Sasa mbinu za kisiasa wakati tunakujua. Sema unahonga mapolisi na wapelelezi. Maana imegundulika baada ya kupeleza ni kwamba hiyo simu ya General Mwamwega anayotumia imeandikwa Mwinyi Hassan ila ukifuatilia jina lako linakuja. Nadhani umeshaelewa. Tutakukamata tu.Ndugu sio kwamba sichukuliwi hatua hapana,shida watanikamataje???
Natumia mbinu za kisasa kazini....
Acha niendelee kuwaliza!!!
Walimuwahi bandarini Kuna taarifa walimpa akawaamini ndio wakamzima gari, ili kumpoteza wakamtungia kesi ya utakatishaji fedha na kuhonga mapolisi wakumtusha huyo bosi na kumpangia fine ya milioni 60.Sasa ikiwa mtu aliagiza kwa bf ameibiwaje? Je huyo jeneral ana kampuni ya clearing?
Ni kweli mkuuKuna watu ni wajinga mkuu. Yani wanatapeliwa kijinga na hawataki kukubali kuambiwa. Shida Sana
Wala sio Mwanajeshi sema kakamata wajinga anawadanganya yeye ni CDF na Wala hawashtuki. Kawapiga pesa nyingi halafu kawatengenezea kesi za utakatishaji fedha wanahangaika mpaka Leo kulipa faini. Na faini yenyewe wanamlipa huyo huyo Generali Mwamwega. Ni shida Sana huyo jamaa hagusiki.Kiongozi mbona unaenda mbali sana huyo kamripoti kwa MP utakaye muona maana hiyo ndo kazi yao kudeal na wanajeshi wenzao MP watamshughulikia
Habari, naomba nitoe taarifa kwa JWTZ ya kwamba Kuna mtu anajiita Generali Charles Mwamwega na kudanganya watu yeye ni makubwa jeshini na anafanya kazi kwenye ofisi ya Rais wa Zanzibar Ikulu. Ukienda pale ikulu Zanzibar hayupo mtu Kama huyo na ukienda kwenye data base ya JWTZ Hilo jina halipo kabisa, ukiachana na cheo Cha uongo Cha Generali ambacho ni kimoja tu kwa CDF.
Mpaka Sasa ameshatapeli watu wengi lakini hachukuliwi hatua yeyote. Maana Mimi najua Generali wa JWTZ ni mmoja inakuaje wawepo majenerali wawili?. Pia huyu Generali anatumia jina la Waziri Mkuu kuibia watu Magari pale bandarini. JWTZ ingilieni kati raia wanalizwa, wasaidieni.
Shida Mimi sio aliyetapeliwa ila nimepeleza na kugundua kwamba huyo bosi anaibiwa. Huyo Generali Mwamwega kashampiga milioni mia mbili na kumdanganya huyo bosi kuwa ana kesi ya uhujumu uchumi atakamatwa. Baadae akamdanganya ameongea na Waziri Mkuu kuwa atamsaidia asikamatwe yeye alipe milioni 60. So bosi mpaka analipa milioni 60 Kama faini ya serikali. Cha kushangaza analipia fine kwa huyo huyo Mwamwega.Pole sana Mkuu!
Japo Magenerali wako Wengi Sana Jeshini ILA Chief ni Mmoja tu CDF..
Kinachotakiwa Nena pale NGOME wasilisha Ushahidi wako wapelekee MP (Millitary Police) au MIO (Millitary Intelligence Office) washughulike na Huyo jamaa hakatizi atakamwatwa..
Kama ushahidi wote unao na Unaamini unajitosheleza Nenda upeleke Ushaihidi huo..
Au Sehemu Nyingine unaweza kuwasilisha Ushahidi huo Kambi ya Twalipo Watakusaidia
Ulisema anaitwa mwamwega au Dr. Charles A. Mwamwaja..Shida Mimi sio aliyetapeliwa ila nimepeleza na kugundua kwamba huyo bosi anaibiwa. Huyo Generali Mwamwega kashampiga milioni mia mbili na kumdanganya huyo bosi kuwa ana kesi ya uhujumu uchumi atakamatwa. Baadae akamdanganya ameongea na Waziri Mkuu kuwa atamsaidia asikamatwe yeye alipe milioni 60. So bosi mpaka analipa milioni 60 Kama faini ya serikali. Cha kushangaza analipia fine kwa huyo huyo Mwamwega.
Huyo Generali alikuwa Kama mgonjwa anahitaji msaada wa matibabu. Cha kushangaza huyo bosi anashindwa kuhoji inakuwaje Generali wa Jeshi mwenye cheo Cha CDF anakosa bima ya Afya. Ila duniani tunatifautiana.Kutapelewa ni matokeo ya kushindwa kutumia akili vizuri, watu wanatapeliwa na watu kwa kutumia neno la mungu, wanatapeliwa na waganga wa kienyeji wanatapeliwa na wanasiasa. Hao matapeli mbona husemi wachukuliwe hatua au huyo anaetumia jina la jenerali ana nini mpaka ashughulikiwe na hao wengine wasishughuliwe.
Huyu mwamwaja nadhani ni lecture kama sijakoseaUlisema anaitwa mwamwega au Dr. Charles A. Mwamwaja..
maana Nimefatilia Hili Ni jina nililopata So nijibu Nikpe taarifa kuhusu Hilo..
Ni Charles Mwamwega au Charles Mwamwaja