Ifahamu Iran na Maendeleo yake (Technology and Manufacturing)

Umeuleta huu uzi angalia usije kuitwa mvaa kobazi ustazi.
 
Iran wamewekeza kwenye elimu lakini bado Saud Arabia anawazid pesa
 
Mkuu unachelewesha utamu
Ruka sekta zote nenda kwenye nguvu ya kijeshi
Halafu usisahau kutuelimisha kuhusu alshaheed drones zinavyoleta balaa duniani.
Kwa namna nilivyosoma huu uzi aisee kweli Iran ni tishio kwa maslahi ya USA na westerners pale middle east.
Maana kama yuko vizuri kiviwanda,kiteknolojia na kinishati inamaana kama asingewekewa vikwazo kuanzia silaha mpaka magari middle east isingelazimika kutegemea USA au Westerners.
Tujiulize kama Iran asingekua na vikwazo vya kiuchumi hivi ingekuajee!?
 
Farda motors imeanzishwa 2013 na hiyo gari aloleta jamaa ni moja kati ya toleo la Farda motors.
Uache kuchanganya mambo.
 
Farda motors imeanzishwa 2013 na hiyo gari aloleta jamaa ni moja kati ya toleo la Farda motors.
Uache kuchanganya mambo.
Farda motors wenyewe wanakiri kuwa gari hii wamei rebadge kutoka kwa Forthing Yacht ya mchina
 
Bora ulikuwepo, tusio watafiti tulishajaa kumbe nyingine ni kamba.
 
Sasa mzee inawenda Wikipedia na kuedit taarifa ili ujifurahishe 🤣 🤣 🤣 🤣 Unahaha mno
Wikipedia tunajua kuitumia na kuhakiki habari na ndio maana kuna external sources.

Kuhusu ku editi.

Kama nime edit basi angalia last edit imefanywa katika kipindi cha muda gani

Last edit imefanywa miezi mitatu iliyopita.

Sometimes unabidi tu kuwa muungwana na kukubali kuwa umekosea kuliko hizi conspiracies unazoleta kuhalalisha uongo wako

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…