IGP Sirro: Hatuna barua ya kumkamata Askofu Gwajima, utaratibu ufuatwe

IGP Sirro: Hatuna barua ya kumkamata Askofu Gwajima, utaratibu ufuatwe

SSISITV.jpg
 
Huyo zero ni kubwa jinga fulani. Zile wanazoita amri kutoka juu huwa kuna barua?
 
Kwa hiyo wale mnaowambabika kesi kumbe mnaandikawaga barua zinazowapa maelekezo ya kuwakamata na za kuwapa kesi za kubumba siyo??
 
IGP Sirro amesema kuwa jeshi la polisi linaendeshwa kwa maandishi na kuna taratibu hivyo wanasubiri barua kutoka kwa waziri ili waangalie wanatekeleza vipi agizo lake.

Pia ameongeza kuwa hayo maelekezo ameyaona kwenye mitandao ya kijamii hivyo anasubiri barua rasmi ili waangalie jinsi ya kuyatekeleza hayo maelekezo ya Waziri wa afya kwani serikali inakwenda kwa maandishi.

Sirro pia amesema wataangalia kama kweli kuna jinai au lah ambayo ina haja ya kufungua mashitaka...

Na ameendelea kusema pia kama hatokuta jinai watashauri jinsi ya kumaliza hilo swala katika njia nzuri.

Source: Clouds FM

Pia soma:
- #COVID19 - Waziri Gwajima aagiza Askofu Gwajima kukamatwa ili athibitishe kauli anazozitoa dhidi ya Serikali na viongozi kuhusu chanjo ya UVIKO-19
Leo wanaenda kwa maandishi!!!! Wakuu wa wilaya na mkoa walisema kamata huyu weka ndani, mbona wanatii!!!!
 
Huyu Siro kipindi kila alikuwa anakoromewa na Makonda..Sasa hivi anajifanya anafuata kanuni na sheria?
 
Kuna baadhi ya Watanzania ni wapumbavu sana, yaani amri ya kumkamata Gwajiboy itoke kwa rais?
Acheni kumpa uspecial huyo tapeli ndio maana anaropoka anavyotaka.
Kipindi alivyokuwa anakamatwa na Makonda rais alihusika?
Sidhani kama umeelewa, kinachopaswa kufanywa ni waziri kumueleza IGP kwa maandishi. Wala sio lazima raisi atoe tamko
 
Kwa Tanzania Mwenyekiti wa CCM Wilaya anaweza kumpa amri IGP au RPC kama hujui. Imeshatokea mara nyingi.

Kwa taarifa yako mkuu wa majeshi anampigia saluti mkuu wa wilaya, IGP na RPCs woooote wanampigia saluti mkuu wa wilaya hivyo wanaweza kupewa amri yoyote.

Hii ni bongoland.
Kwamba Mkuu wa wilaya anaweza kuitisha majeshi kufanya kitu fulani?
Salute ni ishara ya heshima, hiyo haina maana kwamba kila anaepigiwa salute anaweza kumuamrisha yule anaepiga salute wakati wowote,na kwanza sio simple hivyo kama unavyodhani unless kuwe na go-ahead kutoka kwa Amri jeshi.

Yaani CDF apewe amri na Mkuu wa wilaya? Kwamfano Albert Msando asimame jukwaani kumpa amri MABEYO alafu itekelezwe?😳

Moja Kati ya hoja ya kijinga kabisa kwenye huu mjadala.
 
Huyu mama gwajima wakupuuzwa kabisaaa,ukimuangalia ktk ile video baada ya kuchwanjwa anavyokimbia kimbia utajua kuna nati inechomoka.
Rudi ktk zile video za kupiga nyungu na wakikimbia na mumewe aisee Huyu kuna sehemu ipo tatzo
 
Kwamba Mkuu wa wilaya anaweza kuitisha majeshi kufanya kitu fulani?
Salute ni ishara ya heshima, hiyo haina maana kwamba kila anaepigiwa salute anaweza kumuamrisha yule anaepiga salute wakati wowote,na kwanza sio simple hivyo kama unavyodhani unless kuwe na go-ahead kutoka kwa Amri jeshi.

Yaani CDF apewe amri na Mkuu wa wilaya? Kwamfano Albert Msando asimame jukwaani kumpa amri MABEYO alafu itekelezwe?😳

Moja Kati ya hoja ya kijinga kabisa kwenye huu mjadala.
Unaishi Tanzania hii?
Una umri gani?
Kua uyaone.
 
achana na huyo mama hana akili asitake jeshi la polisi lifanyie kazi ushakunanku wake ...
 
Back
Top Bottom