DOKEZO IGP ingilia kati kuhusu huyu Tapeli wa Dodoma Egron Rweyemamu aka Jenerali Mwamwega

DOKEZO IGP ingilia kati kuhusu huyu Tapeli wa Dodoma Egron Rweyemamu aka Jenerali Mwamwega

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Ni hivi anajenga unafiki na wewe na kukuaminisha yeye ni mtu mkubwa jeshi kwa cheo Cha Generali karibia na CDF. Hivyo atajifanya anafahamiana na Waziri Mkuu. Sasa yeye inaonekana ana teknolojia ya kutwist sauti ya viongozi. So anakupigia na kumwambia nimeongea na Waziri Mkuu atakupigia baadae akusaidie kulipia gari kutoka bandarini. Ukikubali tu umeliwa. Kweli utapigiwa Simu na kuongea na fake Waziri Mkuu baada ya hapo utawaachia wenyewe walitoe. Ili walitoe kwenye reli wanakutengenezea kesi ya utakatishaji. Wakati wewe unahangaika na kesi ya utakatishaji wao Wana ondoa gari bandarini kwa njia zao wanazojua.
 
Sasa mbinu za kisiasa wakati tunakujua. Sema unahonga mapolisi na wapelelezi. Maana imegundulika baada ya kupeleza ni kwamba hiyo simu ya General Mwamwega anayotumia imeandikwa Mwinyi Hassan ila ukifuatilia jina lako linakuja. Nadhani umeshaelewa. Tutakukamata tu.
Haitawezekana kamwe.....Nina staili kama mia hivi za kuvuta pesa!!!
 
Huyu mwamwaja nadhani ni lecture kama sijakosea
Yeah Pia Ni Kamishna wa Fedha Hazina pale..
"Commissioner for Financial Sector Development"

Na anafundisha Mzumbe pia..
So nimefanya Utafiti wa Haraka haraka So far hapo ndo ilipofikia..

But Jeshini hakuna Hilo Jina la mwamwega hata serkalini pia..

Ila Charles Mwamwaja Yupo..
 
Ulisema anaitwa mwamwega au Dr. Charles A. Mwamwaja..

maana Nimefatilia Hili Ni jina nililopata So nijibu Nikpe taarifa kuhusu Hilo..
Ni Charles Mwamwega au Charles Mwamwaja
Ni Generali Charles Mwamwega. Anadai ni Katibu wa Ikulu ya Zanzibar. Ila huyo mtu tumeshamjua jina lake halisi
Labda hamkumuelewa, anaweza kuwa ni jina lake ni jenerali kama ulimwengu 😀
Wao wameanza kufahamiana na bosi toka 2021, Mimi nimekuja kulijua Hilo sakata mwezi wa kwanza mwaka huu. Baada ya bosi kuanza kulia kuwa na kesi ya utakatishaji fedha, ikabidi Mimi nijiongeze kufanya upelelezi Kama kweli ni utakatishaji ndio nikagundua hayo.
 
Yeah Pia Ni Kamishna wa Fedha Hazina pale..
"Commissioner for Financial Sector Development"

Na anafundisha Mzumbe pia..
So nimefanya Utafiti wa Haraka haraka So far hapo ndo ilipofikia..

But Jeshini hakuna Hilo Jina la mwamwega hata serkalini pia..

Ila Charles Mwamwaja Yupo..
Mkuu Mimi baada ya kuona bosi anapigwa. Nikajaribu kumdodosa ndio akaniambia Kuna Generali wa JWTZ akimaanisha cheo Cha CDF, ndio anajaribu kumkinga asikamatwe hivyo ameambiwa alipe milioni 60 Kama fine ya serikali. Ndipo hapo na Mimi nikaanza upelelezi wangu kumtafuta huyu Generali Mwamwega.

Kwenda JWTZ hayupo na kwenda ikulu Zanzibar hayupo. Ila kumkamata huyo bosi mpaka Leo anampiga pesa bila huruma. Sijajua anatumia mbinu gani kuchanganya watu.
 
Yeah Pia Ni Kamishna wa Fedha Hazina pale..
"Commissioner for Financial Sector Development"

Na anafundisha Mzumbe pia..
So nimefanya Utafiti wa Haraka haraka So far hapo ndo ilipofikia..

But Jeshini hakuna Hilo Jina la mwamwega hata serkalini pia..

Ila Charles Mwamwaja Yupo..
Huyo namjua ni mtu mwema Sana.
 
Mkuu Mimi baada ya kuona bosi anapigwa. Nikajaribu kumdodosa ndio akaniambia Kuna Generali wa JWTZ akimaanisha cheo Cha CDF, ndio anajaribu kumkinga asikamatwe hivyo ameambiwa alipe milioni 60 Kama fine ya serikali. Ndipo hapo na Mimi nikaanza upelelezi wangu kumtafuta huyu Generali Mwamwega.

Kwenda JWTZ hayupo na kwenda ikulu Zanzibar hayupo. Ila kumkamata huyo bosi mpaka Leo anampiga pesa bila huruma. Sijajua anatumia mbinu gani kuchanganya watu.
Huenda anakula nao wakubwa
 
Cheo cha general kimeshushiwa heshima yake aisee 😡😡😡,
Ila nimegundua wasomi wengi Tanzania hawana reasoning. Yani bosi wa Taasisi anashindwa kujua cheo Cha Jenerali ni Cha CDF. Anapigwa kesi ya money laundering bila hata kuhoji?. Nimeamua kumsaidia ili kumkamata huyu tapeli anayejifanya untouchable.
 
Huenda anakula nao wakubwa
Itakuwa maana kila mtu anamkimbia. Tumeshirikisha polisi hola na wapelezi hola. Kila mtu anakuja na stori zake za uongo na kweli ila jamaa kila siku anatumiwa miamala na bosi sio Chini ya milioni Tano kwa wiki .
 
Sasa ikiwa mtu aliagiza kwa bf ameibiwaje? Je huyo jeneral ana kampuni ya clearing?
Hapo ndipo na Mimi najaribu kufanya upelelezi. Ilikuwaje befoward washindwe kutoa gari?
 
Haitawezekana kamwe.....Nina staili kama mia hivi za kuvuta pesa!!!
Mbona tumeshakujua? Huwezi kudanganya watu kila siku. Wewe sema kiburi chako ni huyo bosi kuendelea kukunyenyekea wakati unampiga pesa. Ila ulijisahau true caller ikatusaidia.
 
Mkuu sio Mimi niliyetapeliwa , Mimi ni whistleblower. Kuna mtu Katapeliwa milioni mia mbili , na hao jamaa kwa kushirikiana na polisi waongo, wakamdanganya huyo bosi kuwa ana kesi ya utakatishaji fedha. Sasa jamaa anahangaika mpaka Leo anawalipa fedha ili wasimkamate. Kwa kifupi Tanzania Ina matapeli waliokubuhu. Wanaweza kukutengenezea scenario mpaka ikakubali. Ni stori ndefu siku Jamii forum wakikubali nitaiweka hapa.
Kumbe jf inalea pia huu ujinga?
 
Back
Top Bottom