johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Usikufuru bwashee!Duh, better were colonial days.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usikufuru bwashee!Duh, better were colonial days.
Kwani kuna aliyekulazimisha uende?Aandamane mnyika na Lema sisi tunamajukumu ya kufanya. kamwe hatukubali kuchuuzwa!
Nani huyo gaidi,kahukumiwa mahakama gani?Mshahara wa dhambi ni mauti ni kweli kwa hiyo unataka kutuambia dhambi ya ugaidi adhabu yake itakuwa hiyo
Keyboard warriors on freak.
Pole sana,We wachuuze tu wenzio wakati wewe utakuwepo mahakamani kwa kutmia mitandao wenzio wakapondwe pondwe wavunjwe miguu keshoyake uje tena kuwapa pole na kulaumu polisi sana
Mbinu zipi ndugu.....??Acheni utoto, hizo mbinu ni so outdated, na sababu hasa ni kuwa na vyombo vya dola vilivyojaza mazee.
Kwa hiyo inawezekana huu ukawa ni mkakati wa kumuangamiza Mbowe kisiasa kwa kugoma kufuata matakwa ya watawala.....??Kwasababu miaka yote amegoma kuwa mateka wa CCM na vibaraka wao.
Hatakiwi kuaminika.Sirro ni binadamu. Anaweza kuongopa. Picha hii ni kielelezo cha UONGO wa Sirro. Alisema ni picha ya CCTV. Watu wote wenye akili timamu wanajua kuwa huu ni uhuni wa kipolisi. Je, IGP anayetunga uongo wa kiwango hiki anashindwaje kumbambikia Mbowe kesi ya ugaidi? Sirro anaaminika? https://t.co/MCpmhnP3rt
Maneno tu ... sidhani kama unamaanisha keyboard ⌨️ warriorSirro ufahamu kuwa sisi kama watu wenye akili zetu:
1. Tunajua kuwa mwenyekiti Mbowe mmembambikizia kesi
2. Tuko kwenye nafasi za kujua mnambambikizia kesi
3. Tunajua ni haki yetu kuja mahakamani
4. Tunakutaka ujue tutakuwapo mahakamani wala usitutishe
5. Tunakutaka umwogope Mungu wako kwani kushuhudia uongo huku ukilitaja jina lake bure, Mola anakataza
6. Tunakutaka uwashauri wenzio mtafute magereza zaidi ya kutuweka katika mamilioni yetu
7. Tunakutaka uziheshimu haki zetu
8. Tunakutaka uheshimu katiba
Ni hayo tu. Kwako kamanda.
Polisiccm ni Tawi la CCM hawafanyi kazi kwa mujibu wa Sheria pindi wakipewa maagizo kuwaonea kuwabambikia kesi chadema bali hufanya kazi kwa zidumu fikra za uonevu unyanyasaji tokea kwa mwenyekiti wa CCMMitandao ya kijamii imefurika matusi na kejeli baada ya IGP kutoa press akidai asiyeamini kwamba Mbowe ni Gaidi aende akamuulize. Amekwenda mbali zaid na kudai atakayethubutu kuandamana atapigwa tu.
Hi si ishara nzuri kwa mlinzi wa amani kugeukwa na anaowalinda, naamini Jeshi la Polisi linakila sababu yakujitafakari kuelekea kustaafu kwa huyu Mzee siro ambaye kwa namna yoyote ile awezi Tena kujisafisha.
Ikumbukwe aliyeeleza kwamba Mbowe amekamatwa kwa maelekezo ya Rais alikuwa ni RPC Mwanza na hakuna hatua zilizochukuliwa kupinga kauli hiyo si serikali Wala jeshi lenyewe.
Lakini baadaye tuliambiwa anatuhumiwa kutaka kuua viongozi ila hati ya mashtaka haisemi hivyo na hakuna kiongozi aliyetajwa alitaka kuuwawa.
Polisiccm hutumia Sheria za CCM kuwaonea kuwabambikia kesi wapinzani siyo Sheria za Nchi
Polisiccm wanatumia Sheria za CCM siyo katiba kuitawala Nchi kienyeji kuwatesa wapinzani kuwabambikia kesi na uonevu unyanyasaji usiokwishaJamaa kasema sasa hivi kama amani imekushinda na unataka uandamane wao wako tayar wamejipanga watakupelekea Moto
Kauli ya kupelekewa Moto imejirudiarudia kama tuko Afghanistan
Dereva taxi hana hatia ameachiwa.Tangu saga la MO, huyu jamaa haaminiki tena na jamii. Sijui analijua hilo.
Bila wewe kwenda Dodoma na Bashite Cyprian Musiba Heri kisanduku na wasiojulikana kumpiga risasi angefikaje huko ughaibuni?Alisikika raia mmoja wa online republic akitutusa vidole kutokea ughaibuni
nendeni barabarani …. Mkaonje virungu vipya
Hakuna mabaya yasiyo na mwishoccm siku zenu zinaesabika
Huu ujinga wa Le mutuz bado mnao?Wanatoa matusi wakiwa kwenye I'd fake
Akili za mavi ni zako wewe kutumia moto haramu wa kishetani kuzuia haki kutendeka kutembeza mikwara ya kijinga ukiamini ubabe wako wa kutembeza moto ni Akili kumbe hujui kuwa huo ni ushetani mkubwa usio na tijaAkili za mavi hizi, kama ni haki yako kuja mahakamani njoo tena uwe wa kwanza uone moto