Katika kikundi cha wazazi sita, wanne wameshaijadili hii kauli ya Sirro, na ni ukweli kuwa wengi hawajaipenda na imewasikitisha.
Isipokuwa kwa akina Mr and mrs privilege's kama Akilinjema na mama D ndio waliomuunga mkono afande Sirro.
Karma is real.Ohhoo even yule mtangulizi ana kijana sampuli hiyo hiyo even the top top lady wana kijana sampuli hiyo hiyo.
Mwambieni afute hiyo kauli aende kwa gwajima akarudishwe kwenye line
Na escort za pick up za TCC kusafirisha sigaraAcha fiksi....lenana ipo toka siro ni kuruta,mwenye hiyo hotel kaijenga miaka ya 90 tunasoma,kipindi hicho siro labda traffic au mlinzi wa bank
Mkuu umemaliza,huyo itakua dem wa polepoleAnaonekana ni mama asiye na majukumu, kazi yake kubwa itakuwa ni kuwahudumia wakubwa wa CCM chai na karanga asubuhiβ¦
Hajaongelea Kulea kaongelea KUZAA elewa concern ya wattMnamlaumu sirro kwa kukumbusha wazazi umuhimu wa kulea watoto katika njia sahihi!?
Kwa akili zako hamza alijifunza kutumia silaha lini labda na familia yake ikimjua ilifanya nini???
Vitu vingine mkubali kuambiwa buana, hadi sirro kaongea ana taarifa za kutosha za makuzi ya hamza
Watu hawajui hayo mahesabu.Unajua kuwa mkopo unakuwa mkubwa kulingana na ukubwa wa mshahara?
Nakuuliza tena unaujua mshahara wa polisi?
Hao watoto ni washamba wana mambo ya kizamani ya miaka 90 huko waliyokuwa wanafanya wakina kinje.Kamanda Sirro huyu huyu aliyesoma Tosamaganga. Sina hakika sana kama lenana ni ya kwake ila mzee kajitahidi kuwekeza sana katika lodges na bar na aliona mbali kufungua kiwanda cha kuzalisha unga kinachoitwa musoma food ambacho kipo shinyanga.
ila kwa watoto tu, mzee kazaa watoto wake ni watukutu walevi na wanapenda sifa mno kwa cheo cha baba yao.
Yale yale aliyoyasema IGP ili kutusaidia si umtaje huyo mtoto wa kibosile ili usaidie usalama wa raia au unasubiri yatokee kama ya Hamza?IGP Sirro jana umetoa kauli nzito na ngumu mno kutolewa na kiongozi wa aina yako na mtu mwenye umri mkubwa kama wewe na mtu anayeheshimika kwa cheo chake kama wewe.
Angalia sana ulimi wako jinsi unenavyo, muombe sana Mungu akupe hekima ili kabla ya kutamka neno lolote hekima ikutangulie.
Jana ulitamka maneno haya nami nakunukuu.
"Watanzania kuweni makini msije mkazaa mtoto wa hovyo hovyo kama Hamza aliyetuletea majanga Watanzania, wazazi wa Hamza mnajisikiaje kuzaa mtoto kama huyo? Na nyie ndugu zake mnajisikiaje kuwa na ndugu kama Hamza?". Mwisho wa kunukuu.
IGP Sirro, hakuna mzazi anayepanga azae mtoto wa aina gani, Binadamu tunazaa mwili hatuzai Roho.
Kuna kijana anasumbua sana mitaani, anajitapa kwamba hakuna wa kumfanya lolote kwa sababu Baba yake ana cheo kikubwa mno serikarini, kijana huyo huvuta unga na kwenda hadi kwenye Hotel ya Baba yake iliyoko Chanika ambako hufanya vituko vya ajabu, ukiwemo kupiga watu.
Je, unajua huyo mtoto ni wa nani? Tafadhali sana, wazazi wa Hamza hawakujua kama wanazaa mtoto wa aina gani, hata wazazi wako wewe Sirro hawakujua kama ipo siku utakuja kuwa IGP.
JITOKEZE UIOMBE MSAMAHA FAMILIA YA HAMZA ILI ULINDE HESHIMA YAKO.
Angewabutua kama 10 hivi ingependeza zaidiNa tena ni Shujaa Tanzania nzima aijawahi kutokea, tatizo moja tu agebutua vichwa kibao vya hao maafande manina zao.
Hayo ndio maneno, twende kazi.Huyo ni Mtoto wa Sirro anasumbua watu sana mtaani kwa ubabe wake na anavuta bangi hadharani. Muda Mwingi anashinda Chanika kwenye Bar ya Baba yake.
