Acheni uchonganishi...Sasa imejulikana ni akina nani wapo nyuma ya askofu gwajima na kwa jeuri hii ya afande sirro huenda hata Rais Samia akawa yupo mifukoni mwa watu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acheni uchonganishi...Sasa imejulikana ni akina nani wapo nyuma ya askofu gwajima na kwa jeuri hii ya afande sirro huenda hata Rais Samia akawa yupo mifukoni mwa watu
Kwa sababu tu ni Askofu wako Gwajima! Kwa wengine hata utaratibu usipofuatwa, sawa tu!!!Utaratibu ufuatwe safi sana mzee Siro
Leo wanaenda kwa maandishi!!!! Wakuu wa wilaya na mkoa walisema kamata huyu weka ndani, mbona wanatii!!!!IGP Sirro amesema kuwa jeshi la polisi linaendeshwa kwa maandishi na kuna taratibu hivyo wanasubiri barua kutoka kwa waziri ili waangalie wanatekeleza vipi agizo lake.
Pia ameongeza kuwa hayo maelekezo ameyaona kwenye mitandao ya kijamii hivyo anasubiri barua rasmi ili waangalie jinsi ya kuyatekeleza hayo maelekezo ya Waziri wa afya kwani serikali inakwenda kwa maandishi.
Sirro pia amesema wataangalia kama kweli kuna jinai au lah ambayo ina haja ya kufungua mashitaka...
Na ameendelea kusema pia kama hatokuta jinai watashauri jinsi ya kumaliza hilo swala katika njia nzuri.
Source: Clouds FM
Pia soma:
- #COVID19 - Waziri Gwajima aagiza Askofu Gwajima kukamatwa ili athibitishe kauli anazozitoa dhidi ya Serikali na viongozi kuhusu chanjo ya UVIKO-19
Umekatwa ngebe zote tayari.Simple tu kesho atapokea barua
Sidhani kama umeelewa, kinachopaswa kufanywa ni waziri kumueleza IGP kwa maandishi. Wala sio lazima raisi atoe tamkoKuna baadhi ya Watanzania ni wapumbavu sana, yaani amri ya kumkamata Gwajiboy itoke kwa rais?
Acheni kumpa uspecial huyo tapeli ndio maana anaropoka anavyotaka.
Kipindi alivyokuwa anakamatwa na Makonda rais alihusika?
Kwamba Mkuu wa wilaya anaweza kuitisha majeshi kufanya kitu fulani?Kwa Tanzania Mwenyekiti wa CCM Wilaya anaweza kumpa amri IGP au RPC kama hujui. Imeshatokea mara nyingi.
Kwa taarifa yako mkuu wa majeshi anampigia saluti mkuu wa wilaya, IGP na RPCs woooote wanampigia saluti mkuu wa wilaya hivyo wanaweza kupewa amri yoyote.
Hii ni bongoland.
Unaishi Tanzania hii?Kwamba Mkuu wa wilaya anaweza kuitisha majeshi kufanya kitu fulani?
Salute ni ishara ya heshima, hiyo haina maana kwamba kila anaepigiwa salute anaweza kumuamrisha yule anaepiga salute wakati wowote,na kwanza sio simple hivyo kama unavyodhani unless kuwe na go-ahead kutoka kwa Amri jeshi.
Yaani CDF apewe amri na Mkuu wa wilaya? Kwamfano Albert Msando asimame jukwaani kumpa amri MABEYO alafu itekelezwe?😳
Moja Kati ya hoja ya kijinga kabisa kwenye huu mjadala.
My Friend kwa hili Gwajima Bishop atapoteza mechiGwajima hakamatiki, wakizubaa Jumapili ataendeleza zoezi la kupambana na chanjo ya corona, safari hii atamshughulikia Dorothy [emoji1787]
Sirro anadhani yule mama kaongea tu kutoka hewaniNaona IGP hataki kazi. Unaambiwa CIC amesema unataka barua ipi tena?