IGP mtimue au mfute kazi RPC wa Dodoma ikikupendeza

Yani nimeumia sana aise yani mtu kabakwa wao wanaleta utani
 
Mpaka impendeze Aijipi?
 
Wajibu vizuri hao Watanzania.
Kwa mujibu ya hayo maelezo, wasifu wake kama kahaba anastahili kufanyiwa hivyo?
Watanzania hawakulitaka jeshi la Polisi lililete wasifu wa mbakwaji.
Na je hao wavuta bang wana ruksa ya kufanya hivyo walivyofanya?
 
IGP mwenyewe ni wa kuchukuliwa hatua.
 
Amba Ruty hakubakwa, bali video yao na mpenzi wake zilipovuja walikamatwa na kufikishwa mahakamani, inakuwaje kigugumizi kwa hao wanaoitwa wavuta bangi? Basi ujuwe kamanda anavuta nao bangi.
 
Muone huyu

Ova
 
Hatua zichukuliwe tena kahaba ni huyu RPC hicho cheo kakipatia kwa ukahaba tu! Rubbish!
 
Awe kahaba ndio sharti lake kubakwa?!!
 
huyo igp ndio mavi debe tupu. liliongea ujinga kua watu wanajiteka. lina sura ya kijambawazi
 
Unamtambuaje kama Kahaba!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…