IGP Sirro: Hatuna barua ya kumkamata Askofu Gwajima, utaratibu ufuatwe

IGP Sirro: Hatuna barua ya kumkamata Askofu Gwajima, utaratibu ufuatwe

Sasa huoni hapo kuna kosa la kuhodhi ardhi ambalo vyombo vingine vinahusika, Gwajima amefanya kosa gani?
Achana na mjadala wa kosa, jamaa amedai mawaziri hawawezi kutoa amri kwa vyombo vya ulinzi, isipokuwa ma DC na RC kwa sababu ni wawakilishi wa Rais. Ndio maana nikataka kujua, Katambi alipotoa amri alikuwa DC au RC?
 
Kwanini umechagua mstari mmoja badala ya aya zote 3?

View attachment 1896199

Hiiiiii bagosha!
Achana na mjadala wa kosa, jamaa amedai mawaziri hawawezi kutoa amri kwa vyombo vya ulinzi, isipokuwa ma DC na RC kwa sababu ni wawakilishi wa Rais. Ndio maana nikataka kujua, Katambi alipotoa amri alikuwa DC au RC?
Kwenye mijumuiko ya watu wengi kuna suala la kiusalama ambapo ni wajibu wa polisi kuhakikisha upo, raia yeyote anaweza kutoa taarifa kama kuna uvunjifu wa amani.
 
Kumbe ukiwa CCM utaratibu utafuatwa ila ukiwa mpigania haki utaratibu hauhitajiki.
CCM laanatulah
 
Achana na mjadala wa kosa, jamaa amedai mawaziri hawawezi kutoa amri kwa vyombo vya ulinzi, isipokuwa ma DC na RC kwa sababu ni wawakilishi wa Rais. Ndio maana nikataka kujua, Katambi alipotoa amri alikuwa DC au RC?
Kama aliyeko kwenye local government ana mamlaka basi aliyeko kwenye central government ana mamlaka zaidi.
 
Kila waziri anayo mamlaka ktk wizara yake, ispokua waziri mkuu ana mamlaka ktk wizara zote
 
Kwani wewe inaishia nchi gani ambavyo Mkuu wa wilaya anaweza kumpa amri mkuu wa majeshi kuitisha majeshi, Afghanistan au?
Unachoshindwa kuelewa wewe ni kwamba unahisi kutoa amri ni lazima iwe kama amri ya kutangaza ama kusitisha vita lakini hata mkuu wa wilaya akimwambia CDF au IGP sogea hapa hiyo ni amri. Elewa hilo.
Makonda alishawahi kumpa amri IGP kuzuia utumiaji wa shisha ndani ya Dar na alitekeleza au ile amri ya Gwajima kulala central pia ilitoka kwa Makonda. Jokate alishampa amri CDF Mwamunyange kuhusu mradi wa maji Kisarawe hata IGP pia kuhusu kukamilisha ujenzi kituo cha polisi Kisarawe. Je una la zaidi??
 
Kwenye mijumuiko ya watu wengi kuna suala la kiusalama ambapo ni wajibu wa polisi kuhakikisha upo, raia yeyote anaweza kutoa taarifa kama kuna uvunjifu wa amani.

Ndiyo maana tunasema hii ya Sirro kuwa kumkamata mtu ni mpaka:

1. Apate barua rasmi iliyowekwa sahihi na mhusika.
2. Ajiridhishe kama kuna jinai.

Ni mapya kuwahi kuyasikia. Ni kinyume cha uhalisia, kinyume na ambavyo wengine wamekuwa wakitendewa.

Umeielewa hoja mkononi?
 
[emoji23][emoji23][emoji23] hapo Gwajiboy kapata pa kupumzkia atamuandama uyo Dorothy mpaka aombe pooh. Akili ya Gwajiboy na manara ni moja wote ni waropokaji na hawachagui neno.
Sio watu wa kubishana nao hao ni kuwapuuza tu .
Gwajima Dorothy ajiuzulu
 
Huu mjadala nimeupenda....

Ni kweli hicho kitu hakiwezekani CDF atii amri kutoka kwa NIKKI WA PILI[emoji23][emoji23]

Lakini nimeshawahi kuona kwenye mkuu wa wilaya akipigiwa salute na mwanajeshi (Hawa wenye vyeo vyeo) nadhani ilikuwa kisarawe Kama sikosei
Hii ipoje?

Au Mara nyingi tumeshaona mawaziri wakitembea na wanajeshi kwenye misafara yao, je hawawezi kupokea amri kutoka kwa waziri?

Lakini Mara kibao tumeona wakuu wa mikoa/wilaya wakitoa amri kwa polisi Tena haswa kwenye mikutano ya hadhara....hii ipoje?

Sent from my Nokia 2.1 using JamiiForums mobile app
Hakuna sehemu ambayo nimepinga uwezo wa mkuu wa wilaya kuamuru Hawa police uchwara au baadhi ya wanajeshi wanaokabidhiwa kwao kwaajili ya usalama,kimsingi kila kiongozi atakuwa na mamlaka juu ya police aliye kwenye himaya yake.

