Ignore list on JamiiForums: Maboresho ya mwaka 2020

Mfano mrahisi tu... Unaweza ukapigwa wimbo clouds wa WCB nikasikiliza nikamaliza ukapigwa wa Alikiba nikabadilisha station....


Je, nimemnyima Alikiba haki yake ya kusikililwa? Simtaki tu na sitaki nyimbo zake...

Kaveli
 
Mkuu Maxence Melo, hivi haiwezekani na wewe MWENYEWE baba mwenye Nyumba, Memba wote wa JF tukakupiga spana?[emoji23]
 

JF sio sehemu 'rasmi' kwa vigezo gani?

-Kaveli-
 
Ingore iondolewe. La sivyo ile slogan ya
Great Thinker
Na
Dare to speak openly na yenyewe iondolewe kabisa
 
Hapana asee , hii sikubaliani nayo,, huko mbele itasababisha watu kuwa waoga kutoa opinion au kuanzisha mada kwa kuogopa kukosolewa . kama hujapenda kitu ukipita kimya kimya inatosha,


Sent
Yaani mtu akionyesha hajakubaliana na wewe unaingiwa woga?

Kwani unapoanzisha mada unafikiri wote wataikubali?

Sasa kama kabutton tu ka dislike mnakaogopa vipi komenti za kudiss mbona zinaendelea?

Basi uwanja wa comment ungeondolewa mtu anapost tunasoma tu

Hii ndio inafanya vijana wengi wa upinzani wanakimbia kupingana wao wanataka waongee watu wa lugha moja tu, nawaona wanavyoshangilia humu kama mahayawani
 
Nakubaliana na mabadiliko,huna haja ya kuona mada ambazo zinakuharibia mood,hata kama hujasoma yaliyomo,
Kichwa cha habari tu kinatosha kukuchafulia Siku,ni bora Kum- ignore mtu kama huyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…