Joannah
JF-Expert Member
- May 8, 2020
- 20,921
- 49,014
Nadhani tunaroll kwenye the same Zodiac,,,yaani kabisa usinipe attention why and how?😁😁😁Yaani yaani sijui wanatuweka wapi, mimi mtu asiponipa attention nawalk away tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nadhani tunaroll kwenye the same Zodiac,,,yaani kabisa usinipe attention why and how?😁😁😁Yaani yaani sijui wanatuweka wapi, mimi mtu asiponipa attention nawalk away tu
😊🙏Ngoja akuache wiki bila sms moja uone utakavyopagawa. Mtu akionyesha kukujali hata kwa sms tu, appreciate back, mpe ratiba yako ajue mda gani mnaweza kuongea..
..kuna namna mkiandika hivi ni kama sisi tunajigonga sana kweny(sie wenye mapenzi ya kukabana)
Ila usifosi attention kamwe utaumia vibaya sana, mpe attention anaekupa muda wake na kukuthamini vinginevyo litakukuta jambo.Yes hiyo ni kwa kila kitu....sema tumetofautiana yani mimi nisipopewa attention ntajaribu hata visivyojaribika
🤣 Mi niko busy so simu zangu ni za asubuhi na jioni tu. Hii inaniepushia mengi sana. Nafikiri ni umri na majukumu.Yes,hayupo busy sana
Itakua[emoji1787] maana wanasema zodiac sign ni ukweli mtupu wa maisha ya mtu.....mimi naweza kufa nikikosa attention au mtu anidanganye uwiiNadhani tunaroll kwenye the same Zodiac,,,yaani kabisa usinipe attention why and how?[emoji16][emoji16][emoji16]
Umesahau which hapo 😂Nadhani tunaroll kwenye the same Zodiac,,,yaani kabisa usinipe attention why and how?😁😁😁
Lini umewahi kufa 😂😂Itakua[emoji1787] maana wanasema zodiac sign ni ukweli mtupu wa maisha ya mtu.....mimi naweza kufa nikikosa attention au mtu anidanganye uwii
Mtu kama anakupenda aisee ni paradiso, hata ukiamka usiku ukaanza kucheka peke yako hawezi shangaa. Hivyo basi tafuta mnaependana na kuendana kuepusha karaha za moyoIla usifosi attention kamwe utaumia vibaya sana, mpe attention anaekupa muda wake na kukuthamini vinginevyo litakukuta jambo.
Mfanano mkuu[emoji1787] au ulinganishi unaitwaLini umewahi kufa [emoji23][emoji23]
Hapo sawa hii ni kweli kabisa. Tatizo ni kumpata mtakaependanaMtu kama anakupenda aisee ni paradiso, hata ukiamka usiku ukaanza kucheka peke yako hawezi shangaa. Hivyo basi tafuta mnaependana na kuendana kuepusha karaha za moyo
Ulinishtua niliwaza mbali 😅Mfanano mkuu[emoji1787] au ulinganishi unaitwa
Hapo inabidi uwe na uwezo wa lulet go haraka kama speed ya risasi ukiona mambo si mambo, plus uwe na uwezo wa kujiponya nafsi unapovunjwa moyo kwa speed hiyohiyo ya risasiHapo sawa hii ni kweli kabisa. Tatizo ni kumpata mtakaependana
Siyo unambanaaa, mpaka anakosa hamu ya mahusiano kabisa. Sawa upo nae lakini Kuna muda anapaswa apate wakati wa kuwa peke yake. Kuna muda mtu anakuwa na mambo yake binafsi, mawazo yake binafsi na huwez kutaka kilakitu chake ukijue... Kila mtu ana private yake (mtakataa ila ndiyo ukweli)
Sasa ndugu,dk 2 nyingi...mara video call...simu muda wote....mara hujibu sms Kwa wakati[emoji15] nyiee,tena Bora kidogo mwanamke akichungwa kidogo(nimesema kidogo Kwa sababu tuna majukumu pia ivo isiwe too much) lakini si mwanaume...waweza Dhani ndo waimarisha penzi kumbe ndiyo wamkimbiza.
Haya sasa msije sema sijawaambia
[emoji1787][emoji1787] polee mkuuUlinishtua niliwaza mbali [emoji28]
We dada umekwiva kwenye mahabat, darasa lako lifunguliwe wapi upige hela 😅Hapo inabidi uwe na uwezo wa lulet go haraka kama speed ya risasi ukiona mambo si mambo, plus uwe na uwezo wa kujiponya nafsi unapovunjwa moyo kwa speed hiyohiyo ya risasi
Nimeshapoa mkuu ila usife tena 😂[emoji1787][emoji1787] polee mkuu