zote za Urais dhidi ya 48% za Raila Odinga.
Awali katika ukumbi wa Bomas kulitanguliwa na vurugu baada ya sintofahamu ya kuchelewa kwa matokeo huku maafisa wanne wa IEBC ikiripotiwa kutokubaliana na matokeo.
Matokeo ya Urais yalitarajiwa kutangazwa saa 9 alasiri hata hivyo yalichelewa na hatimaye kutangazwa saa 12 jioni.
Matokeo hayo yametangazwa bila uwepo wa mgombea wa Azimio RAILA ODINGA.
WILLIAM RUTO kwa matokeo hayo ndiye Rais mteule wa 5 wa Jamhuri ya Kenya
View attachment 2324663
View attachment 2324665
Kwa kifupi Raila asingekuwa Rais wa Kenya kamwe. Ule mkataba wa 2007 alioingia na watu wa Mombasa ulimpa laana kutoka kwa Mungu wa Mbinguni.March handshake
RaiLa atamkumbuka miguna miguna ruto na uhuru hawakukutana semina
Tulia uletewe pesa ya matumizi nyumbani, utajua wapi uchungu wa kutafuta pesa wewe dada?