Hoja ninayopinga ni uwezo wa mkuu wa wilaya kutoa amri kwa wakuu wa vyombo vya ulinzi kwa ngazi ya taifa , namaanisha mkuu wa wilaya aamke tu eti ampe amri SIMON SIRRO au MABEYO kama jamaa mmoja huko anavyodai😂😂.
 
Unachoshindwa kuelewa wewe ni kwamba unahisi kutoa amri ni lazima iwe kama amri ya kutangaza ama kusitisha vita lakini hata mkuu wa wilaya akimwambia CDF au IGP sogea hapa hiyo ni amri. Elewa hilo.
Makonda alishawahi kumpa amri IGP kuzuia utumiaji wa shisha ndani ya Dar na alitekeleza au ile amri ya Gwajima kulala central pia ilitoka kwa Makonda. Jokate alishampa amri CDF Mwamunyange kuhusu mradi wa maji Kisarawe hata IGP pia kuhusu kukamilisha ujenzi kituo cha polisi Kisarawe. Je una la zaidi??
[emoji115][emoji115][emoji115]
Hakuna sehemu ambayo nimepinga uwezo wa mkuu wa wilaya kuamuru Hawa police uchwara au baadhi ya wanajeshi wanaokabidhiwa kwao kwaajili ya usalama,kimsingi kila kiongozi atakuwa na mamlaka juu ya police aliye kwenye himaya yake.

Hoja ninayopinga ni uwezo wa mkuu wa wilaya kutoa amri kwa wakuu wa vyombo vya ulinzi kwa ngazi ya taifa , namaanisha mkuu wa wilaya aamke tu eti ampe amri SIMON SIRRO au MABEYO kama jamaa mmoja huko anavyodai[emoji23][emoji23].
 
Ndiyo maana tunasema hii ya Sirro kuwa kumkamata mtu ni mpaka:

1. Apate barua rasmi iliyowekwa sahihi na mhusika.
2. Ajiridhishe kama kuna jinai.

Ni mapya kuwahi kuyasikia. Ni kinyume cha uhalisia, kinyume na ambavyo wengine wamekuwa wakitendewa.

Umeielewa hoja mkononi?
Kupitia hoja za SIRRO inatakiwa tutambue kwamba si kila kiongozi anaweza kuamuru viongozi wa ngazi ya taifa kiusalama kwa maneno tu(ndiomaana akadai maandishi).

Lakini pia kwakua kuna wengine ambao walishawahi kukamatwa bila barua, basi tujue kwamba Amri ilitoka kwa kiongozi ambaye hahitaji maandishi Ili kutii amri yake namaanisha AMRI JESHI MKUU.

Hapo ndo utasikia ile kauli ya kusema "Ni maagizo kutoka juu"

Lakini kizembekizembe tu,eti waziri tena sio mkuu amtume SIRRO kwa mdomo jukwaani wakati ambao hata Mkuu wa nchi hayupo,awapi...😂
 
Unachoshindwa kuelewa wewe ni kwamba unahisi kutoa amri ni lazima iwe kama amri ya kutangaza ama kusitisha vita lakini hata mkuu wa wilaya akimwambia CDF au IGP sogea hapa hiyo ni amri. Elewa hilo.
Makonda alishawahi kumpa amri IGP kuzuia utumiaji wa shisha ndani ya Dar na alitekeleza au ile amri ya Gwajima kulala central pia ilitoka kwa Makonda. Jokate alishampa amri CDF Mwamunyange kuhusu mradi wa maji Kisarawe hata IGP pia kuhusu kukamilisha ujenzi kituo cha polisi Kisarawe. Je una la zaidi??
Ngoja ninyamaze😂😂😂.
 
Ngoja ninyamaze[emoji23][emoji23][emoji23].
Endelea kuchangia nimekupa mifano ya wazi kabisa, tatizo lako kumpa mtu amri unafikiri labda iwe ni amri ya kutangaza vita!! Hata mtu akikwambia tu kaa chini hiyo ni amri tayari!
images%20(8).jpg

Tafuta hiyo video yake!
 
Ndiyo maana tunasema hii ya Sirro kuwa kumkamata mtu ni mpaka:

1. Apate barua rasmi iliyowekwa sahihi na mhusika.
2. Ajiridhishe kama kuna jinai.

Ni mapya kuwahi kuyasikia. Ni kinyume cha uhalisia, kinyume na ambavyo wengine wamekuwa wakitendewa.

Umeielewa hoja mkononi?
kosa la Gwajima ni lipi mpaka akamatwe?
 
Unachoshindwa kuelewa wewe ni kwamba unahisi kutoa amri ni lazima iwe kama amri ya kutangaza ama kusitisha vita lakini hata mkuu wa wilaya akimwambia CDF au IGP sogea hapa hiyo ni amri. Elewa hilo.
Makonda alishawahi kumpa amri IGP kuzuia utumiaji wa shisha ndani ya Dar na alitekeleza au ile amri ya Gwajima kulala central pia ilitoka kwa Makonda. Jokate alishampa amri CDF Mwamunyange kuhusu mradi wa maji Kisarawe hata IGP pia kuhusu kukamilisha ujenzi kituo cha polisi Kisarawe. Je una la zaidi??
Naomba kujua Kati ya CDF na DC Nani anakuwa juu ya mwenzie kiitifaki

Sent from my Nokia 2.1 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom