ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 48,052
- 104,677
How often unawasiliana na jamaa yako kwa siku?Itakua[emoji1787] maana wanasema zodiac sign ni ukweli mtupu wa maisha ya mtu.....mimi naweza kufa nikikosa attention au mtu anidanganye uwii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
How often unawasiliana na jamaa yako kwa siku?Itakua[emoji1787] maana wanasema zodiac sign ni ukweli mtupu wa maisha ya mtu.....mimi naweza kufa nikikosa attention au mtu anidanganye uwii
Nipewe maua yangu si eti mkuu[emoji1787][emoji1787] BTW: niliwahi pitia experience ngumu sana so nlivyotoka hapo nikasema ntakua mfanoWe dada umekwiva kwenye mahabat, darasa lako lifunguliwe wapi upige hela [emoji28]
Watu wengi kinachowatesa ni huo uwezo wa kuachia maisha yaendelee bila watu fulani kwenye maisha yao. Na hii ni mateso makali mno.
Kikubwa nafasi iwepo nachoamini mtu anaekupenda na kukuhitaji awezi kukuacha kizembe zembe.Tuachiane nafasi kiasi, tukiachiana nafasi sana inakua ndio bye bye.
1×3How often unawasiliana na jamaa yako kwa siku?
Niko poa. Mambo vipi?Kikubwa nafasi iwepo nachoamini mtu anaekupenda na kukuhitaji awezi kukuacha kizembe zembe.
U hali gani mamy?
[emoji1787] sawa mkuu ntajitahidiNimeshapoa mkuu ila usife tena [emoji23]
Nipe Mimi baby wako huyo nammudu ndio napendaga wenye pigo hizo,,
Fair kabisa, it's not too much wala. Na ukiona kwa frequency hiyo mtu anakasirika, hakupendi wala hakutaki.
Maua yako haya hapa chukua 🌹🌷Nipewe maua yangu si eti mkuu[emoji1787][emoji1787] BTW: niliwahi pitia experience ngumu sana so nlivyotoka hapo nikasema ntakua mfano
Ongeza sauti mkuu wasikie, although kuna zile exceptional calls za emergencyFair kabisa, it's not too much wala. Na ukiona kwa frequency hiyo mtu anakasirika, hakupendi wala hakutaki.
Tupe ushuhuda wako mkuuNipewe maua yangu si eti mkuu[emoji1787][emoji1787] BTW: niliwahi pitia experience ngumu sana so nlivyotoka hapo nikasema ntakua mfano
Sawa sawa....mtu mkipendana mnakuwa kama paradiso kweliMtu kama anakupenda aisee ni paradiso, hata ukiamka usiku ukaanza kucheka peke yako hawezi shangaa. Hivyo basi tafuta mnaependana na kuendana kuepusha karaha za moyo
Mambo safi umemisika.Niko poa. Mambo vipi?
Yes na wanasema kisichokuua kinakuimarisha.....nimepokea maua[emoji120]Maua yako haya hapa chukua [emoji257][emoji255]
Experiences ndio zinatuboresha, wenye kujitambua vyema kwenye mahusiano wengi wamepitia magumu mno wakabaki na somo linalowasaidia kwenye maisha ya mahusiano.
🤣 King'ang'anizi kivipi sasa, mkipendana si lazma mung'ang'aniane au ulimfanya mwenzio Dildo tuWa hivyo nilimshindwa… wa kila saa mbona kimya, nijibu basi, inamaana huoni call zangu.. hujapokea simu anapiga mpk mara 10 halafu ukimtafuta ujue shida lawama 200 baada ya hapo niambie..[emoji19][emoji19] Na umemwambia kabisaa umebanwa utamcheck ila kila saa kila saa
Hii ndy short relationship yangu ya 2 months… hata bure simtaki mtu wa hivi Halafu ni king’ang’anizi [emoji23]
Mama Jane bye byeTuachiane nafasi kiasi, tukiachiana nafasi sana inakua ndio bye bye.
Mke anapigiwa simu sensitive tu. Mtabebishana nyumbani😀Ukiwa katika ndoa usipoona msg hata moja ya mkeo au mumeo ndio utaelewa kuwa Mume au mke yuko busy Na sidechick huko nje.huku katika mahusiano watu huchukulia rahis sana.ngoja Hii Ngoma iwe kinyume nyume chakee
Utajuaje nafasi ni kiasi au sana.🤣Tuachiane nafasi kiasi, tukiachiana nafasi sana inakua ndio bye bye.
Hadi lini lazima uolewe ukalee familiaNdio nakushauri uwe bachelor hakuna bachelor anaye fuatiliwa kijinga kijinga ni kipi ambacho hujaelewa hapo ?