Kenya 2022 IEBC: William Ruto ameshinda Urais kwa 50.4% dhidi ya 48.8% za Raila Odinga

Kenya 2022 IEBC: William Ruto ameshinda Urais kwa 50.4% dhidi ya 48.8% za Raila Odinga

Kenya 2022 General Election
Aliyeingia kuwa Rais ndiye mpinzani Mkubwa wa biashara ya Nafaka Kati yetu na wao, kipindi kile cha Jpm ndiye aliyekuwa sababu ya kuzuia mahindi yasiingizwe nchini kwao Kwa kuwa alikuwa na mashamba makubwa ya mahindi Congo!

Sasa ndo kashika usukani, piga picha itakuwaje!
Hii ni kweli kabisa but Tanzania ni Baba wa East Africa tutamfix na biashara zitaendelea kama kawaida
 
Aliyeingia kuwa Rais ndiye mpinzani Mkubwa wa biashara ya Nafaka Kati yetu na wao, kipindi kile cha Jpm ndiye aliyekuwa sababu ya kuzuia mahindi yasiingizwe nchini kwao Kwa kuwa alikuwa na mashamba makubwa ya mahindi Congo!

Sasa ndo kashika usukani, piga picha itakuwaje!
Kwani kuna siku mahindi yameoza nchini kwa kukosa wanunuzi . Tena ndo vizuri na unga ushuke bei
 
Pamoja na mbeleko ya rais bado Ruto kamkalisha chini, hii ndo raha ya uchaguzi kuendeshwa na tume ambayo ipo huru kwa asilimia mia moja. Hongera Wafura Chebukati kwa kusimamia sheria na katiba ya nchi yako ya Kenya na kutii kiapo chako cha utumishi kwa umma wa wakenya.
 
Tumeni basi downloaded video clip za Chebukati akimtangaza ruto. Waandishi wa habari wa jf mnaniangusha jamani
 
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya uchaguzi Kenya, Wafula Chebukati amemtangaza William Ruto kuwa mshindi wa kiti cha urais Kenya kwa kupata 50.4% ya kura zote za Urais dhidi ya 48% za Raila Odinga.

Awali katika ukumbi wa Bomas kulitanguliwa na vurugu baada ya sintofahamu ya kuchelewa kwa matokeo huku maafisa wanne wa IEBC ikiripotiwa kutokubaliana na matokeo.

Matokeo ya Urais yalitarajiwa kutangazwa saa 9 alasiri hata hivyo yalichelewa na hatimaye kutangazwa saa 12 jioni.

Matokeo hayo yametangazwa bila uwepo wa mgombea wa Azimio RAILA ODINGA.

WILLIAM RUTO kwa matokeo hayo ndiye Rais mteule wa 5 wa Jamhuri ya Kenya
View attachment 2324663
View attachment 2324665


Nafikiri ni vizuri ukawakilisha asilimia zote za Odinga ambazo ni karibu 48.8%
 
Unakalia bolo wewe ,, mahindi yanatoka mengi kusababisha hata ndani kukosekana na kuanza uzwa ghali kwa hio wewe ulikuwa unafurahia? Em niambia labda ni bibi yako mahindi yake yalioza kwa kukosa wanunuzi lini acha upimbi wewe utatoka huku kwanza
Tulia uletewe pesa ya matumizi nyumbani, utajua wapi uchungu wa kutafuta pesa wewe dada?
 
Back
Top Bottom