Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Haelewi ni kichwa ngumu inachowaza ni mahaba tu sijui ana jini mahaba😅Yes,kashindwa kutambua kuwa Kuna muda wa kaz
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haelewi ni kichwa ngumu inachowaza ni mahaba tu sijui ana jini mahaba😅Yes,kashindwa kutambua kuwa Kuna muda wa kaz
Ngoja akuache wiki bila sms moja uone utakavyopagawa. Mtu akionyesha kukujali hata kwa sms tu, appreciate back, mpe ratiba yako ajue mda gani mnaweza kuongea..Hakuna mkuu,sipo ivo
Anafanya ila muda anao mwingi wa kuwa freeHafanyi Kaz?
😂😂 amepata alichokua anakitafutaKuna jamaa alipigia usiku video call Manzil yake akaona kuna kivuli chenye kitambi kinavaa kondomu alilia sana jamaa
Binafsi sielewi Kwa Nini mtu anakasirika akipewa attention na bby wake🤣🤣🤣🤣mi napenda mapenzi ya mawasiliano Kwa sababu Nina experience ya mapenzi ya kutojuana ratiba yanakufaga natural death.....Kikubwa ni kujua ratiba za mwenzio basiNgoja akuache wiki bila sms moja uone utakavyopagawa. Mtu akionyesha kukujali hata kwa sms tu, appreciate back, mpe ratiba yako ajue mda gani mnaweza kuongea..
..kuna namna mkiandika hivi ni kama sisi tunajigonga sana kweny(sie wenye mapenzi ya kukabana)
Lejend, haya ni maneno tu ya karatasi. Mapenzi bila mawasiliano ya kila siku ni uongo, huyu huyu akiachwa siku nzima bila kutafutwa ataanza lawama.Binafsi sielewi Kwa Nini mtu anakasirika akipewa attention na bby wake🤣🤣🤣🤣mi napenda mapenzi ya mawasiliano Kwa sababu Nina experience ya mapenzi ya kutojuana ratiba yanakufaga natural death.....Kikubwa ni kujua ratiba za mwenzio basi
JoannahSio mara ya kwanza nasikua hii kauli, Hivi mnaposemaga mnapenda mwanaume mwenye soko huwa mnamaanisha anae-chepuka au anatafutwa na wanawake wengine ila asichepuke kabisa ?
Huu upuuzi ulinishinda kwa kweli,yaani mwisho akasema simjali jamaaani akasepa na 180Hii ya kutumiana text kila mda ndio inakera. Sometimes unaona bora upotezee usijibu uendelee na mishe zako. Usipojibu kwa wakati unaulizwa "Au uko bize unachat na wadada wengine!"... Mtu kila wakati anawaza " negatives" tu arrgh!!!
visiwe kila muda sasa utafikiri ni vya Tigo bana too much is harmful mzeeLejend, haya ni maneno tu ya karatasi. Mapenzi bila mawasiliano ya kila siku ni uongo, huyu huyu akiachwa siku nzima bila kutafutwa ataanza lawama.
..kuna wakati tunataka space ili tufanye uhuni tu sio kingine. Na uzee wangu bado napenda visms vya mahaba🤣
Kweli kabisa,,,yaani eti niwe na mpenzi hujui kaamkia wapi? anaendeleaje,ana ratiba gani, jamani hiyo sio maana ya mapenzi.....Mimi sikasiriki hata mara Moja nikipata simu ya nimpendae hata kidogo! kwanza napata zile feeling za Upendo.... anyway tumetofautianaLejend, haya ni maneno tu ya karatasi. Mapenzi bila mawasiliano ya kila siku ni uongo, huyu huyu akiachwa siku nzima bila kutafutwa ataanza lawama.
..kuna wakati tunataka space ili tufanye uhuni tu sio kingine. Na uzee wangu bado napenda visms vya mahaba🤣
sasa unanyima ili ukampee nani?Na akinyimwa ndiyo shida tena
asubuhi umeamkaje darling,jioni umeshindaje honey,that good sasa mtu kila baada ya dk 5 yumo tena anajua upo kazini huu ni unaziKweli kabisa,,,yaani eti niwe na mpenzi hujui kaamkia wapi? anaendeleaje,ana ratiba gani, jamani hiyo sio maana ya mapenzi.....Mimi sikasiriki hata mara Moja nikipata simu ya nimpendae hata kidogo! kwanza napata zile feeling za Upendo.... anyway tumetofautiana
Binafsi hapana,napenda sana attention na pia napenda umiliki....na sipendi mwanaume aliyesokoni sijui anagombaniwa hapanaaa.....nataka wangu awe wangu tu🤣🤣🤣
Hahahaha.Binafsi hapana,napenda sana attention na pia napenda umiliki....na sipendi mwanaume aliyesokoni sijui anagombaniwa hapanaaa.....nataka wangu awe wangu tu🤣🤣🤣
Hapa ndio tunasema tuwe na boundaries.....sio tu lazima asubuhi na jioni,na Huwezi sema uko busy muda wooote Ina maana Huwezi kupata dakika 3mida ya lunch ukamsemesha kidogo mwenzio?au katext ka kichokozi tu....ndio maana Mapenzi ya kibongo tunasalitiana sana...hatuna bondasubuhi umeamkaje darling,jioni umeshindaje honey,that good sasa mtu kila baada ya dk 5 yumo tena anajua upo kazini huu ni unazi
Kuna normal attention ile ya kujali na sio ile ya usumbufu mtu akuelewi ukimwambia upo na kazi ni shida anataka mtafutane mda wote kama pesa, hata pesa kuna muda tunapumzika kuzitafuta.Binafsi sielewi Kwa Nini mtu anakasirika akipewa attention na bby wake🤣🤣🤣🤣mi napenda mapenzi ya mawasiliano Kwa sababu Nina experience ya mapenzi ya kutojuana ratiba yanakufaga natural death.....Kikubwa ni kujua ratiba za mwenzio basi
wengi hawajui wanataka nini,mimi kwa upande wangu ni kwamba nikiwa kwenye majukumu yangu simu haina nafasi unless ni ya mambo ya kazi,tuma smms nitajibu ile yenye logic the rest naziacha na simu huwa sipokei.nje ya majukumu ndio narejea huko,Bond ni desire na understandability kati ya mtu na mtu ukielewa mtu ni wa aina gani,anamisingi gani,hulka gani kamwe huwezi kuwa na wasiwasi ila ukiwa kichwa maji kumuelewa mtu ndio taabu,kabla hujakubali kudate na mtu msome kwanza anapenda nini,hapendi nini,ana misimamo gani na hulka gani kisha jiulize utaendana nazo?Hapa ndio tunasema tuwe na boundaries.....sio tu lazima asubuhi na jioni,na Huwezi sema uko busy muda wooote Ina maana Huwezi kupata dakika 3mida ya lunch ukamsemesha kidogo mwenzio?au katext ka kichokozi tu....ndio maana Mapenzi ya kibongo tunasalitiana sana...hatuna bond
Sasa si mnaambiwa kila siku muwe mnapima afya wapenzi zenu wapya,sio HIV tu na afya ya akili🤣😁😁😁Kuna normal attention ile ya kujali na sio ile ya usumbufu mtu akuelewi ukimwambia upo na kazi ni shida anataka mtafutane mda wote kama pesa, hata pesa kuna muda tunapumzika kuzitafuta.