Ifikie hatua tuachiane nafasi

Ifikie hatua tuachiane nafasi

wengi hawajui wanataka nini,mimi kwa upande wangu ni kwamba nikiwa kwenye majukumu yangu simu haina nafasi unless ni ya mambo ya kazi,tuma smms nitajibu ile yenye logic the rest naziacha na simu huwa sipokei.nje ya majukumu ndio narejea huko,Bond ni desire na understandability kati ya mtu na mtu ukielewa mtu ni wa aina gani,anamisingi gani,hulka gani kamwe huwezi kuwa na wasiwasi ila ukiwa kichwa maji kumuelewa mtu ndio taabu,kabla hujakubali kudate na mtu msome kwanza anapenda nini,hapendi nini,ana misimamo gani na hulka gani kisha jiulize utaendana nazo?
Kwa hiyo mjue mpenzi wako,na kuwa na boundaries..
 
Ngoja akuache wiki bila sms moja uone utakavyopagawa. Mtu akionyesha kukujali hata kwa sms tu, appreciate back, mpe ratiba yako ajue mda gani mnaweza kuongea..
..kuna namna mkiandika hivi ni kama sisi tunajigonga sana kweny(sie wenye mapenzi ya kukabana)
Yaani yaani sijui wanatuweka wapi, mimi mtu asiponipa attention nawalk away tu
 
Back
Top Bottom