FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
Waziri hana mamlaka ya kuamrisha mtu akamatwe kiholela namna hiyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waziri ni CIC?Naona IGP hataki kazi. Unaambiwa CIC amesema unataka barua ipi tena?
Huyu mupe yure murukeMbona kule Mwanza kanisani kawe kamo utalatibu ulifuatwa?
Barua za kuwakamata wapinzani, aliyebahatika kuiona japo moja, atupe ushuhuda tasafali.Naona IGP hataki kazi. Unaambiwa CIC amesema unataka barua ipi tena?
Wewe ndio zero.Siro zero
Kuvamia pia kanisani walikuwa na barua kutoka kwa serikali??Wewe ndio zero.
Serikali inaendeshwa kwa maandishi/nyaraka.
Kamanda Afande IGP Siro umeongea kwa busara sana.
Hongera sana.
Sera rasmi ya chama kijani na vyombo vyake saidizi.Huyu mupe yure muruke
Toka lini waziri akawa amiri jeshi? Hilo likiruhusiwa kuna siku waziri atatoa order kwa jwtz ivamie nchi nyingine. Mawaziri wajifunze namna ya kufanya kazi.
ila SIRRO pia sku zako zahesabika!
😂 😂 😂United Banana Republics sishangai.
Sijui Kaka.Kuvamia pia kanisani walikuwa na barua kutoka kwa serikali??