IGP Sirro: CHADEMA wanamuona Mbowe Malaika hawezi kosea, ushahidi tunao

Bila wewe kwenda Dodoma na Bashite Cyprian Musiba Heri kisanduku na wasiojulikana kumpiga risasi angefikaje huko ughaibuni?
Ugonjwa wa Akili ni hatari

naona unapata hallucinations vividly
Grow up son
 
Ugonjwa wa Akili ni hatari

naona unapata hallucinations vividly
Grow up son
Aliyekuambia kuwa una Akili timamu ni nani? Ugonjwa wako wa Akili usikudanganye kujifanya jaji wa Akili, kutetea uonevu unyanyasaji kuwabambikia kesi wapinzani ndiyo Ugonjwa wa Akili Hatari zaidi kupita wote Duniani
 
Amani ya Nchi huduma pindi chama Tawala kisipotumia Polisiccm kuwabambikia kesi wapinzani CCM ndiyo inavuruga Amani ya Nchi kwa kuendekeza vitendo haramu vya kishamba na kishetani
 
Polisi na dini wapi na wapi?
Nchi yetu, serikali na vyombo vya Dola havina dini.
Yapo matukio mengi sana yenye shaka ya haki kwa polisi.
Ni vizuri Bwana Yesu asihusishwe kwa sababu kwake hakuna shaka ya HAKI.
 
Its very risky kumpa kesi ya ugaidi mtu km Mbowe

sijui hili litaishaje
Am somehow convinced Serikali wana ushahidi

na kama ni kweli daah.,
Ngoja tuyaone yajayo mahakamani
 
Kwa kweli kwenye hili watu wawe neutral
Hadi proven beyond reasonable doubt
 
Polisiccm hawatumii Sheria za Nchi kuwabambikia kesi wapinzani hutumia fikra zisizo sahihi za mtukufu mwenyekiti wa CCM kuwabambikia kesi kuwaonea kuwanyanyasa wapinzani
 
Siro ameshazeeka asituharibie taifa.

Hakuna duniani mtutu wa bunduki ulileta amani.

Haya mambo yake yasijeleta waasi nchini kwetu. Wengine hatuna pa kwenda asee.

Huko pwani ya mtwara wanawasumbua, anajua ni gharama kiasi gani kama nchi tunaitumia?

Asidhani kujaza vikosi na silaha ndiyo ushindi,ajue tunayumbishwa kiuchumi.

Sasa nchi yote ikiwa haina amani anadhani ni kiasi gani cha fedha kitatumika?

Ama ndiyo wanatafuta namna wajitajikwapulie fedha zetu.

Hatupo tayari,wanaondamana wawaache wafanye hivyo ilimradi hawafanyi uharibifu. Polisi wayaongoze tena hayo maandamano.
Hata kama wanatembea hadi hai, acha waende.

Ushahidi mnao tayari,tungepende kuona kesi inasomwa mfululizo tena mkiweza ili TBC ipate umaarufu irushe live kesi.

Tuipende amani,tuipende nchi yetu.

Yote ni kuwa watu wa haki,utu na kuvumiliana.

Nchi yangu Tanzania, naipenda Tanzania.
 
Sijawahi kuwaamini polisi hata kama ni usiku wakaniambia nje giza nitatoka mwenyewe nje kuhakikisha.
Polisi ni ccm, CCM ni polisi
Polisi sio walinzi wa raia na mali zao polisi ni wezi, majambazi
Polisi ndio wanaongoza kwa rushwa
Polisiccm ni Tawi la CCM
 
Wapinzani hawana fujo hawana bunduki wanadai katiba kwa Amani lakini cha ajabu sasa Polisiccm na CCM wanawabambikia kesi za ugaidi, Tanzania kuulizia kudai katiba mpya ni ugaidi ni kioja kilioje Duniani
 
Waheshimiwa habari zenu!

Tangu Mbowe ameshikwa ni wiki mbili sijui tatu zimepita sasa. Wengi tulilalamika kuwa ameonewa na kwamba kashikwa kwasababu za kisiasa tu.

Leo IGP Sirro katoa ufafanuzi juu ya kushikwa kwa Freeman Mbowe. Ingawa IGP Sirro kaenda mbali kaongea utadhani mahakama imeshamtia Mbowe hatiani.

Ok turudi kwenye zima ya uzi wangu huu. Niko hapa napiga magoti kwa mtawala mwenye haki anayehukumu kwa haki. Kama Mbowe kahusika na ugaidi Mungu amuhukumu haraka, kama Mbowe hajahusika na ugaidi Mungu amuhukumu aliyemsingia.

Niliacha wiki moja ya neema, wiki ambayo Mbowe au waliomsingizia kesi kama wapo wamgeukie Mungu. Wiki ambayo imeshaisha na sasa tumeingia wiki ya hukumu. Wiki hii tutapata jibu
 
Umesahau mauaji ya Morogoro Mwangosi, milipuko ya mabomu Arusha, Kibanda kutobolewa macho, Ulimboka kung'olewa meno(sjui alienda wapi)..

Mbona marais wote wamefanya mamboz sema umesahau
 
Aliyekuambia kuwa una Akili timamu ni nani? Ugonjwa wako wa Akili usikudanganye kujifanya jaji wa Akili, kutetea uonevu unyanyasaji kuwabambikia kesi wapinzani ndiyo Ugonjwa wa Akili Hatari zaidi kupita wote Duniani
Minyoo ni shida
 
Haya yote yanaonyesha jinsi Katiba Mpya ilivyo muhimu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…