Kenya 2022 IEBC: William Ruto ameshinda Urais kwa 50.4% dhidi ya 48.8% za Raila Odinga

Kenya 2022 General Election
Hongera sana Ruto na pole sana Raila. Kugombea x5 unaangukia pua, imetosha sasa!
 
Mzee Lee Kinyanjui alisema katika uwindaji pori ukiongozana na mbwa wako kuwa makini. Kwani porini utakuwa pekee yako pamoja na mbwa, mbweha na mbwa mwitu. Sasa hawa wanyama watatu binamu wakiamua kukugeuka wakati upo nao pekee yako utapona ?
Nawe umeanza vitendawili kama Mzee wa Kitendawili?
 
Kinyanganyiro kinahamia supreme court of Kenya. Karua twit-it is not over until it is over. Mahakama inayo siku 14 kusikiza malalamiko na kutoa maamuzi. Iwapo mahakama itaafiki uchaguzi ulikuwa na dosari,uchaguzia wa

marudio muda usiozidi siku 14
Kumpeleka Ruto supreme court ni sawa na kumsukumia chura majini! Mabepari wote wa Kenya wako nyuma ya Ruto!
 
Hongera sana tume ya uchaguzi Kenya kwa kusimama katika misingi, hongera sana wilson mahera chebukati na mwisho hongera saaaaana hustler Bob Ruto.
 
Wakuu nakuja kuwapa habari kamili.

Kama taarifa inavyoeleza pichani, mkongwe na mzoefu wa siasa za Kenya mh Raila Odinga ameangukia tena pua kwa mara nyingine. Huku bwana mdogo aliejifunza siasa juzi mh William Ruto akiibuka mshindi katika uchaguzi uliokuwa na mvutano mkali nchini humo.

Hii imefanya wengi tuamini kuwa siasa haina mwenyewe.
 

Attachments

  • Screenshot_20220815-195943.jpg
    45.2 KB · Views: 2
Sidhani ,siyo kweli. Mpasuko wa IEBC dhahiri ngoma bado mbichi.
Hoja pekee kubwa waliyo nayo (kama ni hoja kweli), ni kwamba eti hawakuwa-previewed matokeo kabla ya kutangazwa. Kwamba walipaswa kwanza kuyajua matokeo ndipo yatangazwe. Nonsense!
 
Wakuu nakuja kuwapa habari kamili.

Kama taarifa inavyoeleza pichani, mkongwe na mzoefu wa siasa za Kenya mh Raila Odinga ameangukia tena pua kwa mara nyingine...
Mbona Raila alisema yuko kwenye serikali, deep state, na kwa wazoefu na manguli wa siasa? Nini kimetokea tena huko? Au ameamua kumwachia mdogo wake?
 
ila uchaguzi ilikuwa wa wazi japo raila sidhani kama atakubali hii ngoma iishe hivihivi
Mwaka 2017 alisema kulikuwepo na VIFARANGA VYA KOMPYUTA kwenye matokeo ya uchaguzi. Ngoja tuone safari hii sijui vitakuwa vifaranga vya ndege yupi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…