cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sasa fikiria unadanganywa na mtu anayeamua kujiita waziri mkuu,na waziri mkuu unamjua,mkuu wa kulaumiwa sio wewe kweli???
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sasa fikiria unadanganywa na mtu anayeamua kujiita waziri mkuu,na waziri mkuu unamjua,mkuu wa kulaumiwa sio wewe kweli???
MmmmhMimi Ni major genarali Nani anakusumbua njoo pm
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Labda hamkumuelewa, anaweza kuwa ni jina lake ni jenerali kama ulimwengu 😀
Kuhusu wateja Kuna jinsi ya kunipata. Hiyo naomba ibaki Siri mpaka mtuhumiwa akamatwe na kupelekwa polisi.Nadhani wewe ndio huelewi maana ya private investigator. Haimaanishi kufanya kazi kwa siri au kujificha. Lazima ofisi iwepo, lazima utambulike kisheria ili kuwe na namna ya wateja wako kukufikia/kukupata.
Au wewe wateja wako wanakupata vipi?
Kwanini mkuu?Kwa kweli hii issue imenifanya nijue system ya Tanzania ni rotten.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaahJamaa anajenga urafiki na wewe kwa kuangalia status yako. Anakuingia kwa gia kwamba yeye ni Generali wa JWTZ kwa maana ya cheo karibia na CDF, ukikubali tu umeliwa. Atajifanya kukuanganisha na Viongozi wakubwa .
Sasa ana simu nyingi so, anaweza kukudanganya kwamba kesho Waziri Mkuu atakupigia. Halafu kesho kweli unapigiwa simu na mtu mwenye sauti ya Waziri Mkuu kumbe Wana mtambo wa kuigiza sauti kwenye simu zao, ukisikia hivyo Unaingia line.
Inashangazaa kwa kweli.Ukiona hivyo boss nayeye ana makando kando kweli.
Hujafanya kosa unakubalije kosa!!!milioni 200 unazitoaje kwenye kipato halali kumhonga mtu anayekutuhumu tu!!!!
Huwa natumia akili kidogo kwenye kuzinyaka pesa.......shida nyie akili zenu ni za degree,masters na PhD!Punguza utani kwenye serious issues. System ilivyooza ndio inakupa kiburi. Mimi siku kamati polisi ndio wakukukamata. Sasa polisi wanakuogopa Sana.
Acha kujipa masifa.....sisi hatukutafuti na hatujawahi kukutafuta....Mkuu ninafahamika na nipo kisheria. Ila for the purpose of this case siwezi kujiexpose hapa kwa kutaka jina na nilipo , Hawa watu wananitafuta Sana. Hii kesi ni nzito nimeipeleleza kwa muda mrefu tangu mwezi wa kumi na mbili mpaka mwezi wa nne ndio nimefikia conclusion kwamba Generali Mwamwega ni Engineer Fulani anayetumia kampuni yake ya ujenzi kuwaibia na kublack mail wateja wake.
Wewe pambana halafu tuone mwisho wake....Tatizo Mimi sio mhanga ila hii issue sitaiachia mpaka mwisho
Tulia sasa makelele ya niniMimi sipo hivyo
Cha msingi uwe na ushahidi.Unaelewa maana ya utapeli.
Ni kweli aliyetapeliwa naye alijipeleka kijinga mpaka kupigwa milioni mia mbili na ushee. Walimtengenezea mtandao wa Viongozi alikuwa ni kweli kumbe uongo.Sema watu wengi mnaotapeliwa huwa hamna akili na mnapenda shortcut. Ukifuata taratibu za kutoa gari bandarini huwezi kutapeliwa. Hapafu pia Jenerali huwezi kumwona hovyohovyo. Huyo ni mtu mwenye ulinzi na akifika sehemu lazima mgundue kuna mtu mzito katimba. Sasa huyo Jenerali anayezagaa bandarini ni jenerali wa jeshi gani? Mimi naona azidi kuwatapeli tu wapumbavu wasiotaka kufuata utaratibu.
Stress(changamoto) ni maisha,,na Maisha ni stress(changamoto)haijalishi U katika Hali gani.Una shida gani ?. Stress Zina kusumbua?
Poleni sana. Kuna kitu ulichukulia poa mkuu. Karibu.Tumeenda Hadi kwa RCO na kupeleka ushahidi lakini nothing done. Miezi miwili Sasa inakimbia
KabisaNdio maana nikasema hii issue imenifumbua macho kujua jinsi serikali yetu ilivyokamatwa na watu wachache.