Mapenzi ya Mungu ikitokea ni sawa lakini acha kutegemea backup ya mabeberu hao kazi yao ni kubomoa tu.Mbona unanitisha???? Tabia zenu hizo za kutisha watu ndo zinasababisha mpaka mkose public support saivi na still hamjifunzi!!
Kwani kuna shida gani CCM kuwa Chama cha Upinzani ndugu????
Nani kakwambia kazi yao ni kubomoa tu??? Wanabomoaje??? Kwanza ukiambiwa ubeberu unaelewaje??? Mabeberu ni kina nani kwa uelewa wako???Labda tuanzie hapo nikuelimisheMapenzi ya Mungu ikitokea ni sawa lakini acha kutegemea backup ya mabeberu hao kazi yao ni kubomoa tu.
Hahahahaha Siro ni tv remote control ipo chamwino
Hao unaowaita mabeberu wamebomoa wapi?Mapenzi ya Mungu ikitokea ni sawa lakini acha kutegemea backup ya mabeberu hao kazi yao ni kubomoa tu.
Hakuna haja ya kunielimisha, jenga nchi yako chagua maneno ya kuweka mitandaoni, tambua impact of social media na vyombo vingine vya habari.Nani kakwambia kazi yao ni kubomoa tu??? Wanabomoaje??? Kwanza ukiambiwa ubeberu unaelewaje??? Mabeberu ni kina nani kwa uelewa wako???Labda tuanzie hapo nikuelimishe
Asie na macho hakuna haja ya kumwambia tazama.Hao unaowaita mabeberu wamebomoa wapi?
Amezungumzia kuchomwa moto kituo cha mafuta, ila hakuzungumzia ofisi za Chadema za Arusha na Mbeya!IGP Sirro amemtaka Jaji Kaijage kuhakikisha tume ya uchaguzi inajipanga vizuri ili isije ikaliingiza jeshi la polisi katika vurugu zisizo na ulazima.
Sirro amesema ni wajibu wa tume ya uchaguzi kuhakikisha vifaa vyote vinakuwepo zikiwemo taa na zinafikishwa vituoni kwa wakati ili kuondoa dhana ya wizi wa kura.
Source ITV habari
Maendeleo hayana vyama!
Hujui utawala wa haki na demokrasia ni moja ya misingi mikuu katika kujenga nchi bora?Hakuna haja ya kunielimisha, jenga nchi yako chagua maneno ya kuweka mitandaoni, tambua impact of social media na vyombo vingine vya habari.
Ngoja niishie hapa, be alerted.Hujui utawala wa haki na demokrasia ni moja ya misingi mikuu katika kujenga nchi bora????
Mie ninapigania utawala wa haki na demokrasia!! Au wewe unaelewaje katika dhana ya kujenga nchi???
IGP Sirro amemtaka Jaji Kaijage kuhakikisha tume ya uchaguzi inajipanga vizuri ili isije ikaliingiza jeshi la polisi katika vurugu zisizo na ulazima.
Sirro amesema ni wajibu wa tume ya uchaguzi kuhakikisha vifaa vyote vinakuwepo zikiwemo taa na zinafikishwa vituoni kwa wakati ili kuondoa dhana ya wizi wa kura.
Source ITV habari
Maendeleo hayana vyama!
Nani anafuatilia tupe full details!Hili nimeliona mapema sana. Wasichojua watawala, hakuna uchaguzi unaofuatiliwa Tanzania kama wa mwaka huu. Shauri yake Sirro
Ngoja niishie hapa, be alerted.
Labda nikuulize, kwa akili zako unazielewaje barua za Amsterdam????Nani anafuatilia tupe full details!
Endelea kujitoa ufahamu tu!!Unadhani kujaa kww watu kwenye msiba inamaana yakwamba marehemu anapendwa sana.. wengine ni wanafiki tu, wengine hawapendi kupitwa na jambo,wengine washamba, wengine wezi. Akili zenu mnadhani wote wamejiandikisha kupiga kura.
Mafuriko ya lowasa uli yaona?
Halafu usipende kutukana third party na kuhukumu kwamba wauaji, watekaji wakati huna uhakika.
I'd fake haitakusaidia chochote.
Uwa wao ndio wanajiingiza kwenye matatizo wenyewe kwa tamaa na njaa zao zisizokuwa na kikomo. Kwani Tume ndio iliyowaagiza wawasindikize wale vijana waliotumwa na Mkuu wa Wilaya ya Hai kufanya fujo kwenye msafara wa Lisu Kilimanajaro?IGP Sirro amemtaka Jaji Kaijage kuhakikisha tume ya uchaguzi inajipanga vizuri ili isije ikaliingiza jeshi la polisi katika vurugu zisizo na ulazima.
Sirro amesema ni wajibu wa tume ya uchaguzi kuhakikisha vifaa vyote vinakuwepo zikiwemo taa na zinafikishwa vituoni kwa wakati ili kuondoa dhana ya wizi wa kura.
Source ITV habari
Maendeleo hayana vyama!
Upelelezi hautolewi wazi hadharani ovyo ovyo, ikifika wakati muafaka kila kitu kitawekwa wazi..Endelea kujitoa ufahamu tu!!
Labda nikuulize, upelelezi wa issue ya Lissu kupigwa risasi umefikia wapi??? Nani na nani wamehojiwa???