stow away
JF-Expert Member
- Dec 5, 2022
- 11,073
- 21,945
Wanapenda uwe mtu usielewekaeleweka yaaniHalafu kwa hawa jinsia ya kike ukiwa easy available the less interested she will be ndio saikolojia ya hawa viumbe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanapenda uwe mtu usielewekaeleweka yaaniHalafu kwa hawa jinsia ya kike ukiwa easy available the less interested she will be ndio saikolojia ya hawa viumbe
Umesema vyema mkuuWanapenda uwe mtu usielewekaeleweka yaani
NakaziaUsinibane, usiniache huru. Mahusiano yako complicated sana, wewe unayesema usubanwe leo akikaa 2days bila kukucheki utaanza lawama.
Know your boundaries, mjifunze mwenzako utaona vile mambo yanaenda poa.
🤣🤣🤣🤣Daaah ulikuwa humpendi.Jana nimeachika,tume date wiki moja tu,hata hatujakulana,kisa anasema simpendi,tangu tujuane sijawahi kumpigia simu,na jana amepiga sijapokea anasema nipo na mtu,nimpigie video chat..nika mblock
Sio mara ya kwanza nasikua hii kauli, Hivi mnaposemaga mnapenda mwanaume mwenye soko huwa mnamaanisha anae-chepuka au anatafutwa na wanawake wengine ila asichepuke kabisa ?Weeee sitaki kugandwa napenda mwanaume mwenye soko sio kunikalia kooni
Nini mbona hivyoDah!😥
usumbufu wa hivyo sina maana hata mimi siupendiNiambie niambie … uko wapi mbona hupokei simu… maswali yasio na msingi na wakati ulishapewa taarifa sio mahaba ni usumbufu like utoto
Kayakanyaga, sio kosa langu mkuu yeye ndie anaesababisha yote haelewi ya kwamba kuna muda wa kazi na kuna muda wa mapenzi. Muda wote anataka muwe karibu usipompa ushirikiano zinaanza lawama.Humfanyii vyema kabisa
Yes,kashindwa kutambua kuwa Kuna muda wa kazKayakanyaga, sio kosa langu mkuu yeye ndie anaesababisha yote haelewi ya kwamba kuna muda wa kazi na kuna muda wa mapenzi. Muda wote anataka muwe karibu usipompa ushirikiano zinaanza lawama.
Ndio kilichonipata hiki halafu dada mwenyewe ni singo mazaMpe uhuru utaijua tabia yake