🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Daaah,,,ukaona Bora ulie tu Sasa...anakupendaNi sawa lakini kuna bahati mbaya dear. Kuna siku nimefokewa mpaka nikalia kila nnavomueleza haelewi. Naomba msamaha lakini bado anarap dah basi tu.
Mapenzi yame prove kuwa yana nguvu kuliko kitu chochote hapa duniani....mapenzi yanaua sasa muende kwa akili mpunguze hisiaTuachiane nafasi kiasi, tukiachiana nafasi sana inakua ndio bye bye.
Ahsanteee [emoji7]Siku njema ianzie kwako mpenzi [emoji8]
Barikiwa zaidi unibariki[emoji119]
Kwanza naanza na wewe,uko wapi?mbona umepotea sana jukwaani,umefichwa wapi?na nani?Umemisika😁Mapenzi yame prove kuwa yana nguvu kuliko kitu chochote hapa duniani....mapenzi yanaua sasa muende kwa akili mpunguze hisia
Sawa sawa rafiki. Ulipotea ulijificha wapi??Mapenzi yame prove kuwa yana nguvu kuliko kitu chochote hapa duniani....mapenzi yanaua sasa muende kwa akili mpunguze hisia
Hahaa😀 hii ndo inavyotakiwa. Time limit ni muhimu sana kutunza heshima yakoMimi huwa nina muda wa ku chase. Ukipita huo muda nakuwa mtu tofauti😀 its either nipate nachokitaka au niendelee na maisha yangu.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hiyo ya simu nyingi ,msg nyingi as if kuna emergency mtu amepatwa na uchungu wa kujifungua halafu ukimrudia unamuuliza vipi ulikua unasemaje anaanza niambie nimekumiss baby yani its real stupidUnataka kila saa upigiwe simu au sio? Story unazo sasa maana wengine baada ya salamu niambie nyingii sina jipya halaf anataka umpigie kila saa
Huu ndio ukomavu halisiaMimi huwa nina muda wa ku chase. Ukipita huo muda nakuwa mtu tofauti😀 its either nipate nachokitaka au niendelee na maisha yangu.
NAKAZIAUsisahau kuwa na hela, 🤣maskini haliliwagi
Jamani msitufanyie hivyo [emoji23][emoji23][emoji23] mtuvumilie kuna muda unam mkumbuka sana mwenza wako na ndio tunakua na usumbufu wa hivyo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hiyo ya simu nyingi ,msg nyingi as if kuna emergency mtu amepatwa na uchungu wa kujifungua halafu ukimrudia unamuuliza vipi ulikua unasemaje anaanza niambie nimekumiss baby yani its real stupid
Kama wewe mkorofi tafuta mkorofi mwenzako,kama wewe baharia tafuta baharia mwenzako mdundane ili muwe sawa hakuna kuoneana[emoji23][emoji23][emoji23]Na tunaangukia pua Kweli
Daaah,Sasa ukitoka kazini akaniambia bby natoka sehemu ni na washkaji nitachelewa kidogo Kuna tatizo gani?yaani Kuna Siri gani ya mkeo kutojua unatoka job muda gani?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]ahhhhhh una kesi ya kujibu tuanzie hapo ,nakupeleka mahakamani ni kadai fidia ,umemisika pia my dia ,umenificha halafu unazuga hapa[emoji23][emoji23]Kwanza naanza na wewe,uko wapi?mbona umepotea sana jukwaani,umefichwa wapi?na nani?Umemisika[emoji16]
Nipo best nimekumiss mno,Sawa sawa rafiki. Ulipotea ulijificha wapi??
Nimekumiss pia. Nilidhan umeacha kutumia Jf jaman usinifanyie hivyo tenaNipo best nimekumiss mno,
That's it 👊👊👊Binafsi sielewi Kwa Nini mtu anakasirika akipewa attention na bby wake🤣🤣🤣🤣mi napenda mapenzi ya mawasiliano Kwa sababu Nina experience ya mapenzi ya kutojuana ratiba yanakufaga natural death.....Kikubwa ni kujua ratiba za mwenzio basi
👊That's it 👊👊👊
Nakuangalia tu unavyopotosha wenzio hapa😁😁😁[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]ahhhhhh una kesi ya kujibu tuanzie hapo ,nakupeleka mahakamani ni kadai fidia ,umemisika pia my dia ,umenificha halafu unazuga hapa[emoji23][emoji23]