Hiyo Nyakoro ni mpya kuna nyingine ilikuwepo miaka mingi kabla hiyoNYAKORO LODGE ipo sana
Sio kweli,ameua watu mara ngapi tangu azaliwe?unapomsema mzazi mwenzako inabidi utupe mifano ya watoto wako uliowalea vizuri wamefanya nini cha maanaMnamlaumu sirro kwa kukumbusha wazazi umuhimu wa kulea watoto katika njia sahihi!?
Kwa akili zako hamza alijifunza kutumia silaha lini labda na familia yake ikimjua ilifanya nini???
Vitu vingine mkubali kuambiwa buana, hadi sirro kaongea ana taarifa za kutosha za makuzi ya hamza
Yes ndio hukoHaha hii naipata vizuri sana. Kabla hujafika kituo cha azania..kushoto kama unaelelekea kibaoni.
Nyakoro Bar [emoji3][emoji3]
Kwa unyenyekevu mkubwa naunga mkono hoja.Itoshe kusema Mwamba Hamza, ni Kiboko ya policeccm.
Mkuu unamkumbuka Ngunguri,unamkumbuka Mkarimu, unamkumbuka Mrangi hao wote wana ukwasi wa kutisha mbona hao huwasemi, tusiwe na hasira za kumnyoshea kidole IGP kisa Hamza ndio yote hayo yatoke,hebu niambie ni kiongozi gani hapa nchini asiye na ukwasi usioeleweka ?Iliyoko Pasiansi? Kumbe ni hotel ya Sirro? Basi kuna ufisadi mahali, huwezi kujenga kwa mshahara wa u IGP!
Halafu itabidi aueleze umma wa Watanzania fedha ya kujengea hiyo hotel huyo baba (mtumishi wa umma) ameipataje-pataje?IGP Sirro jana umetoa kauli nzito na ngumu mno kutolewa na kiongozi wa aina yako na mtu mwenye umri mkubwa kama wewe na mtu anayeheshimika kwa cheo chake kama wewe.
Angalia sana ulimi wako jinsi unenavyo, muombe sana Mungu akupe hekima ili kabla ya kutamka neno lolote hekima ikutangulie.
Jana ulitamka maneno haya nami nakunukuu.
"Watanzania kuweni makini msije mkazaa mtoto wa hovyo hovyo kama Hamza aliyetuletea majanga Watanzania, wazazi wa Hamza mnajisikiaje kuzaa mtoto kama huyo? Na nyie ndugu zake mnajisikiaje kuwa na ndugu kama Hamza?". Mwisho wa kunukuu.
IGP Sirro, hakuna mzazi anayepanga azae mtoto wa aina gani, Binadamu tunazaa mwili hatuzai Roho.
Kuna kijana anasumbua sana mitaani, anajitapa kwamba hakuna wa kumfanya lolote kwa sababu Baba yake ana cheo kikubwa mno serikarini, kijana huyo huvuta unga na kwenda hadi kwenye Hotel ya Baba yake iliyoko Chanika ambako hufanya vituko vya ajabu, ukiwemo kupiga watu.
Je, unajua huyo mtoto ni wa nani? Tafadhali sana, wazazi wa Hamza hawakujua kama wanazaa mtoto wa aina gani, hata wazazi wako wewe Sirro hawakujua kama ipo siku utakuja kuwa IGP.
JITOKEZE UIOMBE MSAMAHA FAMILIA YA HAMZA ILI ULINDE HESHIMA YAKO.
Kuna kijana anasumbua sana mitaani, anajitapa kwamba hakuna wa kumfanya lolote kwa sababu Baba yake ana cheo kikubwa mno serikarini, kijana huyo huvuta unga na kwenda hadi kwenye Hotel ya Baba yake iliyoko Chanika ambako hufanya vituko vya ajabu, ukiwemo kupiga watu.
tang'ana said:
Hivi sirro ile Lodge yake kule tegeta bado ipo?
Ipo inaitwa Tongoli Lodge & Bar.
Erythrocyte said:
Mkuu ongeza nyama, nani ana bar Chanika ?
Nijuavyo chanika kuna Hotel ya Butiama ni mali ya huyu mukulu
KhaπππππAna nyumba mabwepande Mji mpya
Na wakaruhusu amiliki siraha mtu nbabaifuNa bado akawa kiongozi wa CCM na ubabaifu wake.
Nyazifa zipi,hizo nyazifa si bado ni polisi tu au alikuwa Mkurugenzi kwenye taasisi tofauti?IGP AMESHASHIKA NYAZIFA NYINGI KWA HIYO KUWA NA PESA NYINGI NI KAWAIDA