Ifahamu Mahenge (Ulanga, Morogoro) na siri zake

Wapogoro wanahamasishana kwenda kwa Nyerere kumpokea kwa shangwe

"Tukamfil bab nyerer, Tukamfil bab nyerer."

Nyerere akaona usinitanie, nduki akala kona na mkutano haukufanyika[emoji23]
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Ndiyo hao hao wanaokaa siti za mbele wakipanda basi kwa lengo la kufika haraka Dar! 😬
 
Niwe tu mkweli kwa nilivyo wafahanu japo kwa uchache..

1. Hawana roho nzuri japo usoni wanaweza kucheka (ndugu zako anaweza akawachekea Ila asiwapende)
2. Ni wachoyo
3. Wanafiki mno ndio mana hawaendelei
4. Ukikaa vibaya unalogwa limbwataa
Cc Sizinga
 
Sasa kama ulishindwa kuishi Mahenge utaweza kuishi Buhigwe ?
 
Hakujawahi kuwa na Wilaya ya Mahenge, Wilaya ni Ulanga ambayo zamani iliimeza hadi Kilombero na Malinyi.
 
Mahenge ipo wilaya ya Ulanga, nitakuja tiririka baadaye utajili walionao, na kwanin wakazi wake wanaishi kimasikin, huku wageni wa kisukuma wakitajirika.
 
Na mtani wangu anarudi Ubungu kwa miguu
 
Mengi waliweka Ulinzi wa majini wakayaroga majini yasiweze kuondoka maeneo hayo Ili kuficha mali hadi wao au vizazi vyao ndivyo vije kutoa.
Wao huja kama wawekezaji, wakulima, wafadhili,nk.
Mnapenda sana kulishana taarifa za uongo uongo mitandaoni, hayo unayoyasema hayana ukweli hata kidogo. Mimi kama mwana akiolojia nayakanusha kwa herufi kubwa.
 
Mahenge ipo wilaya ya Ulanga, nitakuja tiririka baadaye utajili walionao, na kwanin wakazi wake wanaishi kimasikin, huku wageni wa kisukuma wakitajirika.
utakuwa umetusaidia sana mkuu,, natamani watu wajue siri za lile eneo kule .. lina pesa ila wachache ndio wanajua na kufaidi nilitamani famya project ya kusaidia wazawa kujitambua na kutambua fursa zilizopo kwao.. ila waliharibu walipoanza kutunyima data kisa mwenyeji wetu ni mpogoro mwenzao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…