IGP Sirro: CHADEMA wanamuona Mbowe Malaika hawezi kosea, ushahidi tunao

IGP Sirro: CHADEMA wanamuona Mbowe Malaika hawezi kosea, ushahidi tunao

Uzuri ni kwamba Kama ambavyo Kuna watu hawajauona uchaguzi wa 2025 vivyo hivyo Kuna watu hawataiona hukumu ya mbowe.
 
Sa

sasa T Lisu na G Lema wana aminika kweli?
Ni bora hata ya msigwa.
Lakini wale wawili ni wachumia tumbo
Hawawezi peqa ikuru.
Wewe umeifanyia nini Tanzania zaidi ya kula na ku....a! Pamoja na kuwa haujawahi kutoka nje ya mipaka ya Tanzania, siku ukifa ndiyo siku ya mwisho kujulikana kuwa uliwahi kuwepo duniani.
 
Sa

sasa T Lisu na G Lema wana aminika kweli?
Ni bora hata ya msigwa.
Lakini wale wawili ni wachumia tumbo
Hawawezi peqa ikuru.
Wachumia tumbo? Kwa hiyo mlishindwaje kuwanunua kama HAYO mliyoyajaza huko?
 
Naona mnalazimisha kuchanganya maamuzi ya kesi ya Mbowe na Sabaya, mkiamini kabisa hatujui tofauti yake. Kesi ya Sabaya ni mashitaka ya dhahiri tena na mashahidi wa unyama ule wasiotiliwa shaka. Kesi ya Mbowe na ya kubambikizia mmoja wapo wa waliotengeneza hiyo kesi ni Sabaya ambaye leo hii ni mfungwa kwa ushahidi usioacha shaka, chini ya jeshi la polisi linalotumika na serikali kutekeleza unyama. Ndio maana unaona kila jaji sasa anaikimbia kesi hiyo ya Mbowe maana serikali inalazimisha hukumu isiyoendana na ushahidi. Imeisha hiyo.
Nenda mkathibitishe mahakamani kua Mbowe anaonewa.
 
Hii kesi ya Mbowe Hawana USHAHIDI Ila Sabaya ametangulia kama Chambo ili kelele zisiwe nyingi ila Nia ni kumfunga Mbowe

Huu ni ugomvi kati ya SYSTEM VS MBOWE kutokukubali matakwa yao

Agent wa system ambao wameonyesha makucha yao ni

Cp Kingai
Lengai Sabaya


Sabaya kufungwa lakini ni mtu wa system yupo kazini, anafugwa ili kukamilisha mission yao
 
Hii kesi ya Mbowe Hawana USHAHIDI Ila Sabaya ametangulia kama Chambo ili kelele zisiwe nyingi ila Nia ni kumfunga Mbowe

Huu ni ugomvi kati ya SYSTEM VS MBOWE kutokukubali matakwa yao...
Kama hao ndiyo watu wetu wa system basi kazi tunayo [emoji134][emoji134][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12]
 
Wewe umeifanyia nini Tanzania zaidi ya kula na ku....a! Pamoja na kuwa haujawahi kutoka nje ya mipaka ya Tanzania, siku ukifa ndiyo siku ya mwisho kujulikana kuwa uliwahi kuwepo duniani.
Sasa wewe una legacy gani hata hapo kitaaani kwako??
 
Back
Top Bottom