Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna vitu Hii nchi viongozi wanafanya Nyuma ya pazia unaweza ukalia ukionyeshwaItakuwa maana kila mtu anamkimbia. Tumeshirikisha polisi hola na wapelezi hola. Kila mtu anakuja na stori zake za uongo na kweli ila jamaa kila siku anatumiwa miamala na bosi sio Chini ya milioni Tano kwa wiki .
OkHawezi kunipoteza hata siku moja. Maana Mimi namjua Hadi kwa jina.
sasa kabla hao uliowataja wachukue hatua,kwanini hukurepoti polisi akamatwe?Habari, naomba nitoe taarifa kwa JWTZ ya kwamba Kuna mtu anajiita Generali Charles Mwamwega na kudanganya watu yeye ni makubwa jeshini na anafanya kazi kwenye ofisi ya Rais wa Zanzibar Ikulu. Ukienda pale ikulu Zanzibar hayupo mtu Kama huyo na ukienda kwenye data base ya JWTZ Hilo jina halipo kabisa, ukiachana na cheo Cha uongo Cha Generali ambacho ni kimoja tu kwa CDF.
Mpaka Sasa ameshatapeli watu wengi lakini hachukuliwi hatua yeyote. Maana Mimi najua Generali wa JWTZ ni mmoja inakuaje wawepo majenerali wawili?. Pia huyu Generali anatumia jina la Waziri Mkuu kuibia watu Magari pale bandarini. JWTZ ingilieni kati raia wanalizwa, wasaidieni.
Mkuu ni Generali wa mwisho Yani Generali kwa CDF. Maana mwaka Jana alikuwa anajiita Luteni Generali.General ni mmoja?
Majenerali Tanzania wako wengi sema mmoja ndiye huwa kiongozi wa wengine.
La pili ni kwamba huyo anayetapeliwa ni mpuuzi anastahili kufungwa.
Maxence Melo njoo hapa mnatuhumiwa kuficha matapeli.Mkuu niliwahi kuleta ushahidi hapa wote Hadi namba na majina halisi ya wahusika JF wkauotoa Uzi, Sasa Mimi nifanyeje?
Jamaa anajenga urafiki na wewe kwa kuangalia status yako. Anakuingia kwa gia kwamba yeye ni Generali wa JWTZ kwa maana ya cheo karibia na CDF, ukikubali tu umeliwa. Atajifanya kukuanganisha na Viongozi wakubwa .Wanaibiwaje? Au ni katika harakati za kutafuta slope?
🤣🤣🤣🤣🤣Umeshindikana wwNdugu sio kwamba sichukuliwi hatua hapana,shida watanikamataje???
Natumia mbinu za kisasa kazini....
Acha niendelee kuwaliza!!!
Ukiona hivyo boss nayeye ana makando kando kweli.Inaonekana huyo Generali Mwamwega alitumia jina la Waziri Mkuu kumtapeli huyo bosi. Shida ya huyo bosi naye kichwani hazitoshi. Kila analoambiwa Wala hashtuki. Mtu anapigiwa simu anaambiwa una kesi ya utakatishaji naye anajaa na kuanza kulipa faini bila hata kuhoji. Huyo Generali Mwamwega kamshika kweli huyo bosi kamfanya mradi wake. Siku JF wakinikubalia nitatoa stori nzima hapa.
TayariKazi ya polisi hiyo, wanawalea sana matapeli na kula nao. Acha tuanze kuwatia viberiti wenyewe.
Ni sahihi. Jamaa kafanya mistake sana kusema waje inbox.Huyo Tapeli atakufuata PM na atakuumiza vibaya. Wewe wka kila kitu hapa ili wahusika wa-deal nae.
Ngoja mi Kanali Kunde nimfuate inbox.Ni sahihi. Jamaa kafanya mistake sana kusema waje inbox.
Kwenye kesi za matapeli polisi hakuna wanachofanya zaidi ya kula rushwa pande zote mbili. Utaambiwa leta laki mbili ya kum 'track' alafu wakimpata hafiki kituoni, anawatuliza kwa hela. Baada ya hapo wanaanza kukuzungusha.Hili suala tumeshalipeleka polisi ila chenga nyingi Sana. Watu umewapa ushahidi wote lakini kila siku maneno huu mwezi wa pili.