DOKEZO IGP ingilia kati kuhusu huyu Tapeli wa Dodoma Egron Rweyemamu aka Jenerali Mwamwega

DOKEZO IGP ingilia kati kuhusu huyu Tapeli wa Dodoma Egron Rweyemamu aka Jenerali Mwamwega

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Nimesikitika Sana kwa mtu kutumia jina la Waziri Mkuu, Rais wa Zanzibar na cheo Cha jeshi JWTZ halafu anaogopwa. Huyu mtu Jenerali Mwamwega hayupo JWTZ na Wala hafanyi kazi Ikulu ya Zanzbar ila anatapeli watu wengi kwa jina Hilo.

Hiyo kesi tulipeleka kwa RCO wa Mkoa na hata Kuna wapelelezi tumewatumia na kuwapa ushahidi wote ila wakifika kwa Jenerali Mwamwega wanakimbia, Sasa hatujui huyo jamaa ana nguvu kiasi gani mpaka watu wanakimbia.

Hata hapa JF Jana nimeweka ushahidi wote kwenye fichua maovu ila wameitupilia mbali. Huyu jamaa anaoneka ameikamata system yote. Hiyo milioni mia mbili aliyotapeli inaonekana kagawa kwa watu wengi.

Ila Kama mpelelezi nitapambana mpaka mhanga wa huu utapeli apate haki yake.
Akikushinda mtafute Mng’oa kucha. Mtu pekee aliyewahi kutokea humu JF, alilalamika kama wewe akachukua hatua kote hakuupata haki yake.
Akamtangazia yule Hakimu kwamba ifikapo siku fulani hajapata haki yake basi huyo hakimu aage ndugu jamaa na marafiki kwani lazima amuue. Na kweli Hakimu akafa.

Mng’oa kucha alipomaliza mission yake hata hapa JF akatoweka kabisa, uzi wake ukafutwa lakini akawa maarufu nchi nzima
 
Nimesikitika Sana kwa mtu kutumia jina la Waziri Mkuu, Rais wa Zanzibar na cheo Cha jeshi JWTZ halafu anaogopwa. Huyu mtu Jenerali Mwamwega hayupo JWTZ na Wala hafanyi kazi Ikulu ya Zanzbar ila anatapeli watu wengi kwa jina Hilo.

Hiyo kesi tulipeleka kwa RCO wa Mkoa na hata Kuna wapelelezi tumewatumia na kuwapa ushahidi wote ila wakifika kwa Jenerali Mwamwega wanakimbia, Sasa hatujui huyo jamaa ana nguvu kiasi gani mpaka watu wanakimbia.

Hata hapa JF Jana nimeweka ushahidi wote kwenye fichua maovu ila wameitupilia mbali. Huyu jamaa anaoneka ameikamata system yote. Hiyo milioni mia mbili aliyotapeli inaonekana kagawa kwa watu wengi.

Ila Kama mpelelezi nitapambana mpaka mhanga wa huu utapeli apate haki yake.
fursa yoyote ya kupiga hela itumie
niunganishe naye tupige hela
 
Nimesikitika Sana kwa mtu kutumia jina la Waziri Mkuu, Rais wa Zanzibar na cheo Cha jeshi JWTZ halafu anaogopwa. Huyu mtu Jenerali Mwamwega hayupo JWTZ na Wala hafanyi kazi Ikulu ya Zanzbar ila anatapeli watu wengi kwa jina Hilo.

Hiyo kesi tulipeleka kwa RCO wa Mkoa na hata Kuna wapelelezi tumewatumia na kuwapa ushahidi wote ila wakifika kwa Jenerali Mwamwega wanakimbia, Sasa hatujui huyo jamaa ana nguvu kiasi gani mpaka watu wanakimbia.

Hata hapa JF Jana nimeweka ushahidi wote kwenye fichua maovu ila wameitupilia mbali. Huyu jamaa anaoneka ameikamata system yote. Hiyo milioni mia mbili aliyotapeli inaonekana kagawa kwa watu wengi.

Ila Kama mpelelezi nitapambana mpaka mhanga wa huu utapeli apate haki yake.
We unafa..mchezo nini....
Haya mambo hayakuanza leo...Kuna mhaya alishamtapeli mpaka Mwalimu Nyerere...na hawakumfanya kitu...
 
Akikushinda mtafute Mng’oa kucha. Mtu pekee aliyewahi kutokea humu JF, alilalamika kama wewe akachukua hatua kote hakuupata haki yake.
Akamtangazia yule Hakimu kwamba ifikapo siku fulani hajapata haki yake basi huyo hakimu aage ndugu jamaa na marafiki kwani lazima amuue. Na kweli Hakimu akafa
Tatizo Mimi sio mhanga ila hii issue sitaiachia mpaka mwisho
 
Sasa hapo nikaribie nini? Au nikifika tu Dar naiona ofisi yako?
Mkuu Kuna shida. Umeniuliza ofisi zangu zipo wapi nikamwambia Dar. Ulitaka nitaje jengo. Unaelewa maana ya private investigator?. Nikiji expose ni risk kwangu.
 
Itabidi nipeleke ushahidi kwa mama Samiah Kama polisi wameshindwa.
 
Mkuu Kuna shida. Umeniuliza ofisi zangu zipo wapi nikamwambia Dar. Ulitaka nitaje jengo. Unaelewa maana ya private investigator?. Nikiji expose ni risk kwangu.
Nadhani wewe ndio huelewi maana ya private investigator. Haimaanishi kufanya kazi kwa siri au kujificha. Lazima ofisi iwepo, lazima utambulike kisheria ili kuwe na namna ya wateja wako kukufikia/kukupata.

Au wewe wateja wako wanakupata vipi?
 
Nadhani wewe ndio huelewi maana ya private investigator. Haimaanishi kufanya kazi kwa siri au kujificha. Lazima ofisi iwepo, lazima utambulike kisheria ili kuwe na namna ya wateja wako kukufikia/kukupata.

Au wewe wateja wako wanakupata vipi?
Mkuu ninafahamika na nipo kisheria. Ila for the purpose of this case siwezi kujiexpose hapa kwa kutaka jina na nilipo , Hawa watu wananitafuta Sana. Hii kesi ni nzito nimeipeleleza kwa muda mrefu tangu mwezi wa kumi na mbili mpaka mwezi wa nne ndio nimefikia conclusion kwamba Generali Mwamwega ni Engineer Fulani anayetumia kampuni yake ya ujenzi kuwaibia na kublack mail wateja wake.
 
Back
Top Bottom