Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kaahadiwa teuzi baada ya kustaafuAache mambo ya kufuta maagizo kutoka juu...
Hauwezi kumuelewa, ameandika mfano wa shairi, wewe umezoea lugha kavu.Umechanganyikiwa
Mungu hapangiwi Ila kwa maono yangu mbowe ataliona kaburi la ndugu yai.HABARI...
kwanza nikiri mara yangu ya kwanza kupiga kura ni 2020 na niliwapa CCM....
Wewe umeifanyia nini Tanzania zaidi ya kula na ku....a! Pamoja na kuwa haujawahi kutoka nje ya mipaka ya Tanzania, siku ukifa ndiyo siku ya mwisho kujulikana kuwa uliwahi kuwepo duniani.Sa
sasa T Lisu na G Lema wana aminika kweli?
Ni bora hata ya msigwa.
Lakini wale wawili ni wachumia tumbo
Hawawezi peqa ikuru.
Wachumia tumbo? Kwa hiyo mlishindwaje kuwanunua kama HAYO mliyoyajaza huko?Sa
sasa T Lisu na G Lema wana aminika kweli?
Ni bora hata ya msigwa.
Lakini wale wawili ni wachumia tumbo
Hawawezi peqa ikuru.
Nenda mkathibitishe mahakamani kua Mbowe anaonewa.Naona mnalazimisha kuchanganya maamuzi ya kesi ya Mbowe na Sabaya, mkiamini kabisa hatujui tofauti yake. Kesi ya Sabaya ni mashitaka ya dhahiri tena na mashahidi wa unyama ule wasiotiliwa shaka. Kesi ya Mbowe na ya kubambikizia mmoja wapo wa waliotengeneza hiyo kesi ni Sabaya ambaye leo hii ni mfungwa kwa ushahidi usioacha shaka, chini ya jeshi la polisi linalotumika na serikali kutekeleza unyama. Ndio maana unaona kila jaji sasa anaikimbia kesi hiyo ya Mbowe maana serikali inalazimisha hukumu isiyoendana na ushahidi. Imeisha hiyo.
Watu wapo kaziniSabaya jambazi mtu wa system!!!!???
Kama hao ndiyo watu wetu wa system basi kazi tunayo [emoji134][emoji134][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12]Hii kesi ya Mbowe Hawana USHAHIDI Ila Sabaya ametangulia kama Chambo ili kelele zisiwe nyingi ila Nia ni kumfunga Mbowe
Huu ni ugomvi kati ya SYSTEM VS MBOWE kutokukubali matakwa yao...
Sasa wewe una legacy gani hata hapo kitaaani kwako??Wewe umeifanyia nini Tanzania zaidi ya kula na ku....a! Pamoja na kuwa haujawahi kutoka nje ya mipaka ya Tanzania, siku ukifa ndiyo siku ya mwisho kujulikana kuwa uliwahi kuwepo duniani.
Haki ni Mbowe kula mvua 30Huyu Jaji ni mtu mpenda haki sn tumpe muda atafanya maamzi mazuri
Ataakila mwenzako ana uwezo wa familia yake kula miaka 90 ijayo tofauti na dingi ako ombaombaHaki ni mbowe kula mvua 30