IGP Sirro, huyo ni mtoto wa nani?

IGP Sirro, huyo ni mtoto wa nani?

Katika kikundi cha wazazi sita, wanne wameshaijadili hii kauli ya Sirro, na ni ukweli kuwa wengi hawajaipenda na imewasikitisha.

Isipokuwa kwa akina Mr and mrs privilege's kama Akilinjema na mama D ndio waliomuunga mkono afande Sirro.

Mnamlaumu sirro kwa kukumbusha wazazi umuhimu wa kulea watoto katika njia sahihi!?
Kwa akili zako hamza alijifunza kutumia silaha lini labda na familia yake ikimjua ilifanya nini???

Vitu vingine mkubali kuambiwa buana, hadi sirro kaongea ana taarifa za kutosha za makuzi ya hamza
 
Ohhoo even yule mtangulizi ana kijana sampuli hiyo hiyo even the top top lady wana kijana sampuli hiyo hiyo.

Mwambieni afute hiyo kauli aende kwa gwajima akarudishwe kwenye line
Karma is real.
Hii kitu nimeiona sana.
Unafunga watoto wakiume wa wenzio wasio na hatia magerezani, wakwako wakiume wanageuzwa nje ya magereza Tena kwa Raha zao.
 
Mnamlaumu sirro kwa kukumbusha wazazi umuhimu wa kulea watoto katika njia sahihi!?
Kwa akili zako hamza alijifunza kutumia silaha lini labda na familia yake ikimjua ilifanya nini???

Vitu vingine mkubali kuambiwa buana, hadi sirro kaongea ana taarifa za kutosha za makuzi ya hamza
Hajaongelea Kulea kaongelea KUZAA elewa concern ya watt

KUZAA kila mtu anazaa na anajitahidi Kulea ila mtoto nae ni binadamu kuna kipindi anashindikana. Kumlaumu ALIYEMZAA ndo alipochemka....usichanganye taarifa
 
Unajua kuwa mkopo unakuwa mkubwa kulingana na ukubwa wa mshahara?
Nakuuliza tena unaujua mshahara wa polisi?
Watu hawajui hayo mahesabu.
Kwa mshahara wa polisi mwenye cheo akichukua mkopo mkubwa sana ataishia milioni 25.
Baada ya hapo ataanza kupokea nusu mshahara kwa miaka 6.
Sasa milioni 25 unaweza kujenga lodge hadi ikamilike kweli
 
Kamanda Sirro huyu huyu aliyesoma Tosamaganga. Sina hakika sana kama lenana ni ya kwake ila mzee kajitahidi kuwekeza sana katika lodges na bar na aliona mbali kufungua kiwanda cha kuzalisha unga kinachoitwa musoma food ambacho kipo shinyanga.

ila kwa watoto tu, mzee kazaa watoto wake ni watukutu walevi na wanapenda sifa mno kwa cheo cha baba yao.
Hao watoto ni washamba wana mambo ya kizamani ya miaka 90 huko waliyokuwa wanafanya wakina kinje.
 
IGP Sirro jana umetoa kauli nzito na ngumu mno kutolewa na kiongozi wa aina yako na mtu mwenye umri mkubwa kama wewe na mtu anayeheshimika kwa cheo chake kama wewe.

Angalia sana ulimi wako jinsi unenavyo, muombe sana Mungu akupe hekima ili kabla ya kutamka neno lolote hekima ikutangulie.

Jana ulitamka maneno haya nami nakunukuu.

"Watanzania kuweni makini msije mkazaa mtoto wa hovyo hovyo kama Hamza aliyetuletea majanga Watanzania, wazazi wa Hamza mnajisikiaje kuzaa mtoto kama huyo? Na nyie ndugu zake mnajisikiaje kuwa na ndugu kama Hamza?". Mwisho wa kunukuu.

IGP Sirro, hakuna mzazi anayepanga azae mtoto wa aina gani, Binadamu tunazaa mwili hatuzai Roho.

Kuna kijana anasumbua sana mitaani, anajitapa kwamba hakuna wa kumfanya lolote kwa sababu Baba yake ana cheo kikubwa mno serikarini, kijana huyo huvuta unga na kwenda hadi kwenye Hotel ya Baba yake iliyoko Chanika ambako hufanya vituko vya ajabu, ukiwemo kupiga watu.

