Gaddaf i06
JF-Expert Member
- Nov 14, 2022
- 1,770
- 2,841
acha ubwegeTafuta hela chief Songea - Mwanza kwa basi ni safari ndefu sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
acha ubwegeTafuta hela chief Songea - Mwanza kwa basi ni safari ndefu sana.
50/50 ni usawa wa binadamu yaani kila anachofanya mwanamke na mwanaume afanye na anachofanya mwanaume na mwanamke afanye kuanzia majukumu ya nyumbani,kazi,starehe na thamani ya maisha.Kwa hiyo hii Ndio 50/50 au Wanawake unawaita 50/50?!
Unayo haki ya kuzuia kupigwa nyimbo hizo, ulitakiwa umwambie mhudumu wa ndani ya basi badala ya sisi.Hata mbuyu ulianza kama mchicha, ndivyo unavyoweza kusema. Nipo kwenye basi natokea Songea kwenda Mwanza, safari nzima tunasikilizishwa nyimbo na video za kihuni za bongo flava mwanzo mwisho. Baadhi ya nyimbo zinazopigwa humu ni hizi:
1. Kila demu ana matako.
2. Nataka kunya
3. Nitongoze
4. Nipe tamu yangu
Wewe fikiria nyimbo za kipumbavu na kipuuzi kama hizi zinapigwa na kuchezwa hadharani kwenye video. Maadili ya jamii yatabaki salama? Ukija kwenye video ndiko kwenye balaa zaidi. Mabinti wanacheza uchi huku wakishikwashikwa matiti na makalio hadi kero. Tukienda na mwendo huu hadi 2030, jamii itakuwa imeharibiwa sana na nyimbo hizi za ajabu ajabu.
Watu hadi tunashindwa kusafiri na watoto pamoja na wakwe zetu kwa sababu ya kuogopa kuaibika kutazamishwa video za kingono zinazochezwa kwenye mabasi haya. Chanzo kimojawapo cha kusambaza uharibifu wa maadili potovu yaliyomo kwenye nyimbo za bongo flava ni kupitia mabasi ya daladala na haya ya mikoani
Ifike wakati serikali ipige marufuku nyimbo na video hizi za kihuni kupigwa kwenye mabasi ili kuepuka kusambaza sumu ya uharibifu wa maadili katika jamii. Mwisho wa siku serikali itakuja kuwalaumu wazazi wakati yenyewe ndiyo imeshindwa kusimamia utaratibu wa kistaarabu na kimaadili ktk jamii.
Tujifunze kutokana na makosa ya wengine. Wazungu waliruhusu mfumo wa maisha huria kwa raia wa nchi zao lakini sasa wanalia baada ya maadili ya jamii kumomonyoka kwa kiwango kisichorekebika.
Hata kama vyama vya siasa vimekuwa vikiwatumia wasanii kuimba nyimbo hizi za ovyo kwenye kampeni za kisiasa, wakati umefika sasa serikali iache kuharibu maadili ya jamii kwa kisingizio chochote kile. Tusipiziba ufa ipo siku tutajenga ukuta.
Mkuu ningeweza kumuambia lakini niliogopa reaction ya abiria. Kuna baadhi ya aboria wamepinda sana wangenitukana kwa kuwanyima 'burudani'.Unayo haki ya kuzuia kupigwa nyimbo hizo, ulitakiwa umwambie mhudumu wa ndani ya basi badala ya sisi.
Mbona kama una laana Sele aaaaaah Sele halafu bado ni kijana Sele aaaaaah Sele[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Jina tupu ndiyo beti na kiitikio cha wimbo, wote, bila shaka dishi la Msanii liliyumba mahali...[emoji23]
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
[emoji1787][emoji1787]Na anazidi kuonyesha Kwa vijana wanaomshabikia kwamba wanaweza kuwa kama selee [emoji23][emoji23]
[emoji2]Mbona kama una laana Sele aaaaaah Sele halafu bado ni kijana Sele aaaaaah Sele[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Muite mhudumu kwenye kiti chako kisha mueleze kwa sauti ya kawaida bila kupayuka.Mkuu ningeweza kumuambia lakini niliogopa reaction ya abiria. Kuna baadhi ya aboria wamepinda sana wangenitukana kwa kuwanyima 'burudani'.
Ila kwa kweli, wenye mabasi wangepewa muongozo wa aina ya vitu vya kuonyesha..tuna vivutio vya utalii kibao..tungeonyesha hivyo vitu kuliko kuonyeshana matusi. Ukisafiri na wakwe, wazazi au watoto inabidi mjifanye mmelala msisikie na kutazama yanayoendelea.
Uje uangalie hata hadhi ya wahudumu wa mabasi hayo,utagundua na wenyewe yale yale tu.
Ila jambo la kujiuliza: zipigwe zipi? Za kilokole, si kwamba watu wote watapenda. Za kihuni hizo,si kwamba wote wanapenda. Mawaiza,si kwamba wote watapenda. Miaka ya nyuma walikua wakiweka muvi mwanzo mwisho,niliona kulikua na ahueni tofauti na sasa. Bila namkatia vibuno hawajafurahia. Hawaangalii wamebeba watoto na watu wazima. Ini shoti, wanaonaga abilia kama wahuni wenzao. Teh teh teh teh teh
Bottom line watasema wanaimba kwaajili ya maokoto. Cha kushangaza wanachoingiza ni kidogo sana hakiendani na athari ya maadili wanayoyaaribu.
Watu wachache wasituaribie vizazi.