Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kumbe Maxence Melo unawajua vilazza wote wa jf?Ndo hivyo tu yaani [emoji17]
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kumbe Maxence Melo unawajua vilazza wote wa jf?Ndo hivyo tu yaani [emoji17]
Acha woga malizia mkuuNilikua nafanya tuu mfano kama alivyofanya mwalimu
Samahani Bia yetu naheshimu sana mawazo yako
Siwezi kukuignoreView attachment 1463926
It's okay anyways, umenifanya niikumbuke tweet yako ya majuzi hapa, sijui kwa nini wengi tunashindwa kuziishi imani zetu, hili swala linakiuka haki husika ya msingi na najua unalijua hilo mkuu, tujifunze kuvumiliana nakazia...all is well [emoji1374].View attachment 1464092
Yeye mwenyewe anatoa like kiroho safi tu[emoji1787]Mnataka kumchonganisha sasa!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwangu mimi huyo USSR , Bia yetu , mbingunikwetu , MSAGA SUMU , Wakudadavuwa , na wengine wote wale MATAGA wa kusifu na kuabudu nawa-ignore kuanzia sasa, vp pia mkuu Mello hakuna option ya kuwaua kabisa?
DAWA YA MATAGA IMEIVAYaani apa itakuwa ukijadiriwa kwy group, watu wana ignore
Hahahaha hahahaha Mataga wataisha.
Hii sio kesi mzee baba na hakuna anayehukumiwa hapa.... hii ipo fair kabisa wala haihitaji mijadala mipana ya kisheria.
Ishu ni sitaki kuona jambo fulani kwasababu zangu binafsi...na kutokuona kwangu hilo jambo hakumwathiri mtu mwingine kabisa.
Na ipo hata kwenye maisha ya kawaida tu...kijiweni akija fulani mie najikataa...wala hakuna aliyenyimwa haki yake. Hapa mtaani tu sio sehemu rasmi kama bungeni au mahakamani.
Na wakudadavuwa usimsahau [emoji28][emoji28][emoji28]Hapa Bia yetu na Magonjwa mbadala kwisha habari zao
Mkuu Maxence Melo Karibu Nyakanazi, ukiwa unaenda nyumbani kusalimia Simama hapa nikupe soda yako kutokana na maboresho hayo
Kwangu mimi huyo USSR , Bia yetu , mbingunikwetu , MSAGA SUMU , Wakudadavuwa , na wengine wote wale MATAGA wa kusifu na kuabudu nawa-ignore kuanzia sasa, vp pia mkuu Mello hakuna option ya kuwaua kabisa?
Kumbe nayeye yuko kundi moja!!!!Na wakudadavuwa usimsahau [emoji28][emoji28][emoji28]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwangu mimi huyo USSR , Bia yetu , mbingunikwetu , MSAGA SUMU , Wakudadavuwa , na wengine wote wale MATAGA wa kusifu na kuabudu nawa-ignore kuanzia sasa, vp pia mkuu Mello hakuna option ya kuwaua kabisa?
Yaani mtu akionyesha hajakubaliana na wewe unaingiwa woga?Hapana asee , hii sikubaliani nayo,, huko mbele itasababisha watu kuwa waoga kutoa opinion au kuanzisha mada kwa kuogopa kukosolewa . kama hujapenda kitu ukipita kimya kimya inatosha,
Sent