Je, unajua huyo mtoto ni wa nani? Tafadhali sana, wazazi wa Hamza hawakujua kama wanazaa mtoto wa aina gani, hata wazazi wako wewe Sirro hawakujua kama ipo siku utakuja kuwa IGP.

JITOKEZE UIOMBE MSAMAHA FAMILIA YA HAMZA ILI ULINDE HESHIMA YAKO.
Yale yale aliyoyasema IGP ili kutusaidia si umtaje huyo mtoto wa kibosile ili usaidie usalama wa raia au unasubiri yatokee kama ya Hamza?
 
Mnamlaumu sirro kwa kukumbusha wazazi umuhimu wa kulea watoto katika njia sahihi!?
Kwa akili zako hamza alijifunza kutumia silaha lini labda na familia yake ikimjua ilifanya nini???

Vitu vingine mkubali kuambiwa buana, hadi sirro kaongea ana taarifa za kutosha za makuzi ya hamza
Sio kweli,ameua watu mara ngapi tangu azaliwe?unapomsema mzazi mwenzako inabidi utupe mifano ya watoto wako uliowalea vizuri wamefanya nini cha maana
 
Iliyoko Pasiansi? Kumbe ni hotel ya Sirro? Basi kuna ufisadi mahali, huwezi kujenga kwa mshahara wa u IGP!
Mkuu unamkumbuka Ngunguri,unamkumbuka Mkarimu, unamkumbuka Mrangi hao wote wana ukwasi wa kutisha mbona hao huwasemi, tusiwe na hasira za kumnyoshea kidole IGP kisa Hamza ndio yote hayo yatoke,hebu niambie ni kiongozi gani hapa nchini asiye na ukwasi usioeleweka ?
 
IGP Sirro jana umetoa kauli nzito na ngumu mno kutolewa na kiongozi wa aina yako na mtu mwenye umri mkubwa kama wewe na mtu anayeheshimika kwa cheo chake kama wewe.

Angalia sana ulimi wako jinsi unenavyo, muombe sana Mungu akupe hekima ili kabla ya kutamka neno lolote hekima ikutangulie.

Jana ulitamka maneno haya nami nakunukuu.

"Watanzania kuweni makini msije mkazaa mtoto wa hovyo hovyo kama Hamza aliyetuletea majanga Watanzania, wazazi wa Hamza mnajisikiaje kuzaa mtoto kama huyo? Na nyie ndugu zake mnajisikiaje kuwa na ndugu kama Hamza?". Mwisho wa kunukuu.

IGP Sirro, hakuna mzazi anayepanga azae mtoto wa aina gani, Binadamu tunazaa mwili hatuzai Roho.

Kuna kijana anasumbua sana mitaani, anajitapa kwamba hakuna wa kumfanya lolote kwa sababu Baba yake ana cheo kikubwa mno serikarini, kijana huyo huvuta unga na kwenda hadi kwenye Hotel ya Baba yake iliyoko Chanika ambako hufanya vituko vya ajabu, ukiwemo kupiga watu.

Je, unajua huyo mtoto ni wa nani? Tafadhali sana, wazazi wa Hamza hawakujua kama wanazaa mtoto wa aina gani, hata wazazi wako wewe Sirro hawakujua kama ipo siku utakuja kuwa IGP.

JITOKEZE UIOMBE MSAMAHA FAMILIA YA HAMZA ILI ULINDE HESHIMA YAKO.
Halafu itabidi aueleze umma wa Watanzania fedha ya kujengea hiyo hotel huyo baba (mtumishi wa umma) ameipataje-pataje?

Kuna kijana anasumbua sana mitaani, anajitapa kwamba hakuna wa kumfanya lolote kwa sababu Baba yake ana cheo kikubwa mno serikarini, kijana huyo huvuta unga na kwenda hadi kwenye Hotel ya Baba yake iliyoko Chanika ambako hufanya vituko vya ajabu, ukiwemo kupiga watu.
 
Back
Top Bottom