Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Watakimbia jukwaa soon. Maana watajikuta wako kitanzini wanne tuMi nilisha wapatia haki yao kitambo sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watakimbia jukwaa soon. Maana watajikuta wako kitanzini wanne tuMi nilisha wapatia haki yao kitambo sana
Akibadirisha jina utamjuaMaxence Melo Ume create tension ambao haikuwa na ulazima huo mfano wako unaoneka kama ulikuwa unajaribu kudeliver ujumbe fulani Huyo USSR anajulikana ni Praise team sasa hakukuwa na haja kumtolea mfano mana nimepita nyuzi zake kadhaa watu wanamuambia ndo mana ametolewa mfano kwenye Uzi wako huu, Kuna Famous wengi humu ungewatumia ila sio USSR mana naamini pia atakuwa amekuwa affected psychologically
Mimi si ignore mtu kikubwa uvumilivuFor example;
Ni uamuzi mzuri piaMimi si ignore mtu kikubwa uvumilivu
Dunia hii lazima iwe na watu sampuli mbalimbali ili ikamilike Sasa mie na misimamo yangu maoni ya mtu hayawezi ni change kabisaNi uamuzi mzuri pia
Dunia hii lazima iwe na watu sampuli mbalimbali ili ikamilike Sasa mie na misimamo yangu maoni ya mtu hayawezi ni change kabisa
Nitakuwa nakughasi nione kama hutanipa ignore!Dunia hii lazima iwe na watu sampuli mbalimbali ili ikamilike Sasa mie na misimamo yangu maoni ya mtu hayawezi ni change kabisa
Hivi watu mnatumia vigezo gani kujipambanua humu kwamba nyie ni bora wengine ni wa kuwa ignore hadi mnawafungulia thread?
Kumbe ni mambo ya siasa za siasa.. Basi hapo nimepata mwanga.Ccm imechokwa mkuu! Sio kujipambanua wala nini!...wanatuchezea rafu sana!bora liwalo na liwe!
Ni siasa hizo mkuu! Majitaka!Kumbe ni mambo ya siasa za siasa.. Basi hapo nimepata mwanga.
Ccm imechokwa mkuu! Sio kujipambanua wala nini!...wanatuchezea rafu sana!bora liwalo na liwe!
Huenda walikuwa na hoja waliotuaminisha kuwa JF ni anti-CCM (anti-serikali to be precise), ‘wabaya’ wetu humu ni wale pro-CCM... hii sio sawa.
Sio kweli mkuu! Kama ingekuwa hivuo mbona minyuzi mingi ya ccm iko tu inaelea angani!?